Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 15 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

Tangu lini maroboti yakawa na utashi wa kujua haya, unayaonea bure.
siku hizi robot wa wazungu wanatengezwa kuwa na hisia ,na ware of their environment,na waweze interact na mazingira kutokana na wanayokumbana nayo ktk mzingira..inaelekea yapo mbali sana kuliko mitakataka ya ccm.
 
Nimepita sehemu nikakuta kipindi cha bunge la katiba, lakini ndugu zangu kuna watu unaweza kuwaonea huruma jinsi wanavyojenga hoja zao, naona sasa anamalizia mama mmoja anaitwa "Pindi Chana" - nimeshindwa kuelewa anajengaje hoja, mpaka najiuliza kuna watu ambao naye anawafunika huko bungeni?

Sasa mliofutilia hebu tuorodhesheeni wajumbe hapa kwa kufuata criteria nitakazozitaja baadaye. Najua wengi wanapitia huku wataona kama michango yao inasaidia au lah, ni matope au 'super", pia Rais naye bila shaka huwa anacheki Jf mara moja moja, akipitia humu itamsaidia kufanya uteuzi makini next time, kama yeye hataona basi akina Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba (aka mzee wa ugaidi - Sugu) watamshauri. Yaani nimeona kuna watu wanajenga hoja, mpaka unajiuliza huyu ni binadamu au msukule? Pia kuna vichwa vinavyofanya vizuri sana.

Vigezo ni:

1. Wachangiaji wanaojenga hoja zenye manufaa kwa wananchi, nchi na muungano kwa ujumla - wazalendo, non-alligned


2. Wajumbe wenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi bila kujali kama zina manufaa kwa nchi au lah


3. Wajumbe wenye uwezo mkubwa wa kufanya uchambuzi na mchanganuo kuhusu hoja fulani

4. Wajumbe wenye uwezo mkubwa wa kufikiria, kureason na kufocust - futurists

5. Wajumbe wanaoonekana kuwa na facts zinazotokana na usomi wao, uwezo wao wa kuresearch na kuelewa

Upande mwingine:

6. Wajumbe mambumbumbu wasiokuwa na uelewa wowote kuhusu hoja husika

7. Wajumbe wasio na hoja za msingi, wenye uwezo mdogo wa kureason na bendera kufuata upepo

8. Wajumbe ambao wakichangia full time wanakuwa off-point

9. Wajumbe comedians

10. Wajumbe michapo na mipasho

11. Wajumbe wauza sura na mafundi wa kujishebedua

12. Wajumbe wanaovunja rekodi kwa kulala

Pia unaweza kuongezea list ya characters za wajumbe wa hili bunge la katiba ya Tanzania mpya tunayoitarajia.

#Teampicha lazima muwepo

CC: Pasco, Mungi
BCC: Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Hao wanaunga mkono Serikali mbili wanaunga mkono kipengele kipi cha rasimu? Nadhani badala ya kusema wanaunga mkono serikali mbili, waseme hawaungi mkono serikali tatu kama zilvyoainishwa kwenye rasimu
 
Katika majadiliano yanayoendelea inaonekana wazi kwamba wazanzibar sasa wanaamsha hisia za utengano zilizokuwepo zamani. Weusi wamekuwa wanawatukana na kuwabagua wenye asili ya kiarabu kaisi kwamba unashindwa kuelewa muafaka kule zanzibar utabaki kweli baadaya katiba hii? Nimependa mbunge mmoja amemuonya kingwangala aliyesema kwamba katiba hii ikipitishwa itawalazimu zanzibar kubadili katiba yao na kumwambia hizo ni ndoto za mchana na halitokaa litokee zanzibar. Huu ubaguzi wa rangi ambao Sitta amekuwa anaulea bila kuukemea haliwezi kuleta ufa mkubwa zanzibar?
 
siku hizi robot wa wazungu wanatengezwa kuwa na hisia ,na ware of their environment,na waweze interact na mazingira kutokana na wanayokumbana nayo ktk mzingira..inaelekea yapo mbali sana kuliko mitakataka ya ccm.

Haya ya nchi ya kusadikika hayana uwezo huo si unayaona? We angalia mengine yamebandikwa vibao mgongoni vimeandikwa "doctor" "professor" lakini hayana hata chembe ya natural rationale achilia mbali artificial intelligence.
 
Hapa napata sana tabu. yaani mtanganyika kujiita hivyo ni dhambi au kujitambulisha hivyo ni makosa, lakini mzanzibar sio makosa na mpaka na vitambulisho wanavyo na wanazuia ardhi yao kutumika shida sana.
 
Wamama wengi wa ccm ni mashangingi kichwani weupe sana
haha....sijui hata km na hao waliopewa ngono..hawakuona ngono ya kizembezembe ..kwa akili za hawa akina mama hata ngono wanazoonga ni za kizembezembe tuu..inaonyesha jinsi gani choices za ccm ni hovyo
 
Tujiandae kuipinga katiba mbovu itakayopitishwa na wajumbe wabovu wa ccm. Ikifika kura ya maoni tuiangushe katiba hiyo mbovu labda wazingatie maoni ya wapinzani walio wachache
 
Haya ya nchi ya kusadikika hayana uwezo huo si unayaona? We angalia mengine yamebandikwa vibao mgongoni vimeandikwa "doctor" "professor" lakini hayana hata chembe ya natural rationale achilia mbali artificial intelligence.
Haha...ndio napata Picture kwanini wenzetu walikuwa wakikataa sana wasomi kufundisha vyuo,au international schools zao,walitukaa kwa heshima kwa kuogopa mihemko yetu....ila ukweli tulijidanganya kuwa ni UBAGUZI...hawa jamaa watawapa sababu za ku badili watu na kuwekza robot.
 
Hao wanaunga mkono Serikali mbili wanaunga mkono kipengele kipi cha rasimu? Nadhani badala ya kusema wanaunga mkono serikali mbili, waseme hawaungi mkono serikali tatu kama zilvyoainishwa kwenye rasimu
wanaogopa kufikiria kuwa zenj ni ndogo ila ni business partner.....ni km billionea asiyetaka amini billionea mwingine mdogo...ni ulafi tuu wa ccm ndio unawaumiza ...
 
Akichangia katika bunge la katiba
Mh joseph mbilinyi amesema akiwa anaongea na mwigulu nje ya Bunge hua anamuambia yeye ni muumini wa serikali 1 lakini anaogopa kuongea kwa kuogopa kwenda kinyume na Chama chake
 
Huko Bungeni ni mwendo wa kuumbuana tu.Ninawahofia wabunge wa CCM Zanzibar,ni namna gani wataweza kuwahodhi wahafidhina wa Serikali ya Shirikisho na kuwaambia ati Zanzibar si nchi tena.Mh!Hapo ndipo penye utata,kweli UNAFIKI una gharama kubwa sana.:confused:
 
Kama kweli kaongea hayo basi huo ni umbeya mazungumzo yalikua binafsi kati yake na mwigulu.
 
Umenichekesha sana kaka. Yule jamaa sijui kafikaje pale bungeni? Ni kilaza wa hali ya juu.
pia usisahau kuwa huyu bw aliwahi kugombea urais wa tz,sikumbuki chama chake kinaitwaje. Haya ndo mapandikizi ya CCM,yanajitokeza wakati wati wa uchaguzi tu kupinga wapinzani wenzake...
 
hili bunge limejaa watu wasiojielewa.wamekuwa wakitupiana matusi na kejeli kama waimba tarabu.mi najitoa rasmi na sitaliangalia tena sababu linanipotezea mda tu hapa na sidhani kama kuna jipya zaidi ya matusi na sitegemei kama kutakuwa na katiba mpya watanzania wanayoitaka.mda niliokuwa natumia kuangalia bunge nitatumia kusikiliza mziki wa bongo flavour na taarabu

Aliyewateua wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, anapenda sana mipasho. Hivi sasa JK. akiliagalia Bunge hili atakuwa anajisikia full burudani...Ha haaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom