tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,440
"Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne
-Watu
-Ardhi
-SIASA SAFI na
-USINGIZI BORA
-Watu
-Ardhi
-SIASA SAFI na
-USINGIZI BORA
Mlemavu wewe unayesubiri.watu wanamaiaha bora kabla hata ta hizo barabara na hospitali unazosemea wewe,sasa kwa akili zako za mtumba,endelea kuisubiri serikali.
Maisha bora ni mipango na jitihada zako.
Source ya hela za Serikali ni kodi zetu!
na najivunia kwamba nalipa kodi nzuri; so I'm doing my job kuhakikisha maskini wazee na watoto wanapata hizo huduma; wengine fanyeni kazi... huduma za serikali ni basic services; maisha bora ni wewe mwenyewe!
Ndio maana pamoja na kuchangia serikaili kupitia kodi yangu; sitibiwi kwenye hospital zao, na sisomeshi watoto wangu kwenye shule zao... hope this make sense.
Maisha bora hayaletwi na serikali mkuu. Ukisubiri serikali utajikuta unazeeka na mawazo kama wazee wa EA
Pole na Majukumu ya kila siku Mtanzania Mwenzangu, vipi Umeshapata MAISHA BORA kama walivyokuahidi CCM Mwaka 2005 Na 2010? Anayekuuliza sio Mwanasiasa! Yaani, Mwanaharakati!! Hebu jiulize
wanaotoa Ahadi Wanakuonaje Wewe?
1.Ni -----
2.Ni Mjinga
3.Mpumbavu
4.Mwehu
5.Mwendawazimu
6.Una Ubongo wa kuku Yaani, Msahaulifu.
Mbona Wenyewe wana Maisha Bora! Kwanini wewe huna au Wenzetu sio Watanzania? Kazi Kwako Mwaka 2015 Nikutakie Tafakari Njema MATUMAINI NA JIoni NJEMA
Mbona unafanya kila mtu mwanasiasa; Nyie mnadhani kuna chama kitaenda chakula kwenye meza yako... utakufa maskini!
Hivi unaelewa maana ya SIASA? Kuna mtu yeyote unayemjua wewe kuwa si mwanasiasa?