MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Taarifa nilizoona ITV sasa hivi toka huko shinyanga ni kuwa kuna system ilishatengenezwa ya kuchakachua ya mtu kupewa karatasi tatu za kupigia kura baada ya kuonesha ishara ya vidole vitatu kwa msimamizi.
Amekamatwa jamaa alishapiga kura tatu kwa jk tayari na sasa yupo lupango.
Amekamatwa jamaa alishapiga kura tatu kwa jk tayari na sasa yupo lupango.