Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

Ni vipi sababu ya kuchepuka kwake ni mume wake???
siwezi kusema mumewe ndio sababu au la kwa sababu mleta mada hajaongelea chochote kuhusu migogoro ya ndoa yake, kwa hiyo yawezekana kunasababu rukuki na hiyo ikiwa ni mojawapo lakini.
note; nahisi tu.
 
Mkuu jaribu kutulia na kuwaza vizuri usichukue uamuzi wa haraka inaweza kuwa pia tatizo lipo kwako hujui tu labda hutoi dose nzuri tafakari kwa makini ongea nae ujue tatizo lipo wapi mkuu
 
kuwa nyang'anyang'a ni kitendo cha sekunde 120, kwenda gest au eneo la tukio ni sekunde 600, zengwe la fumanizi ni sekunde 1200, sekunde nyingne ni kurudishwa hoi na show kama ilifanyka!
Ha ha ha haaaa..

Nimeupenda uchambuzi wako.

Huyo manzi alikuwa punctul kinoma...
 
Mpe talaka amfuate huyo mzinzi mwenzake kaona ww humfai
 
Sasa unaomba ushauri wa nini ,umemfumania tafsiri yake ni kwamba umepwaya kwake.
Kikubwa we achana nae tuu
 
Mimi kwa jina naitwa John ni mwanaume mwenye umri wa miaka 35. Ninaishi na mke wangu wa ndoa ,na tumejaliwa tumepata watoto wawili,

Siku ya Christmas baada ya chakula cha mchana aliniaga akaniambia anaenda hospital kumuona rafiki yake amelazwa nikamruhusu nikamwambia aende lakini awahi kurudi.

baada ya kupita lisaa moja alirudishwa akiwa hoi na watu wakimzomea nilipotaka kujua amepatwa na nini.!!!nikaambiwa kafumaniwa na mume wa mtu !!!na waliomchakaza hivyo ni wanawake wenzake.

niliishiwa nguvu nikaamua nimpeleke hospital kusema ukweli nimekaa nimeshindwa kupata ufumbuzi naombeni ushauli wenu huyu mwanamke niendelee kuishi nae au nimpe talaka?
Wapi huko, Songea?
 
Amechoka maharage alienda kula samaki..we msamehe tu Huyo ni chaguo lako,ulimtongoza wewe na mmehararishwa
 
Amechoka maharage alienda kula samaki..we msamehe tu Huyo ni chaguo lako,ulimtongoza wewe na mmehararishwal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom