masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,678
- 12,351
Pawpaw anakusikia atakujibu
hahahaahhahha makubwa hawajambo wafungwa wengine
nikupe ripoti za machizi hapa maskani au kuna mtu keshakutonya
Pawpaw anakusikia atakujibu
Sijui ntasolve vipi hii kitu ina ushahidi maana nilisahau kwenye mfuko wa suruari nilikuwa nimeivaa jana kwenye kamchepuko. Mbaya zaidi ilibaki moja katika packet ya condom tatu nikasahau kuitupilia mbali. Alikuwa anaanza kunihoji kuhusiana na hili sakata mara mgeni akaingia, sasa natoka kumsindikiza mgeni ndo narudi home nawaza sijui ntazugaje anielewe. Duh! Kweli mchepuko sio dili. Mwenye uzoefu na hii kitu ambaye ameshawahi kupatwa na mkasa kama huu aniambie alitatua vipi.
why do you cheat? menn hili Swali Mungu anajua jibu na adhabuSijui ntasolve vipi hii kitu ina ushahidi maana nilisahau kwenye mfuko wa suruari nilikuwa nimeivaa jana kwenye kamchepuko. Mbaya zaidi ilibaki moja katika packet ya condom tatu nikasahau kuitupilia mbali. Alikuwa anaanza kunihoji kuhusiana na hili sakata mara mgeni akaingia, sasa natoka kumsindikiza mgeni ndo narudi home nawaza sijui ntazugaje anielewe. Duh! Kweli mchepuko sio dili. Mwenye uzoefu na hii kitu ambaye ameshawahi kupatwa na mkasa kama huu aniambie alitatua vipi.
Sijui ntasolve vipi hii kitu ina ushahidi maana nilisahau kwenye mfuko wa suruari nilikuwa nimeivaa jana kwenye kamchepuko. Mbaya zaidi ilibaki moja katika packet ya condom tatu nikasahau kuitupilia mbali.
Alikuwa anaanza kunihoji kuhusiana na hili sakata mara mgeni akaingia, sasa natoka kumsindikiza mgeni ndo narudi home nawaza sijui ntazugaje anielewe.
Kweli mchepuko sio dili. Mwenye uzoefu na hii kitu ambaye ameshawahi kupatwa na mkasa kama huu aniambie alitatua vipi.