Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,324
Hii ni kweli kabisa wengi wetu tunakesha club kisha asubuhi tunaenda kuuza sura kanisani.
Ufunuo 3:15-16 unasema
15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.