Yamenikuta! Nimetapeliwa simu..

Yamenikuta! Nimetapeliwa simu..

Mh kuna watu wa ajabu ajabu Duniani hapa hivi unawezaje kumwamini mtu
niko kwenye kipind cha shida i was in need of cash so alivoniaminisha na pia namwona hoja zake humu jf nikaamini
ila imeshakua fundisho crudii
 
Daaah pole...kosa ulilofanya ni kumuamin mtu na kumtumia kabla hajatoa chochote...yn usirudie . .biashara za mtandaoni ni htr tena mkoa tofauti...
Pole sana...endelea kumtafuta
hilo nimekwisha jiapiza sitakaa nirudie tena
asante mkuu
 
Mkuu we tulia tu afu potezea hiyo simu. Maana wewe ndio umefanya mistake kubwa sana. Hata siku moja usidanganyike kirahisi hivyo na hali yenyewe ya maisha unaiona. Pole sana.
 
Atakuja na id mpya...
Lakini kwa kuwa nakala ya vitambulisho vyake unavyo inaweza ikakusaidia, but inawezekana pia alikutumia fake ids
nahisi hizo ids ni fake pia mkuu
kwel dunia tambara bov
 
Hizi biashara za mitandaoni tusimbilie kufanya bila kujuwa faida na hasara. Ni kweli ni rahisi kumpata mteja lakini malipo ndo shida.
 
Mkuu we tulia tu afu potezea hiyo simu. Maana wewe ndio umefanya mistake kubwa sana. Hata siku moja usidanganyike kirahisi hivyo na hali yenyewe ya maisha unaiona. Pole sana.
yea nimeamini hii ndio mistake ambayo nitaijutia milele
ila reason ni shida tu kk ikanipelekea huku
 
Pole ndugu. Wanunuzi wengine nao wakituma hela wauzaji hamtumi mzigo mnapotea!
 
Hizi biashara za mitandaoni tusimbilie kufanya bila kujuwa faida na hasara. Ni kweli ni rahisi kumpata mteja lakini malipo ndo shida.
nilikua sijawahi experience sasa hivi ndo nimeelewa watu wanaolia kutapeliwa mitandaoni
 
Hizi biashara za mitandaoni tusimbilie kufanya bila kujuwa faida na hasara. Ni kweli ni rahisi kumpata mteja lakini malipo ndo shida.
Mimi nauza vitu vingi online,ila mteja wa mara ya kwanza siwezi kumtumia kitu bila kulipa. Kama hawezi kulipa kwanza basi atafute kwingine.
 
Weka hivyo vitambulisho na Id zake humu lazima kuna mtu atakuwa anamfahamu, kama hii issue uliyo ipresent ni true story
 
Weka hivyo vitambulisho na Id zake humu lazima kuna mtu atakuwa anamfahamu, kama hii issue uliyo ipresent ni true story
poa nilitaka kufanya hivyo ila naogopa incase hizo id hazikua zake then niishie kuchafua mtu asiyehusika halitakua jambo la busara
 
Back
Top Bottom