gize
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 202
- 134
Watanzania wenzangu nimesikitishwa sana na mambo yanayoendelea bungeni
Lugha inayotumika kwa wajumbe si ya staha kabisa, malengo hasa ya kujadili rasimu ya jaji warioba siyaoni? na sissiemu kwa makusudi kabisa nadiliki kusema wametupotezea tena pesa zetu nyingi (Gharama za zaidi ya milioni 100 zilizotumika na wakina jaji warioba)
Tujikumbushe kidogo,
Mara baada ya uchaguzi mkuu wa uraisi 2010, sisisemu hawakuwa na ajenda kabisa ya kuandika katiba mpya, mara tu baada ya kelele toka upinzani ndipo jk akalishilikilia bango lakini mawaziri wake wakubwa kama Jaji werema na mama serilina kombani na wakina chikawe wakasema hakuna haja ya katiba mpya. Kwa kweli tungejua ni heli tusingepoteza hizo fedha na muda tungeacha tu, kwa sababu sasa hivi bungeni ni dhahiri shairi kuwa Sisiemu wote wa zanzibar na bara wanataka hali inendelee kama ilivyo yaani serikali mbili.
Sasa najiuliza kwanini jk alikurupuka kutuingiza gharama za hizi katiba mpya wakati hata yeye mwenyewe amaeonyesha kutoiunga mkono rasimu hii ya katiba, na sasa sisiemu wote wanashikiria suala lile lile la serikali mbili kama jinsi lilivyo SASA Liendelee,
Wanakataa hata suala la uwazi na uwajibikaji kuwa moja wapo ya tunu za taifa, leo nchi zinazoendelea zote hii ni silaha muhimu katika kuleta maendeleo, sasa hutaji uwazi na uwajibikaji unataka nini??
Sioni dalili za kusikilizana hata kwa wazazibar wenyewe, tayari wanatofautiana kwa itikadi za kichama, sasa najiuliza kelele zao hasa huko nyuma ni zipi kama wanaona huu muuondo unafaa, kwanini walikubali kutoa maoni?? mbona wanaserikali ya mseto?? mbona tayari wanaserikali ya nchi yao yenye mamlaka kamili, Tanganyika iko wapi??
Maana sielewi huu Muuungano ambao nchi mmoja inaishi na kuonekana (Zanzibar) wakati Tanganyika haionekani, halafu tunasema serikali mbili ziendelee??
NAJIULIZA KAMA HAWAKUWA TAYARI KWA MABADILIKO?? KWANINI WAMERUHUSU TUPOTEZE MUDA NA MAMILIONI YA SHILINGI HATA SASA BUNGE LA KATIBA LINAKULA ZAIDI YA MILIONI 180 KWA SIKU, WAKATI HAWAKO TAYARI KUKUBALIANA NA MAONI YA WANANCHI.. NI HATARI SANA HII.
WATOTO HAWANA MADAWATI, SASA MIUNDO MBINU IMEHARIBIKA ZAIDI, MAJI SHIDA, AJIRA SASA NI MAJANGA, NA KWA HARI HII TUTENGEMEE MATATTIZO ZAIDI YA HUDUMA ZA KIJAMII KUYUMBA KWA SABABU PESA NYINGI ZINATUMIKA KATIKA KATIBA HII, AMBAYO SISIEMU TAYARI WAMEONYESHA KUKATAA MAPENDEKEZO YA TUME WALIYOIPA MAMALAKA WENYEWE NA KULETA MAONI YA WANANCHI.
WATANZANIA TUNA PESA KIASI GANI HATA TUZICHEZEE KAISI HIKI??
Lugha inayotumika kwa wajumbe si ya staha kabisa, malengo hasa ya kujadili rasimu ya jaji warioba siyaoni? na sissiemu kwa makusudi kabisa nadiliki kusema wametupotezea tena pesa zetu nyingi (Gharama za zaidi ya milioni 100 zilizotumika na wakina jaji warioba)
Tujikumbushe kidogo,
Mara baada ya uchaguzi mkuu wa uraisi 2010, sisisemu hawakuwa na ajenda kabisa ya kuandika katiba mpya, mara tu baada ya kelele toka upinzani ndipo jk akalishilikilia bango lakini mawaziri wake wakubwa kama Jaji werema na mama serilina kombani na wakina chikawe wakasema hakuna haja ya katiba mpya. Kwa kweli tungejua ni heli tusingepoteza hizo fedha na muda tungeacha tu, kwa sababu sasa hivi bungeni ni dhahiri shairi kuwa Sisiemu wote wa zanzibar na bara wanataka hali inendelee kama ilivyo yaani serikali mbili.
Sasa najiuliza kwanini jk alikurupuka kutuingiza gharama za hizi katiba mpya wakati hata yeye mwenyewe amaeonyesha kutoiunga mkono rasimu hii ya katiba, na sasa sisiemu wote wanashikiria suala lile lile la serikali mbili kama jinsi lilivyo SASA Liendelee,
Wanakataa hata suala la uwazi na uwajibikaji kuwa moja wapo ya tunu za taifa, leo nchi zinazoendelea zote hii ni silaha muhimu katika kuleta maendeleo, sasa hutaji uwazi na uwajibikaji unataka nini??
Sioni dalili za kusikilizana hata kwa wazazibar wenyewe, tayari wanatofautiana kwa itikadi za kichama, sasa najiuliza kelele zao hasa huko nyuma ni zipi kama wanaona huu muuondo unafaa, kwanini walikubali kutoa maoni?? mbona wanaserikali ya mseto?? mbona tayari wanaserikali ya nchi yao yenye mamlaka kamili, Tanganyika iko wapi??
Maana sielewi huu Muuungano ambao nchi mmoja inaishi na kuonekana (Zanzibar) wakati Tanganyika haionekani, halafu tunasema serikali mbili ziendelee??
NAJIULIZA KAMA HAWAKUWA TAYARI KWA MABADILIKO?? KWANINI WAMERUHUSU TUPOTEZE MUDA NA MAMILIONI YA SHILINGI HATA SASA BUNGE LA KATIBA LINAKULA ZAIDI YA MILIONI 180 KWA SIKU, WAKATI HAWAKO TAYARI KUKUBALIANA NA MAONI YA WANANCHI.. NI HATARI SANA HII.
WATOTO HAWANA MADAWATI, SASA MIUNDO MBINU IMEHARIBIKA ZAIDI, MAJI SHIDA, AJIRA SASA NI MAJANGA, NA KWA HARI HII TUTENGEMEE MATATTIZO ZAIDI YA HUDUMA ZA KIJAMII KUYUMBA KWA SABABU PESA NYINGI ZINATUMIKA KATIKA KATIBA HII, AMBAYO SISIEMU TAYARI WAMEONYESHA KUKATAA MAPENDEKEZO YA TUME WALIYOIPA MAMALAKA WENYEWE NA KULETA MAONI YA WANANCHI.
WATANZANIA TUNA PESA KIASI GANI HATA TUZICHEZEE KAISI HIKI??