mafuta malibate
Member
- Sep 6, 2017
- 38
- 9
Mafisadi ndo imekula kwao
ndio mbunge wa simanjiro huyo kupitia chademaNaona Olemilya amejaa tele hapa
UN ni jukwaa la kutangaziana ubabe na kupigana vijembe Trump na Iran !Wenzake wako UN huko kupanga mipango ya maana yeye kazi kutafuta majukwaa ya kupiga vijembe wapinzani. Watanzania tumekula hasara kwa miaka mitano.
.....halafu apewe Lema na Mbowe !Lazima atukane watu leo na hivi michango ya mgonjwa inakaribia Dola laki moja za kimarekani. atazimia wallah
Wewe kama haumuelewi Olemilya anamuelewaEti sintawabagua watanzania, anatufanya watanzania hatuna macho na masikio yaani kwa kifupi anatufanya hatuna akili
sasa si umwambie magufuli mjitoe kwenye uanachama wa UNUN ni jukwaa la kutangaziana ubabe na kupigana vijembe Trump na Iran !
Wewe kama haumuelewi Olemilya anamuelewa
Na hajawahi kujua yeyote, si Luwassa wa chenge.Daahh!!
Inasikitisha sana, hasara hii haijawahi kutokea.
Tunakoelekea Mungu ndie anajua peke yake
Halafu eti kuna watu wanasema hakuna pesa mifukoni, mara uchumi mbayaLazima atukane watu leo na hivi michango ya mgonjwa inakaribia Dola laki moja za kimarekani. atazimia wallah
Kwani wewe si chakiiMotochini naona umekuja na ID nyingine.
diaspora ndo wamechanga hela nyingi weweHalafu eti kuna watu wanasema hakuna pesa mifukoni, mara uchumi mbaya