Maisha bora ni mipango na jitihada zako.
Maisha bora ni mipango na jitihada zako.
Maisha bora ni mipango na jitihada zako.
Sikuhitaji ahadi za CCM au chama chochote kujitengenezea maisha bora... yes nina maisha bora ukilinganisha na 2005, 2010 lakini kwa juhudi zangu... Na ukweli utaendelea kuwa hivyo daima.
Maisha bora ni mipango na jitihada zako.
Maisha bora ni mipango na jitihada zako.
Maisha bora hayaletwi na serikali mkuu. Ukisubiri serikali utajikuta unazeeka na mawazo kama wazee wa EA
Sikuhitaji ahadi za CCM au chama chochote kujitengenezea maisha bora... yes nina maisha bora ukilinganisha na 2005, 2010 lakini kwa juhudi zangu... Na ukweli utaendelea kuwa hivyo daima.
Maisha bora hayaletwi na serikali mkuu. Ukisubiri serikali utajikuta unazeeka na mawazo kama wazee wa EA
kwahiyo barabara maji hosipitali zinaletwa na nani! kweli wewe ni mlemavu wa akili kama makonda