Yanaitwa Majiji Ila Mwaka Unapita Ujenzi wa Magorofa Mapya Hayafiki 10. Mbeya & Tanga Mjitafakari, Mnazidiwa Hadi na Morogoro

Mwanzon watu walipokua wanaiponda mbeya nilidhan ni wivu tu.
Kwanza ieleweke mbeya ni home natokea wilaya ya Rungwe.
Juz nilikua Huko kula sikukuu Sasa wakat wa kurud ikanibid niende had soko matola kukata ticket ,kweli nikafanikiwa .
Ile nitafute lodge Sasa nikahangaika mwisho nikapata Moja chumba self nikaambiwa 25k .
Niseme tu waz sijaamin kama Ile ni lodge au ni ujinga gan ,lodge katikat ya Jiji inakua chafu kias kile ,maji yapo kwenye jaba Bomba la kizaman halitoi maji ,Kuta za Ile lodge zimejaa fungus ,yaan nililala Kwa shida Sana mule ndani .
Na hapo nikauliza Ivi lodge zote zipo hivi hasa hiz za karibu na stend nikaambiwa wewe hiyo mbona ulilala nzur Zaid ,ungechukua ya 15k ungeona maajabu.
Yaan tokea hapo nikajisemea Jiji gan hili lina lodge chafu kias hiki Tena za kizaman Sana ,sink la kuogea chafu ,maji hakuna ndani panavuka uvundo na Kila cku lodge zinajaza ila hakuna ukarabati.

Mbeya sio sehem ya kula bata kama majiji mengine yalivyo.

Dodoma mwanza ,Arusha na dar hao ndio walistahil kuwa majiji Kwa mbeya big no
 
Mwanzon watu walipokua wanaiponda mbeya nilidhan ni wivu tu.
Kwanza ieleweke mbeya ni home natokea wilaya ya Rungwe.
Juz nilikua Huko kula sikukuu Sasa wakat wa kurud ikanibid niende had soko matola kukata ticket ,kweli nikafanikiwa .
Ile nitafute lodge Sasa nikahangaika mwisho nikapata Moja chumba self nikaambiwa 25k .
Niseme tu waz sijaamin kama Ile ni lodge au ni ujinga gan ,lodge katikat ya Jiji inakua chafu kias kile ,maji yapo kwenye jaba Bomba la kizaman halitoi maji ,Kuta za Ile lodge zimejaa fungus ,yaan nililala Kwa shida Sana mule ndani .
Na hapo nikauliza Ivi lodge zote zipo hivi hasa hiz za karibu na stend nikaambiwa wewe hiyo mbona ulilala nzur Zaid ,ungechukua ya 15k ungeona maajabu.
Yaan tokea hapo nikajisemea Jiji gan hili lina lodge chafu kias hiki Tena za kizaman Sana ,sink la kuogea chafu ,maji hakuna ndani panavuka uvundo na Kila cku lodge zinajaza ila hakuna ukarabati.

Mbeya sio sehem ya kula bata kama majiji mengine yalivyo.

Dodoma mwanza ,Arusha na dar hao ndio walistahil kuwa majiji Kwa mbeya big no
Daah ukitaka kujua Mbeya ni noma nenda ukalale Mbalizi na uchukue chumba kwenye Lodge utajuta sana ! Kwanza kuta za Lodge zao zinatoa mchanga na ndani kule hapavutii hata kidogo na kunguni lazima ukutane nazo mda wote!
 
Kiufupi Majiji ya Mbeya na Tanga Yako nyuma sana linapokuja Suala la Ujenzi wa Majengo ya Magorofa be it ya biashara au Serikali ukilinganisha na Mwanza,Arusha,Dom na baba lao Dar.

Yaani hata Manispaa ya Morogoro inazidi.
Inakuaje Mwaka mzima kuanzia January Hadi disemba ndani ya Jiji wanajenga mogorofa chini ya 10?

Kwa upande wa Viwanda Wanafanya vizuri ila Kwa Magorofa hapana tena afadhari hata Tanga sio Mbeya.Hadhi na heshima ya Jiji ni Uwepo wa Magorofa.
Ww una ghorofa hata moja hapo mjini?
 
Hata kama una Mapato ila maisha ya shaghalabaghala kama dampo ni upumbavu.

Limji la Mbeya ni hovyo,nilitegekea kuanzia mbalizi kuja Songwe walau mpime lakini angalia kule milimani makazi yanakuka ila ma squatters tupu.

Hivi nyie watu wa Mbeya Kwa nini Huwa hamuwezi kuishi kistaarabu? Ubishi wa kijinga ni upumbavu muwe mnaona hata aibu.

Ukipakana kiwanja na mtu wa Mbeya anageuka kuwa kero
Ww huipendi mbeya tu
 
Mwanzon watu walipokua wanaiponda mbeya nilidhan ni wivu tu.
Kwanza ieleweke mbeya ni home natokea wilaya ya Rungwe.
Juz nilikua Huko kula sikukuu Sasa wakat wa kurud ikanibid niende had soko matola kukata ticket ,kweli nikafanikiwa .
Ile nitafute lodge Sasa nikahangaika mwisho nikapata Moja chumba self nikaambiwa 25k .
Niseme tu waz sijaamin kama Ile ni lodge au ni ujinga gan ,lodge katikat ya Jiji inakua chafu kias kile ,maji yapo kwenye jaba Bomba la kizaman halitoi maji ,Kuta za Ile lodge zimejaa fungus ,yaan nililala Kwa shida Sana mule ndani .
Na hapo nikauliza Ivi lodge zote zipo hivi hasa hiz za karibu na stend nikaambiwa wewe hiyo mbona ulilala nzur Zaid ,ungechukua ya 15k ungeona maajabu.
Yaan tokea hapo nikajisemea Jiji gan hili lina lodge chafu kias hiki Tena za kizaman Sana ,sink la kuogea chafu ,maji hakuna ndani panavuka uvundo na Kila cku lodge zinajaza ila hakuna ukarabati.

Mbeya sio sehem ya kula bata kama majiji mengine yalivyo.

Dodoma mwanza ,Arusha na dar hao ndio walistahil kuwa majiji Kwa mbeya big no
Sasa huo ni uzembe wako na huyo mmiliki wa lodge ulitakiwa uwahi utafute lodge nzuri, tabia za kujiona wajuaji wa kila kitu hazitawafikisha popote.
 
Alieamua Mbeya na Tanga yawe majiji mungu anamuona
Kiufupi Majiji ya Mbeya na Tanga Yako nyuma sana linapokuja Suala la Ujenzi wa Majengo ya Magorofa be it ya biashara au Serikali ukilinganisha na Mwanza,Arusha,Dom na baba lao Dar.

Yaani hata Manispaa ya Morogoro inazidi.
Inakuaje Mwaka mzima kuanzia January Hadi disemba ndani ya Jiji wanajenga mogorofa chini ya 10?

Kwa upande wa Viwanda Wanafanya vizuri ila Kwa Magorofa hapana tena afadhari hata Tanga sio Mbeya.Hadhi na heshima ya Jiji ni Uwepo wa Magorofa.
Jiji sio mAghorofa, Ulaya kuna majiji kibao ila hayana MAghorofa. Kinacho fanya sehemu iwe jiji ni ile population density, watu wengi wanapokusanyika eneo moja na shughuli zikawa kubwa basi hilo ni jiji.

Tanga kuna viwanda, Bandari, na biashara nyingi, Population inayozidi watu Milioni 2 mkoa mzima na pale City centre watu laki 4, hicho kigezo tayari kinaipa sifa ya jiji.
 
Ile nitafute lodge Sasa nikahangaika mwisho nikapata Moja chumba self nikaambiwa 25k .
Niseme tu waz sijaamin kama Ile ni lodge au ni ujinga gan ,lodge katikat ya Jiji inakua chafu kias kile ,maji yapo kwenye jaba Bomba la kizaman halitoi maji ,Kuta za Ile lodge zimejaa fungus ,yaan nililala Kwa shida Sana mule ndani .

Umelipa 25k halafu unataka ulale mahali pazuri mkuu tena jijini Mbeya?

Majiji mengine ukilipa hiyo hela unalazwa barazani...
 
Weka picha

View: https://www.instagram.com/p/CDftmJuBQ5U/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
-1234268646.jpg
 
Jiji sio mAghorofa, Ulaya kuna majiji kibao ila hayana MAghorofa. Kinacho fanya sehemu iwe jiji ni ile population density, watu wengi wanapokusanyika eneo moja na shughuli zikawa kubwa basi hilo ni jiji.

Tanga kuna viwanda, Bandari, na biashara nyingi, Population inayozidi watu Milioni 2 mkoa mzima na pale City centre watu laki 4, hicho kigezo tayari kinaipa sifa ya jiji.
Sasa Kwa Mbeya hakuna hata kitu Cha kuonesha ni Jiji la Kisasa si majengo Wala Mpango Mji Wala Barabara.

Majiji mengine walau Kuna majengo ya Gorofa mengi.
 
Mwanzon watu walipokua wanaiponda mbeya nilidhan ni wivu tu.
Kwanza ieleweke mbeya ni home natokea wilaya ya Rungwe.
Juz nilikua Huko kula sikukuu Sasa wakat wa kurud ikanibid niende had soko matola kukata ticket ,kweli nikafanikiwa .
Ile nitafute lodge Sasa nikahangaika mwisho nikapata Moja chumba self nikaambiwa 25k .
Niseme tu waz sijaamin kama Ile ni lodge au ni ujinga gan ,lodge katikat ya Jiji inakua chafu kias kile ,maji yapo kwenye jaba Bomba la kizaman halitoi maji ,Kuta za Ile lodge zimejaa fungus ,yaan nililala Kwa shida Sana mule ndani .
Na hapo nikauliza Ivi lodge zote zipo hivi hasa hiz za karibu na stend nikaambiwa wewe hiyo mbona ulilala nzur Zaid ,ungechukua ya 15k ungeona maajabu.
Yaan tokea hapo nikajisemea Jiji gan hili lina lodge chafu kias hiki Tena za kizaman Sana ,sink la kuogea chafu ,maji hakuna ndani panavuka uvundo na Kila cku lodge zinajaza ila hakuna ukarabati.

Mbeya sio sehem ya kula bata kama majiji mengine yalivyo.

Dodoma mwanza ,Arusha na dar hao ndio walistahil kuwa majiji Kwa mbeya big no
Lodge za Standi Huwa ni Chafu na za upande huo nyingi zimejichomea Kwa sababu hakuna tena biashara ndio maana wamekata tamaa.

Ungetafuta Lodge huku Kando ya Barabara Kuu ziko nyingi na nzuri Kwa sababu ndiko Kuna biashara Kwa Sasa.

Bata zipo ila sio za level za Juu
 
Kwa Mapato Bado wako nyuma kulinganisha na Majiji mengine.

Ujue Mapato yanatokana na shughuli za kiuchumi ikiwemo sekta ya ujenzi.Mbeya na Tanga wote Wawili Mapato Yao Kwa mwaka Huwa ni Kati ya bil.15-20 wakati Arusha huko ni zaidi ya 26bln
Gdp ya Tanga ni Trilioni 6-7 na mara nyingi haishuki top 7 kwa mikoa inayochangia pato la Taifa, na Tanga wana Gdp kubwa zaidi kwa mikoa yote ya Kaskazini.
 
Gdp ya Tanga ni Trilioni 6-7 na mara nyingi haishuki top 7 kwa mikoa inayochangia pato la Taifa, na Tanga wana Gdp kubwa zaidi kwa mikoa yote ya Kaskazini.
Achana na swaga za GDP,Bali Mapato halisi ya pesa mfano za Halmashauri au TRA.

Mbeya Bado ni Kiduchu walau Tanga Kwa TRA inajitahidi sana .
 
Back
Top Bottom