Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 15 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

Oluouch: mbunge wangu Lameck Airo hajatuuliza wananchi wa jimbo letu tunataka muundo wa serikali gani?
 
pia anasema kuwa Wapemba wabaguzi, na Seif ndiye aliyemchongea Jumbe kwa Nyerere. hivi ni baadhi ya vituko vya wabunge wetu.

Nyerere aliwapenda sana wapemba wawili Salim Ahmed Salim na Seif Sharif hamad na alitaka awape hata uraisi tatizo la wao kutokuwa maraisi hadi leo lilitokea Zanzibar.

Seif sharif hamad badala ya kutulia na kufanya siasa akiwa na jumbe alianzisha kamati zake za wapemba wenzie za fitina na majungu dhidi ya mzee jumbe kichichini ili wamuangushe aonekane hafai apewe yeye.Wakamshauri Jumbe vibaya kuhusu muungano jumbe akaingia kichwa kichwa bila kuchanganyas huo ushauri aliopewa na akili zake.Walipoona Jumbe kakolea Mwenyekiti wa kamati ya fitina na majungu Seif Shariff hamad akaenda kwa Nyerere kumchongea Jumbe kuwa ana harakati za kuvunja muungano.Lakini Mungu si Athmani Seif mwenyewe huo uraisi hakuupata na haji kuupata.

Karume alishaapa kuwa Zanzibar kinachotakiwa hata kama atakufa katika uongozi wahakikishe siku zote kwenye uongozi wanabadilisha baharia wasibadilishe nahodha.Akimaanisha kuwa Zanzibar Raisi wa Zanzibar wa juu lazima awe mwafrika mweusi wa chini yaani mabaharia (viongozi wasaidizi) waweza weka hata wapemba na ukawabadilisha upendavyo hao mabaharia sababu anasema wakati yeye kashika mapanga na marungu kumtimua suiltani watoto na wajukuu wa sultan yaani wapemba walikuwa wanatafuna tambuu na kunywa kahawa na sultan.

Seif sharif hamadi sasa hivi ni baharia Zanzibar hawi raisi kamili na haji kuwa kwa kuwa ana laana za fitina na majungu alizowafanyia maraisi weusi hasa jumbe,mwinyi,salmin amour na abdul wakil.

Huo ubaharia alioupata Seif kaupata kwa nguvu na msaada wa Raisi KIKWETE raisi wa muungano aliyeahidi kumaliza tatizo la kisiasa Zanzibar.Nje ya muungano huu wa serikali mbili anaoupiga vita asingepata hiyo nafasi anayotembea na ving`ora.
 
Mpaka sasa hakuna hoja yoyote ya msingi iliyotolewa ya kutetea serikali mbili na mjumbe yoyote bali nasikia malalamiko tu ya muungano utavunjika na hadithi nyingi za paukwa pakawa. Inanipa mashaka kuwa mlipelekwa wengi kwa ajili ya kupitisha kwa wingi wa kura si kwa hoja. Lakini kila aliyesimama kutetea serikali tatu ana hoja nzito za msingi na uhakika. CCM mjue mnatetea kitu cha miaka 50 ijayo ambacho hamna hoja za msingi na matokeo yake tutakuja kuonekana wote wajinga ndani ya miaka 50 ijayo. Tume ya warioba ilifanya tafiti na kazi ya uhakika.
 
hata Mheshimiwa Mkapa alishawahi kumyamazisha mwenyegazeti la rai miaka ile kuwa ni Myarwanda hii ni mipango yao maji yanapowafika shingoni!!!
Kwani hakuwa mnyarwanda. Maana Jenerali inajulikana wazi asili yake ni Mnyaru ana uraia wa Tanzania wa Tajinisi.
 
Wadau
Katika hali ya kushangaza ilitegemewa kuwa wajumbe kutoka znz wangekuwa na mshikamano wa kudai mamlaka kamili ya znz lakini.cha ajabu wameanza kutukanana na kuumbuana.
Lets wait anf see.
Hiyo ni kutokana na usaliti wa wana ccm toka zanzibar,wakiwa zenj wanadai wanataka mamlaka kamili,wakiwa bara 'wanaufyata'. mimi nawakubali sana cuf kwa kutokuwa wanafiki ... tatizo ni uccm umewapofusha.
 
Saleh Nassor Juma wa Pemba kawatoa wasiwasi wapemba wa Mbeya na Bahi Muungano wa s3 hauvunji muungano
 
Kwa heshima na taadhima narudia tena mkuu kukusihi ujaribu kufuatilia na uraia wa kinana maana shutuma zake pia zinaenea huku mtaani.
Mkuu, hakika hili suala la uraia ni jambo ambalo linapaswa kufuatiliwa kwa karibu. Isije ikawa tukatawaliwa na watu wa mataifa ya nje ambao mwisho wa siku wanakuja kuitelekeza nchi hii. Mtanzania wa Kweli hawezi kutetea mfumo wa serikali mbili wala tatu bali atapendekeza serikali moja
 
Kwani hakuwa mnyarwanda. Maana Jenerali inajulikana wazi asili yake ni Mnyaru ana uraia wa Tanzania wa Tajinisi.
kwani alisakamwa mara gazeti lake lilipokuwa mwiba kwa serikali wakati alishawahi kushika nafasi kubwa serikalini?
 
Huyu mchangiaji wa sasa anaemalizia nimecheka mpaka basi. Nimesahau hata kuweka updates, Kibo10 hebu yaweke maneno yake ktk mandishi
 
Last edited by a moderator:
Kuna wanaosema wakiwa kwao ZNZ wote (CUF na CCM) wanakuwa na msimamo mmoja (Mkataba) lakini wakifika Dodoma sijui wale wa CCM wanaingiwa na mdudu gani maana wanageuka kutetea serikali mbili kwa nguvu zote!!!
 
Haya Jusa anataka kupewa mke mzee ila tatizo mwanamke mwenyewe kumbe baba yake Jusa alishamla uroda huyo kikongwe.
 
hahahahahaaa,Jussa sasa anaozeshwa! Hili bunge hata kama unastress utacheka tu. Ni mipasho. "hii mipasho sasa inapita kipimo" (Samuel Sitta)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom