Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

Kweli nimeamini maneno ya Mh.Tundu Lisu!! aliye zoea vya kunyonga vya halali hawezi ha ha ha TBC wamekata matangazo kisa Mh anasema ya ukweli yaliyofichwa kwa miaka 50!! aliye bungeni atupe dondoo tafadhali
Ni ajabu!
 
Hivi hakuna uwezekano kuishtaki tbc kwani inaendesha kwa kodi zetu kisha wanafanya uhuni huu
 
Hongera sana Lissu. Naona mpaka TBC wamekuogopa


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Ni kweli kabisa. Nimeruka star tv saa hiyohiyo wanaonyesha mchezo.

Alikua anatoa evidence ya kutokuwepo kwa muungano. Ametiririka vizuri sana, yaani sana. Ccm wanaduwaa tu hapo bungeni.

Ccm ni janga la taifa tu. Kinyesi cha bata hii station
 
Teh Teh Teh Teh Teh

Ukweli unazuiwa wananchi wasiupate Kupitia tv ya watanzania wenyewe!
 
Very unreliable TBC.. The minute anataja evidence yakutokuwepo hati ndo wana kata.. Kwamba mawingu na mitambo inaharibika the most influencial time..
 
Lisu anatema nondo na kawaumbua maccm vilivyo ndio maana wameamua kukata mawasiliano ya tv zote za Star tv na tbc.
 
Watu wanaonufaika na umbumbumbu, hawawezi kuruhusu ukweli ufahamike. Wamekata matangazo....!
 
Hatimae tbc wakata matangazo makusudi wakati Mh.Tundu Lissu akishusha nondo kwamba Hakuna hati ya Muungano ndani ya Tanzania na hata umoja wa mataifa...
 
Baada ya gwiji la Sheria duniani Tundu A. Lissu kuuchanachana muungano, wameweka DVD inahutubia uharo. Hayo yanawezekana ndani ya ccm tu.

Wadau nielekezeni ilipo mitambo ya TBC nikaiharibu kwa mikono yangu mwenyewe.Inakera kodi yangu kupotea kwa upumbavu huu.
 
TBC ni wa kupiga risasi...wanarudisha wanakuta moto wanamweka JK......leo watakuwa usalama wa CCM studio
 
Nimesikitika Sana, nilikuwa namsikiliza Mh. Tundu lisu akongea knye bunge maalum la katiba kupitia radio, ghafla hotuba yake ikakatishwa. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki ya kupata habar. Arghhhhhhhhhh.....:dizzy::dizzy::dizzy:

Kwa kweli TBC wanachotufanyia si haki kabisa!!... Wakumbuke kuwa mishahara yao inatokana na kodi zetu leo wanatunyima fursa ya kupata Habari....

Je kuna umuhimu wa kuendelea na hiki kituo kuitwa Televisheni ya Taifa?
 
Back
Top Bottom