Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

kwanza watanzania tunaogopa nini hadi tunaacha watu wachache tena ambao hawajasoma na kama wamesoma basi hawajaelimika kutuburuza hadi lini tubadilike?
 
Mwenye clip tafadhali turushie ikiwezekana. Ila inabidi tujiulize sana haya yanayoendelea kuna kitu hakijakaa vizuri kuhusu Muungano na tunafichwa
 
Hata mimi leo ndio nimeamini nchi hii inatawaliwa na hila na siasa chafu sana na TBC moja na organs za kupotosha usafi na ukweli wa siasa. Mhn aibuuuu...

Hoja za Ukweli hushinda uongo siku zote...

Kwanza waliowengi wanatumia mabavu kwa kuvunja kanuni maksudi: Maoni ya wachache hawataki kusoma, Mwenyekiti hupo na anaona ila anawaonea aibu kwa vile ni chama chao.

Tegemeo pakee la kusikia maoni mbadala lilibaki kuwa ni zile dakika 30 anazopewa mmoja wa waliowachache afafanue nako tena TBC wanaua, Jamaniiiiii .....!
 
Katika wakati ambapo tbc wamedhihiliaha U -ovyo wao ni leo baada ya kukata matangazo yao ghafla na kuiweka hotuba JK .wakati hayo yanatokea Mheshimiwa lisu alikuwa anatolea ufafanuzi wa yale maoni ya wachache .Duu !!!!! Kweli Tbc ovyoooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Asanteni sana TBC kwa kutukatishia matangazo wakati mh. TUNDU LISSU akielezea kuhusu swala la Muungano, uhalali na hati zake. Haitasaidia kitu, ukweli utabaki kuwa ukweli tuuu!! No matter what!!!!!
 
Azimio la Arusha waliua,wizi wa mali za umma na mengine mengi mazuri aliyoyatetea mwalimu kwa nini hawayataji? Muungano huu uwe wa wananchi sio wa viongozi na makada wao.Come back tanganyika yetu
 
wamemkatia Tundu lissu umeme tusione tv mwisho wakakata na matangazo ya redio na kuweka mziki. huuu ni unyanyasaji Tbc mmekera
 
Ndio maana Kafulila alishaanga vijana wadogo kuwatukana wazee wao, Dr....Uchwara

ivi kweli kigwangala ana ubavu gani wa kijilinganisha na hata mjumbe mmoja wa tume ya mabadiriko ya katiba, ni kweli kigwangala ni level ya akina prof, mwesiga baregu, jaji augustino ramadhani, jaji joseph sinde warioba, prof palamagamba kabudi. nchi hii tumejaa dharau na sishangai hata kikwete alivyo jaribu kujifananisha na wasomi hawa, kikwete akipewa tuzo za uongo na NGO isiyofahamika ya kimarekani anajiona kamaliza na ni wa next level to all tanzanians, amewafanya akina kigwangala kuongea wakiwa hawana utashi kamili na ndio maana wanakumbwa na ZOMEA ZOMEA!!!!!!!!!!! muda wote ameutumia kumwogopa tundu lissu anayawasilisha maoni ya wachache
 
Back
Top Bottom