Yametimia,mkutano wa dr. Slaa wakwama Kahama,wananchi wasusia mapokezi na mkutano

Status
Not open for further replies.
DR. SLAA ANAENDELEA KUWACHANA MAGAMBA NA MAPANDIZI YALIYOMO NDANI YA CHADEMA: M4C nomaa, lazima Watu Watemwe hapa nimeamini Makamanda!
 
Magamba haooooo... Eti chanzo kuaminika. We kiraza kweli. Kawadanganye watoto wenzako
 

Ameshafika Mkutanoni Makamanda!
 
UONGO MTUPU, TENA MPUUZI KABISA HUYU TUNTEMEKE: Mimi nipo Kahama... Mkutano Unaendelea Mpaka hivi sasa 2po Mkutanoni, Wafuasi, Wanachama, Wakereketwa na Viongozi takribani Elfu Moja na Mia tano Wamefurika katika Uwanja huu!

asante mkuu, huyu Tuntemeke hajali hata ban , maana ana id zaidi ya moja .
 

kumbe na wewe umeliona hlo mkuu huyu ni masabur kweli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…