FrediusSnowden
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 269
- 224
Nakumbuka msemo huu wa "UKIMKIMBIZA SANA MJUSI HUGEUKA KUWA NYOKA" na mambo ambayo yanaendelea hapa Bongo ni wazi pengine unashabihiana kwa namna fulani hivi.. Nakumbuka kipindi fulani nikiwa shuleni mwalimu wangu alipata kutuambia darasani, "..nyie vijana wa leo ni kizazi cha mjusi, hamjui mbilinge na mitikasi ya hii maisha...mnategemea sana mwanga wa taa kuweza kuwinda..". Mwisho wa kunukuu.
Nitaendelea...
Nitaendelea...