Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
Kumekuwa na malalamiko mengi toka sehemu mbalimbali kuhusu uchaguzi huu hasa vyama vya upinzani.
malalamiko mengi yameelekezwa kwa watendaji wa Kata ambao ndiyo wasimamizi wa chaguzi hizi.
Ikumbukwe kuwa tarehe 2 sept,2019 Rais John Magufuli alifanya kikao na watendaji wote nchi nzima je kuna nini walielekezwa? Kwanini wao ndiyo wameonekana wanavuruga uchaguzi?
Je ni woga wa ccm kuelekea uchaguzi?
Nashauri vyama vya upinzani vishiriki uchaguzi huu pamoja na figisu watakazofanyiwa lakini kushiriki chaguzi hizi zitatoa tadwira ya muelekeo wa uchaguzi mkuu ujao hivyo kupata fursa ya kujipanga.
malalamiko mengi yameelekezwa kwa watendaji wa Kata ambao ndiyo wasimamizi wa chaguzi hizi.
Ikumbukwe kuwa tarehe 2 sept,2019 Rais John Magufuli alifanya kikao na watendaji wote nchi nzima je kuna nini walielekezwa? Kwanini wao ndiyo wameonekana wanavuruga uchaguzi?
Je ni woga wa ccm kuelekea uchaguzi?
Nashauri vyama vya upinzani vishiriki uchaguzi huu pamoja na figisu watakazofanyiwa lakini kushiriki chaguzi hizi zitatoa tadwira ya muelekeo wa uchaguzi mkuu ujao hivyo kupata fursa ya kujipanga.