Miguel255
Member
- May 13, 2020
- 35
- 111
Haya yanayoendelea Tanzania kwasasa kuna muda natamani yasiishe. Vyombo vya ulinzi vinapiga kazi mpaka unasema yees walikuwa wapi muda wote?
Yaani unamkuta mwanajeshi kasimama barabarani siku nzima kudadeki na mtutu🤣🤣 kuna namna naiona kodi yangu ikiliwa kihalali. Unajua mwanzo hawa maaskari walikuwa wanakula mishahara ya bure tu. Ila sasahv wanahekaka kama mama mjamzito.
Mara wamepita na mbwa, mara mafarasi kama jumong kila muda wanakutumia sms ooh toa taarifa sijui ukiona uhalifu mara usishiliki kusambaza sijui nini🤣🤣🤣 mimi nasikia raha tu.
Unakuta wamepaki gari sehemu hakuna hata kivuli alafu mtu yupo juu ya gari jua kaliiiii kashikilia SMG kilo 6 anaibeba siku nzima🤣🤣
Poleni na hongereni sana kumbe kazi mnaieweza bwana. Hali ikiendelea hivi ndani ya mwaka mmoja hutoona polisi mwenye kitambi. Hata nafasi za kujiunga kwenye vyombo vya ulinzi na usalama zitakuwa nyingi kwasababu mtahitaji nguvu kazi ya kutosha, alafu hamtoipata kama sasa maana watu wanajua kinachoenda kuwapata *****🤣🤣
Nawasilisha
Yaani unamkuta mwanajeshi kasimama barabarani siku nzima kudadeki na mtutu🤣🤣 kuna namna naiona kodi yangu ikiliwa kihalali. Unajua mwanzo hawa maaskari walikuwa wanakula mishahara ya bure tu. Ila sasahv wanahekaka kama mama mjamzito.
Mara wamepita na mbwa, mara mafarasi kama jumong kila muda wanakutumia sms ooh toa taarifa sijui ukiona uhalifu mara usishiliki kusambaza sijui nini🤣🤣🤣 mimi nasikia raha tu.
Unakuta wamepaki gari sehemu hakuna hata kivuli alafu mtu yupo juu ya gari jua kaliiiii kashikilia SMG kilo 6 anaibeba siku nzima🤣🤣
Poleni na hongereni sana kumbe kazi mnaieweza bwana. Hali ikiendelea hivi ndani ya mwaka mmoja hutoona polisi mwenye kitambi. Hata nafasi za kujiunga kwenye vyombo vya ulinzi na usalama zitakuwa nyingi kwasababu mtahitaji nguvu kazi ya kutosha, alafu hamtoipata kama sasa maana watu wanajua kinachoenda kuwapata *****🤣🤣
Nawasilisha