Nkuruvi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 624
- 649
Habarini za jioni wadau!
Nilitoka kwenye jiji hili la Dar Es Salaam takribani miaka 15 iliyopita. Nimewasili hapa takribani kama wiki moja iliyopita na sasa ninaleta kwenu wadau uzoefu wangu mpya katika jiji hili kubwa kabisa nchini na lenye umaarufu Afrika nzima.
Nimeona watu wanakula bata utadhani wanaishi kwenye nchi tajiri ambapo kila kitu kipo sawa. Hakuna tofauti Weekend na siku za katikati ya wiki. Watu wanaendesha magari makali ya pesa mingi sana na wakiingia sheli ni full tank wakati sisi wengine hata pikipiki hatupigi full tank kwa jinsi mafuta yalivyopanda bei!
Hili nimeliona kwa jamaa yangu ambaye nilikuwa na appointment ya kukutana nae kikazi. Nimefika kwake Tegeta, Dah jamaa anamiliki Mansion! Upande wa pili, nimemtembelea jamaa yangu mwingine tulieachana nae muda mrefu, nikasikitika sana.
Maisha ni duni, chumba kimoja kina kimejaa full. Yaani kuna kitanda, kabati la nguo na vyombo, Ndoo za maji, anapikia humo humo, viatu vimo humo chumbani yaani ni full mchanganyiko, Baba na Mama wanalala na watoto hapo hapo.
Dah, tofauti ya maisha ni kubwa sana nikilinganisha hawa jamaa zangu wawili. Kweli kuna wanaoishi Dar Es Salaam na wengine wanawasindikiza wengine kuishi!
2. Kuna maeneo Dar es Salaam maadili ni F kabisa.
Yaani watu wanatukana mtaani na watoto wanasikia. Biashara ya Ngono ni kubwa sana, nimeona hapa Tiptop na Sinza. Aisee, nyuchi zinauzwa kama nyanya sokoni.
Ni kama watu hawana taarifa za maradhi ya ngono. Binafsi sitamani kumlea mwanangu kwenye jiji hili. Vitoto vidogo vimejiingiza kwenye ukahaba.
Mwananyamala, asubuhi nakutana na mwanamke amelewa chakari amevaa chupi tu, amelala Bar na jamaa wako pembeni wanajisifia wamemla mande matundu yote mawili. Hapo kuna watoto wanasikia hayo yote.
3. Utapeli ni mkubwa sana
Nimefika Karume kununua viatu, jamaa wameniuzia raba feki 30,000.00. Nyie wafanyabiashara wa Karume, ndo maana hilo soko linaunguaungua kila mwaka, mmejaa laana za utapeli. Yaani raba wameziosha vizuri zinang’aa kumbe chini soli imeisha kabisa.
Yaani wameunganisha vipande kwa gundi. Nimefika home, kufua na kuvaa nashangaa soli yote imenyofoka. Hovyo kabisa.
Haya wa mikoani wenzangu ongezeeni uzoefu mpya mnaokutana nao katika jiji hili!
Nilitoka kwenye jiji hili la Dar Es Salaam takribani miaka 15 iliyopita. Nimewasili hapa takribani kama wiki moja iliyopita na sasa ninaleta kwenu wadau uzoefu wangu mpya katika jiji hili kubwa kabisa nchini na lenye umaarufu Afrika nzima.
- Dar Es Salaam kuna wanao-ishi na kuna ambao wanasindikiza wenzao kuishi
Nimeona watu wanakula bata utadhani wanaishi kwenye nchi tajiri ambapo kila kitu kipo sawa. Hakuna tofauti Weekend na siku za katikati ya wiki. Watu wanaendesha magari makali ya pesa mingi sana na wakiingia sheli ni full tank wakati sisi wengine hata pikipiki hatupigi full tank kwa jinsi mafuta yalivyopanda bei!
Hili nimeliona kwa jamaa yangu ambaye nilikuwa na appointment ya kukutana nae kikazi. Nimefika kwake Tegeta, Dah jamaa anamiliki Mansion! Upande wa pili, nimemtembelea jamaa yangu mwingine tulieachana nae muda mrefu, nikasikitika sana.
Maisha ni duni, chumba kimoja kina kimejaa full. Yaani kuna kitanda, kabati la nguo na vyombo, Ndoo za maji, anapikia humo humo, viatu vimo humo chumbani yaani ni full mchanganyiko, Baba na Mama wanalala na watoto hapo hapo.
Dah, tofauti ya maisha ni kubwa sana nikilinganisha hawa jamaa zangu wawili. Kweli kuna wanaoishi Dar Es Salaam na wengine wanawasindikiza wengine kuishi!
2. Kuna maeneo Dar es Salaam maadili ni F kabisa.
Yaani watu wanatukana mtaani na watoto wanasikia. Biashara ya Ngono ni kubwa sana, nimeona hapa Tiptop na Sinza. Aisee, nyuchi zinauzwa kama nyanya sokoni.
Ni kama watu hawana taarifa za maradhi ya ngono. Binafsi sitamani kumlea mwanangu kwenye jiji hili. Vitoto vidogo vimejiingiza kwenye ukahaba.
Mwananyamala, asubuhi nakutana na mwanamke amelewa chakari amevaa chupi tu, amelala Bar na jamaa wako pembeni wanajisifia wamemla mande matundu yote mawili. Hapo kuna watoto wanasikia hayo yote.
3. Utapeli ni mkubwa sana
Nimefika Karume kununua viatu, jamaa wameniuzia raba feki 30,000.00. Nyie wafanyabiashara wa Karume, ndo maana hilo soko linaunguaungua kila mwaka, mmejaa laana za utapeli. Yaani raba wameziosha vizuri zinang’aa kumbe chini soli imeisha kabisa.
Yaani wameunganisha vipande kwa gundi. Nimefika home, kufua na kuvaa nashangaa soli yote imenyofoka. Hovyo kabisa.
Haya wa mikoani wenzangu ongezeeni uzoefu mpya mnaokutana nao katika jiji hili!

kutafuta Maisha.