Habarini za asubuhi ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa dhati maana niko njia panda sijui lipi la kufanya,mimi naishi Arusha nina mke na watoto wawili sasa hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilipata mgeni pale nyumbani kwangu ni binti kama wa miaka 20 ni ndugu yake na wife.yule binti kwakweli ni mrembo sasa shetani alinipitia nikajikuta natembea nae, hako ka mchezo hua nakafanyia hapohapo nyumbani mda labda wife hayupo na msichna wa kazi sometime hayupo .sasa msichana wangu wa kazi alishtukia huo mchezo ndipo alipomweleza wife kila kitu, wife nae akambana yule ndugu yake hadi akakubali kua ni kweli hua na duu na baba mda ukiwa haupo,yaliyo nikuta nikwamba nimewekwa kikao na binti akaongea yoote mbele ya kadamnass ndugu zangu ni aibu maana majirani wanajua hadi watoto wanajua sasa niko njia panda sijui nianzie wapi nahisi ndoa yangu ndoa bass tena ,emebidi nitoke home kwa mda niko kwa washkaji angalau labda hasira ya wife itapungua
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahhaha watu 8 unanivunja mbavu zangu hahahahhahahhahhahhahahahahhahahhahhahahahhahahahaDada kwani katembea na mwanaume mwenzake? we si unaona kamgegeda shemeji tena toka nikutoke na dadaye...
Usivunjike moyo jembe watu wanavuna coz walipanda shitDaaa yanayotokea kwenye maisha ya ndoa yananivunja moyo sanaaaa.....
pole mzee mwenzangu duh1 hapo sasa naww inabidi uzuge unahasira mbay na kila mtu hii itapunguza maswli na wengne watjihc wamekukosea by the way hapo ni kwako bhan cyo kwa mwanamke
Never teach a person how to apologise..what if moyoni mwake hajajuta kweli na atarudia kumuumiza mkewe??ukute hajutii kosa,anajutia siri kufichuka.mwache mwenyewe ndo anjua atamlambaje mkewe miguu amsamehe.halafu sijui kwanini mtu anakosa halafu kikubwa anachojali ni jamii kujua badala ya extent aliomuumiza mwenzie.hapa mtoa mada anaogopa jamii na hasira za mkewe..sioni kama kajutia kosa.angempenda mkewe,asingemuaibisha kwenye hiyo jamii anayoiogopa.na wa kuogopa kukatisha kitaa should be mkewe ambae kutwa atanyooshewa vidole na kuonewa huruma..wanaume wengine sijui wana-assume wake zao wana mioyo ya plastiki!!!!nakereka mimi!mxiuuuu
akili za kiume sijui zikoje.
under yr roof?? bora hata ungeenda mbali aisee