Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,771
- 699,113
Hata sijui kwanini Serikali inatumia nguvu kubwa kiasi hiki kuwaondoa Wamasai, ni kwamba haiwezekani kufanya mazungumzo ya amani?
Taarifa zinaonyesha kwamba Wananchi wameshika mishale na wako Tayari kwa lolote. Je huku ndiko tunataka kwenda?