Yanayojiri: Leo Tarehe 11/12/2013. Bungeni Dodoma

kama tutangoja serikali
na sera zake katika mazingira basi tuhesabu hatuna
mazingira----A.Makinda(spika wa bunge)

hii kauli ina prove kuwa sera za serikali ya ccm ni ovyo na
hazitekelezwi.

Bi kiroboto kadhihirisha upumbavu wa sera wa chama chake!!
 
hivi hakuna link ya mtandao
inayoweza kutusaidia kufuatilia matangazo ya bunge moja kwa moja kwa
njia ya mtandao?

Kuna kipindi ARUSHA MAMBO RADIO walikuwa wanarusha matangazo haya lakini
siku hizi hamna kitu
Tafadhali mwenye kujua link ya mtandao inayoweza kutupatia uhondo huu
naomba aweke hapa tufuatilie

Tangia ccm wazidiwe kwa hoja na kuanza mikakati ya kutotaka irushwe live ktk Tv nadhani ndo wanatimiza kimya kimya kwani tangia hapo star tv hawajawahirusha tena live na walibaki tbc amba kwa maeneo mengi sasa haionekani na kutimiza dhima yao kimya kimya
 
huyu jamaa ni mtupu sana kichwani aisee, anasema Tanzania wailazimishe Uganda kutumia bandari ya Dar kulipa madeni..

huyu jamaa kweli ni mtupu aisee..
Nahodha kashamuumbua sasa!!

Ndo reflection ya mwenyekiti wao hiyo
 
Wakati akijubu hoja mbalimbali za wabunge,mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali,alisoma mapendekezo ya kamati yake kwa bunge ambayo yote yaliridhiwa na bunge na sasa kuwa mapendekezo(maazimio) ya bunge.

Kinachomgusa Pinda ni lile pendekezo linalosomeka "mawaziri wote wa TAMISEMI(huku akimtaja Pinda kwa msisitizo) wajipime,wajitafakari kama wanatosha kuongoza wizara kubwa na nyeti kama TAMIDEMI".Pia,ifahamike kuwa, mwenyekiti huyo baada ya kusoma pendekezo hilo kwa mara ya kwanza alirudia tena kwa kusema na hapa akimtaja waziri mkuu Pinda kwa jina "narudia labda mh.Pinda hakunisikia,mwaziri wote wajipime,wajitafakari kama wanatosha kuendelea kuongoza wizara kubwa na nyeti kama TAMISEMI" ,alisema mwenyekiti huyo wa kamati ya bunge ya LAAC.

Pia,tukumbuke bunge limeridhia mapendekezo yote ikiwa ni pamoja na hilo la kuwataka mawaziri wote wa TAMISEMI kujitafakari.

Sasa mapendekezo haya si ndio kama yale ya kamati ya Mwakyembe kwa aliekuwa waziri mkuu wa wakati huo,mh.Edward Lowassa?

Katika mazingira haya, Pinda na mawaziri wenzake(Hawa Ghasia na Aggrey Mwammry) watapona kweli?

Tusubiri tuone.
 
Wizara za kilaji, unategemea bunge la ukweli??? wakati wananchi ni walaji, watu wa kitu kidogo hata chumvi unapata ubunge
 
Nahisi kweli kuna ulazima wa mtu kuwa na digrii kama ilivyo Uganda. Ndani ya EAC tutaumbuka.

The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle

mkuu signature yako ya ukweli sana.
 
huyu jamaa kumbe na yeye ni mbunge wa EAC?

Hapana. Komba siyo wa EAC, lakini kumbuka hao wa EAC wanachanguliwa na akina Komba. Kuna ukweli pia kwamba kama Bunge letu ni la kina Komba, hata wale wa EAC ni wa aina hiyo. Hapo ndo kuna mzaha wetu. Uganda bila digrii huingii Bungeni.

Yatubidi tujitahidi kufika kiwango hicho ili tupunguze kelele na michango taka. Najua haitakwisha lakini itapungua sana.
 
Back
Top Bottom