nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Duh, dr. Slaa anatisha, kawakusanya hapo igunga sio mchezo!
unataka kumtandikia kitanda?
muulize mwenyekiti wa chadema mkoa atakwambia ni wa nini.
dr slaa yupi yule aliepgwa mawe kigoma,by the way mbona hamweki picha au camera zmegoma
Jamani picha vipi? Wapi ilipo Kurugenzi ya Habari?
tunataka picha kama tunazopata toka Kasulu hatutaki za mwaka juzi tunataka za leooo leooo
Tupia picha
kuanzia muanze kusema haya maneno mmeshaenda kunywa juice mara ngapi Ikulu? mlivyoenda kule ikulu mlimwambia hayo maneno? kama hapana unadhani kusema hapa inasadia?
Nafikiri majibu yenu yamepatikana na hayana ubishi kwa kuwa Picha zina Tarehe husika
Kweli aisee...dhuluma ni mbaya sana ...huyu Chris lukosi laana inamuandama...mzimu wa mwangosi una mmaliza taratibu
Usijali babu anatumia kondom kwahiyo hutalea mimba ya mwanaume mwenzio.
kwani kusulu iko mkoa gani>?Mwenyekiti wa mkoa upi?nafikiri habari inapaswa ikamilike kusiwe na discrepancies.