Baada ya kile kinachoonekana kuwa ni uchakachuaji wa matokeo, wanachi wamerusha mawe na kumfanya mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga kuahirisha kutangaza matokeo. source: redio Faraja
hivi hawa wametumwa na Ibilisi kutuvuruga?
kuna ugumu gani kuhesabu kura na kupanga jedwali? Hata mtoto wa shule ya msingi si anaweza fanya....wananiudhi kweliii
hivi hawa wametumwa na Ibilisi kutuvuruga?
kuna ugumu gani kuhesabu kura na kupanga jedwali? Hata mtoto wa shule ya msingi si anaweza fanya....wananiudhi kweliii