Yanayotokea Jumamosi Usiku na Jumapili asubuhi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,457
154,324


480690_529701603726048_22827019_n.jpg


Hii ni kweli kabisa wengi wetu tunakesha club kisha asubuhi tunaenda kuuza sura kanisani.

Ufunuo 3:15-16 unasema
15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
 
Mie nikikesha club ka jana, huwa siend chachi the next mornie


480690_529701603726048_22827019_n.jpg


Hii ni kweli kabisa wengi wetu tunakesha club kisha asubuhi tunaenda kuuza sura kanisani.

Ufunuo 3:15-16 unasema
15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
 
Laana kila kukicha, jamaa anakula live halafu asubuhi wanazuka Church, kama vile Mungu analala,
 
Ciello na Bujibuji kuweni makini sana na mwenendo wenu, mnaweza mkajikuta mnaangukia kwenye mapenzi ya kuumizana mioyo
 
Last edited by a moderator:
:biggrin1: na kwanini mchg akiongeza dakika 30 zaidi za mahubiri watu wananuna kanisani lakini club ikifunguliwa mpaka asubuhi watu hawalalamiki?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom