Wanandoa wengi sana wapo hatarini kuachana au kutengana na wengine tayari wameshapigiana stop ya usinijue, kila mtu kivyake
ni vyema tukajikumbusha mambo ambayo yanachangia sana kuvunjika na sintofahamu katika ndoa ili yasaidie kutuweka katika mstari.
1. kukosa mawasiliano
2. Tafsiri potofu ya jambo bila ya kumuuliza mwenza wako
3. Kusema uongo
4. kutoka nje ya ndoa
5. Kuruhusu ndugu kuingilia mambo yenu
6. Ugumu wa maisha
7. Tamaa ya maisha mazuri
Nawe unaweza ongezea,
ni vyema tukajikumbusha mambo ambayo yanachangia sana kuvunjika na sintofahamu katika ndoa ili yasaidie kutuweka katika mstari.
1. kukosa mawasiliano
2. Tafsiri potofu ya jambo bila ya kumuuliza mwenza wako
3. Kusema uongo
4. kutoka nje ya ndoa
5. Kuruhusu ndugu kuingilia mambo yenu
6. Ugumu wa maisha
7. Tamaa ya maisha mazuri
Nawe unaweza ongezea,