Arusha JIJI wametangaza nafasi za kazi zaidi ya 100Tushachoka sie Na Bara Bara tunataka ajira
hao wamasai waliobebwa na fuso kutoka orkesumet kuja kujaza mkutano hapo mererani ndio unasema wengi?Basi kama wanaccm ndio wengi hivi 2020 mnapigiwa kura na maruani
real recognize realHabari waungwana,
View attachment 592052
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameshatua uwanja wa ndege wa Kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Mama Anna Elisha Mngwira. Muda mchache ujao anatarajiwa kuzindua barabara ya KIA mpaka Mererani.
Fuatana nami kujua yanayojiri..
watu msiojulikana mtanipiga risasiMkuu unaonaje 2020 ukigombea wewe
...Machoni kama WATU mioyoni hawana UTU...Wananchi wamejitokeza kwa maelfu.
SIO LAZIMA YEYE HATA WEWE UKISIMAMA INAWEZA KUWA POAMkuu unaonaje 2020 ukigombea wewe
well saidWenzake wako UN huko kupanga mipango ya maana yeye kazi kutafuta majukwaa ya kupiga vijembe wapinzani. Watanzania tumekula hasara kwa miaka mitano.