Hivi babu huwa analala saa ngapi?
Hivi babu huwa analala saa ngapi?
..
....Pamoja sana Kamanda..bora ubebe mzigo wa mawe maana unaweza kuyaponda ukapata kokoto!!!
Vipi huo wa kasulu ni wa chama cha mipinduo, ccm, au ni wana chama wa chadema pia?tunataka picha kama tunazopata toka Kasulu hatutaki za mwaka juzi tunataka za leooo leooo
Hivi babu (Slaa) huwa analala saa ngapi?
Vipi huo wa kasulu ni wa chama cha mipinduo, ccm, au ni wana chama wa chadema pia?
Kama Kikwete bado anapenda kuendelea kupata uhalali wa serikali yake, Pinda aondoke, wakuu wa taasisi za vyombo vya dola, JWTZ, Polisi, Usalama wa Taifa lazima wawajibike kutokana na ukatili mkubwa wa Operesheni Tokomeza Ujangili.
Hakuna anayeweza kuelewa maovu hayo kwamba yanaweza kufanywa chini ya usimamizi wa vyomb vya serikali.
View attachment 128217
Alikwapua zote.... Hakutoa hata shilingi moja.... Ukimuona anaandika ujinga jf ujue laana ya kutafuna rambirambi inamwandama na imeanzia kichwani
Hataki mashoga huyo, kajaribu kwingine.
Bila shaka alimchukulia babako mkewe