Yanayomkuta Lema yawe fundisho kwa wanasiasa wengine

-->>asiwe na dhamana, au dhamana yake ifanyiwe ugumu kwani AMEUA?.
UONEVU WA WAZI.
MUNGU NDI MUWEZA ATATENDA.
 
Lema yuko darasani mwacheni aendelee kujifunza kuhusu dunia. Akitoka huko atakuwa Na akili timamu
 
Kilichokuwa pia kinawapa jeuri ni pesa za walipa kodi walizokuwa wanapata enzi za jk ambazo hazikuwa na kazi..ni aibu kutiwa ndani kwa kumtukana Kiongozi wa nchi ambaye africa na dunia nzima
nzima imemuelewa pamoja na mapungufu machache japo wao upinzani pia walisema wanahitaji wa aina hii..na ndio maana hata Joshua nasari hana muda wa kufika mahakamani..hata msigwa Rafiki yake hajawai hata kugusa huko...jiulize why?? Ni kwamba magufuli ni mpango wa mungu..si kila mpinzani ni boya..wengine ni wazalendo na wamekubali mwelekeo wa nchi kwa 70%..kwao ni bora sasa kuliko huko tulikotoka..japo nao walinufaika
Expectation zingine ni too much..... Loohh
 
Tanzania hatupendagi Ujinga. Lema ni mwanasiasa wa kwanza kutamka maneno ya kijinga na kwa hali hiyo lazima aonje shubiri.
Na anae tumia nguvu nyingi kupambana na mjinga anaitwaje?
 
Ni zaidi ya mwezi sasa Godbless Lema haoni jua isipokuwa kwa masaa machache tu anapopelekwa mahakamani. Wapo wanaolalamika kuwa Lema kakaa muda mrefu sana mahabusu ilhali kesi yake ina dhamana. Malalamiko haya yanatokana tu na hisia zao na si uhalisia kisheria.

Mara zote tunawasikia wafuasi wa chadema na viongozi wao wakijigamba kuwa "Tutawapiga Mahakamani". Kwamba, wao wana mawakili bora sana hapa Tanzania na kwa hiyo kiongozi au mfuasi yeyote wa chadema anaweza kusema ama kufanya lolote kwani kisheria Serikali haina nguvu. Hizi ni dharau za hali ya juu sana ambazo kwa hakika zinapaswa kukomeshwa.

Lema yupo Mahabusu sasa. Haijulikani lini atatoka kwa vile uzito wa mashtaka yanayomkabili ni mkubwa sana. Kesi zinazomkabili zinachukuliwa kwa uzito mkubwa sana kwa sababu ametoa kauli ambazo si tu hazikupaswa kutolewa na mtu kama yeye bali hata na mtu mwingine yeyote.

Kumzulia kifo Mkuu wa nchi ni kosa la uhaini ambalo kwa nchi nyingine huchukuliwa kwa uzito mkubwa sana na adhabu yake ni kifo. Sina hakika kwa sheria za hapa kwetu. Hii ni kwa sababu unaposema Mkuu wa nchi atakufa kabla ya muda fulani maana yake ni kwamba wewe mwenyewe unaingilia Malmala ya Mungu ambaye ametanabaisha kwenye vitabu vyake kuwa hakuna ajuaye siku wala saa ya mtu kuondoka duniani isipokuwa Yeye.

Rais kama Mkuu wa nchi anao maadui wengi hasa kwa huyu ambaye kila uchwao anatumbua. Kupitia kauli ya Lema maadui wa Rais wanaweza kutembea na maneno yake na wakafanikisha mauaji ya Rais ili watu waamini kuwa alichoongea Lema kimetimia.

Pia ikiwa Lema ataachwa huru, anaweza kushiriki kwenye mipango ya kumdhuru Rais ili tu kutimiza maono yake. Lema si wa kispot kispot. Ameshiriki matukio mengi makubwa ambayo kama yakiwekwa hapa hadharani hakika hakuna atakayemuamini Lema. Msifikiri ni masihara pale watu wanaposema kuwa kazi yake ya mwanzo kabla hajawa Mbunge ni ya kutisha sana. Si masihara hata kidogo.

Mkumbuke kuwa kwenye kurasa zao za Facebook wafuasi wengi wa CHADEMA wanatamani Rais afe hata leo kitu ambacho kwa hakika si kizuri.

Yanayomkuta Lema yawe fundisho kwa wengine. Kipindi hiki tu cha Lema kuwa Mahabusu naona nidhamu imeanza kurejea. Zitto Kabwe katelekeza Akaunti yake ya Twitter tangu Oktoba 21. Ni akaunti hiyo ndiyo aliyokuwa anatumia kuandika mabaya dhidi ya Rais.

Julius Mtatiro naye kaamua kurejea kazi yake ya awali ya uchambuzi. Biashara ya kumshambulia Rais hailipi.

Tundu Lissi naye kaamua kujirekebisha. Aliahidi kupambana na Rais kiangazi na masika ila kwa yanayomkuta Lema hakika hathubutu tena. Kikubwa zaidi ni pale Lissu alipojiengua kumtetea Lema baada ya kuona uzito wa kesi yenyewe.

Naamini kuwa wanasiasa wataendelea kujifunza kupitia sakata hilo la Lema.
Hahahaha , Huyu ndiye mbunge wetu chaguo letu ,tupo naye bega kwa bega , hamtutoi kwenye reli ,viva lema viva pipozz.
 
Anatakiwa abanwe aseme hayo maono yake,ameona mkulu atakufa kwa staili gani na lini?kwahiyo kukaa kwake ndani mdalefu ni kwa usarama wake na mkuu mwenyewe.
 
Ndalichako ana haki ya kuzuia Vila,za kama hawa kuingia vyuo... Hivi unafahamu maana ya uhaini( treason)... Au unafahamu maana ya dhamana ...


Nchi kuwa na vijana wenye Mawazo kama ya mleta mada ni bora nchi iwe jangwa na wagonjwa wote kama wewe wageuke mchanga ..
 
ni kweli kabisa, elimu ya kuwapa ujasiri na kuendeleza mapambano. sasa hivi wanasiasa wameanza kucheza kwenye territory ambayo muda si mrefu wataizoea. sasa sijui utakuja na uzi gani mwingine wa bei rahisi kutueleza mafundisho wanayopata. the march is on blaza
 
Rais wetu tunamuombea kwa Mungu amjalie afya na amkinge na mabaya ili aendelee kuijenga nchi yetu.

Lema afundishwe na ulimwengu kwamba ulimi huponza kichwa.
 
Dah...hivi hii nchi wajinga ni wengi au mijizi ndiyo ilikuwa mingi?...
1480741919988.jpg
Dah...hata picha..dah
Go JPM Go....wenyenia njema tuko pamoja nawe
 
Kutumia vyombo vya dola kumkandamiza mtu ni dalili za uoga na kushindwa. Also Jongo Pakua Makande lina roho mbaya tu, otherwise kama ni mpuuzi na aliongea nonsense angepuuzwa. Kutilia maanani maneno ya mpuuzi kunamuweka ma yeye kwenye kundi la wapuuzi.
 
Kinachotokea kwa Lema hakina tofauti kubwa na kile kilichokuwa kinatokea UGANDA
 
Mwezi mmoja ndio wa kumtisha mwanasiasa asiongee?
Labda mwanasia asiye shupavu. Lakini kwa mwanasiasa mwenye maono sahihi kama LEMA hata mmfunge miaka, kwake si kitu.

Mandela alifungwa jela miaka 27, na bado akaibuka shujaa.
 
Ni zaidi ya mwezi sasa Godbless Lema haoni jua isipokuwa kwa masaa machache tu anapopelekwa mahakamani. Wapo wanaolalamika kuwa Lema kakaa muda mrefu sana mahabusu ilhali kesi yake ina dhamana. Malalamiko haya yanatokana tu na hisia zao na si uhalisia kisheria.

Mara zote tunawasikia wafuasi wa chadema na viongozi wao wakijigamba kuwa "Tutawapiga Mahakamani". Kwamba, wao wana mawakili bora sana hapa Tanzania na kwa hiyo kiongozi au mfuasi yeyote wa chadema anaweza kusema ama kufanya lolote kwani kisheria Serikali haina nguvu. Hizi ni dharau za hali ya juu sana ambazo kwa hakika zinapaswa kukomeshwa.

Lema yupo Mahabusu sasa. Haijulikani lini atatoka kwa vile uzito wa mashtaka yanayomkabili ni mkubwa sana. Kesi zinazomkabili zinachukuliwa kwa uzito mkubwa sana kwa sababu ametoa kauli ambazo si tu hazikupaswa kutolewa na mtu kama yeye bali hata na mtu mwingine yeyote.

Kumzulia kifo Mkuu wa nchi ni kosa la uhaini ambalo kwa nchi nyingine huchukuliwa kwa uzito mkubwa sana na adhabu yake ni kifo. Sina hakika kwa sheria za hapa kwetu. Hii ni kwa sababu unaposema Mkuu wa nchi atakufa kabla ya muda fulani maana yake ni kwamba wewe mwenyewe unaingilia Malmala ya Mungu ambaye ametanabaisha kwenye vitabu vyake kuwa hakuna ajuaye siku wala saa ya mtu kuondoka duniani isipokuwa Yeye.

Rais kama Mkuu wa nchi anao maadui wengi hasa kwa huyu ambaye kila uchwao anatumbua. Kupitia kauli ya Lema maadui wa Rais wanaweza kutembea na maneno yake na wakafanikisha mauaji ya Rais ili watu waamini kuwa alichoongea Lema kimetimia.

Pia ikiwa Lema ataachwa huru, anaweza kushiriki kwenye mipango ya kumdhuru Rais ili tu kutimiza maono yake. Lema si wa kispot kispot. Ameshiriki matukio mengi makubwa ambayo kama yakiwekwa hapa hadharani hakika hakuna atakayemuamini Lema. Msifikiri ni masihara pale watu wanaposema kuwa kazi yake ya mwanzo kabla hajawa Mbunge ni ya kutisha sana. Si masihara hata kidogo.

Mkumbuke kuwa kwenye kurasa zao za Facebook wafuasi wengi wa CHADEMA wanatamani Rais afe hata leo kitu ambacho kwa hakika si kizuri.

Yanayomkuta Lema yawe fundisho kwa wengine. Kipindi hiki tu cha Lema kuwa Mahabusu naona nidhamu imeanza kurejea. Zitto Kabwe katelekeza Akaunti yake ya Twitter tangu Oktoba 21. Ni akaunti hiyo ndiyo aliyokuwa anatumia kuandika mabaya dhidi ya Rais.

Julius Mtatiro naye kaamua kurejea kazi yake ya awali ya uchambuzi. Biashara ya kumshambulia Rais hailipi.

Tundu Lissi naye kaamua kujirekebisha. Aliahidi kupambana na Rais kiangazi na masika ila kwa yanayomkuta Lema hakika hathubutu tena. Kikubwa zaidi ni pale Lissu alipojiengua kumtetea Lema baada ya kuona uzito wa kesi yenyewe.

Naamini kuwa wanasiasa wataendelea kujifunza kupitia sakata hilo la Lema.

Wewe ni punguani,tena wa milembe,tena chizi
 
Kama alikufa Mwl.Nyerere na watanzania walivyompende vile hakika hata huyo mtemi wa Chato ipo siku ambayo Mungu anaiandaa, hakuna awezaye kudum milele.
 
Back
Top Bottom