Yamenikuta

Yamenikuta

Wape no ya huyo dada wana Jf wakuondolee kero..
 
Kijana komaa na Shule ndo mwanga Wa maisha yako ya baadae. Huyo Mdada anakupiteza. 20 yrs we bado mdogo sana soma Mdogo wangu achana na uyo Dada kashindikana kama anaweza kumsaliti mumewe akiwa SA je Wewe unafikiri ni mtu Wa ngapi anacheat nae. Jiulize sana huyo ni shetan mwepuke sana.
 
Ahn dogo kumbe ndiyo wew.huyo co jamaa yake ni mume wake..Unaweka tiGO yako hatarini kijana.
 
Hembu muambie,utoto na ugeni wa mapenzi ni tatzo,vitu vingne vnahtaji self decission,eg tukisema kamfanye utaamuaje au unataka tuhararishe uzinifu wenu,as long as huwezi mpa anachotaka muache atapewa na mwingine, na nyie wadada mbona mnajifedhesha kwa wtto
 
Najua nimeshafanya kosa Mkuu,lakin kipi bora sasa nizidi kufanya kosa
au niache???...Tafakari
Wewe ndo utafakari. Kuzini siyo dhambi au la. Nijuavyo mimi hakuna dhambi ndogo wala kubwa. So kama hutaki kufanya huko isiwe ni katika misingi ya imani za dini maana umeshazivunja. Tafuta sababu zingine za kukataa. Ndo maana hata huyo dada anakushangaa upeo wako wa kuelewa maana kama ni dhambi mnashiriki tayari.

Pili unauliza anakufaa au hakufai. Mimi nafikiri ana kufaa. Tangaza ndoa kabisa. Na ukimwacha utajuta.
 
Subiri wenzio wakusaidie

Huo ni mgawanyo wa majukumu tu.
 
Rafiki, miaka 20 you still have a long way to go!!
1. Huyo dada ana mengi sana ambayo bado huyajui. Kwa masomo yako na kwa umri wako, hustahili kujiumiza kwa stress za aina hii.
2. Chukua maamuzi magumu, ingawa haitakuwa rahisi kwa sababu she is your first love. Nina imani first love wake akirudi, utawekwa reserve!
3. Achana nae, uliyoyaona yatoshe kukuingiza ktk ulimwengu huu batili wa mapenzi. Yakujenge,Yakupe nguvu, wanawake wazuri kwa sura na tabia hawaishi. Relax ni mtihani umepitia.
^^
 
Weweeeeeeee kimbia hapakufai hapo,mlie bati, mtoto wawa tu wewe bado mlittle lol!!
 
Wewe ndo utafakari. Kuzini siyo dhambi au la. Nijuavyo mimi hakuna dhambi ndogo wala kubwa. So kama hutaki kufanya huko isiwe ni katika misingi ya imani za dini maana umeshazivunja. Tafuta sababu zingine za kukataa. Ndo maana hata huyo dada anakushangaa upeo wako wa kuelewa maana kama ni dhambi mnashiriki tayari.

Pili unauliza anakufaa au hakufai. Mimi nafikiri ana kufaa. Tangaza ndoa kabisa. Na ukimwacha utajuta.

Nimekuelewa Mkuu,ila punguza kuwa na jazba unapomshauri mtu...una lugha kali na za kukomoa.
 
Rafiki, miaka 20 you still have a long way to go!!
1. Huyo dada ana mengi sana ambayo bado huyajui. Kwa masomo yako na kwa umri wako, hustahili kujiumiza kwa stress za aina hii.
2. Chukua maamuzi magumu, ingawa haitakuwa rahisi kwa sababu she is your first love. Nina imani first love wake akirudi, utawekwa reserve!
3. Achana nae, uliyoyaona yatoshe kukuingiza ktk ulimwengu huu batili wa mapenzi. Yakujenge,Yakupe nguvu, wanawake wazuri kwa sura na tabia hawaishi. Relax ni mtihani umepitia.
^^

Asante Sana Mkuu Himidini,kwa kweli ushauri wako ni bora sana kwangu na utanisaidia...Si kila mtu humu anafaa kuitwa Great Thinker,ila kwa jinsi ulivyoshauri,lugha nyepesi ya kueleweka uliyoitumia,umenishauri kana kwamba mm ni mwanao kwa upole na kwa kujali upeo wangu.
Na kwa mtazamo wangu ww ni muelewa haswa,unajali na unajua kuthamini ni kitu kizuri kupata ushauri kama huu kwa mtu kama ww,siyo wengine wenye dharau,kiburi na majibu ya hovyo kabisa.....Asante sana...May God right your dreams and forgive you for your sins.
 
Asante Sana Mkuu Himidini,kwa kweli ushauri wako ni bora sana kwangu na utanisaidia...Si kila mtu humu anafaa kuitwa Great Thinker,ila kwa jinsi ulivyoshauri,lugha nyepesi ya kueleweka uliyoitumia,umenishauri kana kwamba mm ni mwanao kwa upole na kwa kujali upeo wangu.
Na kwa mtazamo wangu ww ni muelewa haswa,unajali na unajua kuthamini ni kitu kizuri kupata ushauri kama huu kwa mtu kama ww,siyo wengine wenye dharau,kiburi na majibu ya hovyo kabisa.....Asante sana...May God right your dreams and forgive you for your sins.

Mkuu usitegemee kufurahishwa na kila MTU hapa


Hii ndiyo Jf kila mtu ana akili zake!

Pole sana.
 
Kijana komaa na Shule ndo mwanga Wa maisha yako ya baadae. Huyo Mdada anakupiteza. 20 yrs we bado mdogo sana soma Mdogo wangu achana na uyo Dada kashindikana kama anaweza kumsaliti mumewe akiwa SA je Wewe unafikiri ni mtu Wa ngapi anacheat nae. Jiulize sana huyo ni shetan mwepuke sana.

Thanks for your nice advice to me,my Ladykiokote....ubarikiwe mpendwa.
 
Back
Top Bottom