Yamenikuta! Nimetapeliwa simu..

Yamenikuta! Nimetapeliwa simu..

nahisi hizo ids ni fake pia mkuu
kwel dunia tambara bov
Pole sana mkuu..
Labda wewe vumilia inawezekana ni mtu muaminifu pengine kuna jambo limemsibu au lah, kama atakutapeli basi hope kuwa utapata zaidi, japo inauma kweli!
 
matatizo made me do so jamani haikua kwa mapenzi yangu[emoji17]
Mtu una matatizo halafu unatoa asset yako unayoitegemea kukutatulia matatizo yako bila ya kujiuliza maswala ya msingi? Utakuwa una roho ya kitajiri mkuu, maskini huwa tunakuwa very suspicious.
 
Pole sana mkuu..
Labda wewe vumilia inawezekana ni mtu muaminifu pengine kuna jambo limemsibu au lah, kama atakutapeli basi hope kuwa utapata zaidi, japo inauma kweli!
yani na posts zake anavotoaga facts ciamini kama ni yeye amefanya hivi
aliponiblock ndo matumain yamekata
ila inshallah naamini mwenyezi ana makusudi zake siku zote
asante kwa matumaini kk
 
Acha niwe wa mwisho kuingia kwenye biashara za mitandaoni. Ninataka kitu moja kwa muuzaji
 
Mtu una matatizo halafu unatoa asset yako unayoitegemea kukutatulia matatizo yako bila ya kujiuliza maswala ya msingi? Utakuwa una roho ya kitajiri mkuu, maskini huwa tunakuwa very suspicious.
cause ilikua ni kitu cha haraka aise
anyways naelewa nimetenda kosa na sitorudia
pls usinihukumu mimi ni binadam sipo perfect milele
 
Mbona hiyo Username ukiimention haipo?
23740a1452776badb87ee4637d5be3ea.jpg
 
Kama lengo ni kukagua tu simu basi ungrtoa maelezo strict kwa wasafirishaji wa basi kwamba wampe aikague tu, ila wasimkabidhi mpaka utakapowapa go ahead na atakapolipa gharama za usafirishaji.
 
Hii biashara gani, mbona hata tununuapo magari nje ya Tanzania tunatuma kwanza hela halafu unatumiwa gari. Wewe umetuma kwanza simu halafu hela baadaye!!
 
Wewe lichokonoe tu, vitambulisho vyote hivyo ni lazima anahusika. Viweke hadharani. Hiyo iwe baada ya kujiridhisha kwa kutuma shs 500 kwa njia ya Mpesa, maana jina litarudi.
Likirudi kama ndio hilo muanike kazini kwake huku ukiwa umekamata na RB. Yaani Muonyeshe utapeli ni gharama.
 
Pole sana hapo fanya njia nyigine ya kumtafutia ada mdogo wako,
 
Back
Top Bottom