Nimeshangazwa sana na kiasi kikubwa cha rushwa visiwani hapa....
mimi ni mtumishi wa kutoka private sector...nipo huku kwa kazi maalumu ya siku 14....nimepewe gari T XXX YYY,basi polisi wamenifanya mradi...kidogo tu wananikamata kwa makosa ma2. moja kwa nini naendesha gari yenye usajili wa Bara jambo ambalo bado linajadiliwa kwa kuwa usajili wa magari pande zote unafanywa na TRA ambayo ni moja. la PILI ni kwa nini natumia leseni ya bara wakati sheria na taratibu za kupata leseni ni sawa na zipo chini ya mamlaka moja yaani wizara ya mambo ya ndani na tRA. Inanisikitisha sana kwa kuwa vitu kama hivi ndo vinairudisha nyuma zanzibar kushupalia mambo yasiyo ya msingi...askari hawa bila woga wanamalizia kwa kusema "NIPE NYAMA YANGU YAISHE' kwa maana ya rushwa...
jingine,zanzibar wanategemea sana biashara hasa biashara ya vitu chakavu maarufu kama 'USED' wateja wao wakubwa ni watu wa bara....hii inatokana na idadi ndogo ya wakazi wa visiwa hivi....na watu wengine wanaijaza zanzibar ni watalii ambao hawanunui viUSED hivi. sasa basi nilitegemea serikali iwasaidia masoko kwa kuruhusu wabara waje kununua kwa wingi....kinyume chake pale bandarini pametawaliwa na rushwa balaa....kuna mageti ma3 kila moja lina mtu anachukua rushwa...wao wanaita nyama yangu...ni kero. nimenunua baiskeli ya mtoto,nafika pale naombwa rushwa waziwazi kama hivo..kisa sina kibali cha polisi cha kusafirisha baiskeli...ujue nina receipt halali za mannunuzi. pale kuna kituo cha polisi cha kupokea rushwa hawatoi kibali cha kusafirisha kitu...nikaonyeshwa kituo cha malindi,nilipofika pale nikaombwa 10,000/= ya rushwa nikakata tamaa kwa kuwa kule bandarini nilikuwa naombwa buku buku tu,nikaambiwa niende kituo kingine wakati huo boat inakaribia kuondoka. nikarudi bandarini nikaliwa NYAMA three times unaanza gate la kwanza NYAMA,la pili NYAMA hao ni MGAMBO na tatu ni wenyewe POLISI wao wanataka nyama kubwa zaidi....nasikitika kwa kuwa mambo haya ni wazi sana....hivi vyombo vya usalama vipo????mnafikiri mnawakomoa waBARA kumbe mtadoda na MAUSED haya.....
anyways...najuuuuuuuta kununua libaiskeli hili.
LAKINI NAANDAA MKAKATI BINAFSI WA KUWAUMBUA Watu hawa pesa yangu haiwezi kuliwa hivihivi..
mimi ni mtumishi wa kutoka private sector...nipo huku kwa kazi maalumu ya siku 14....nimepewe gari T XXX YYY,basi polisi wamenifanya mradi...kidogo tu wananikamata kwa makosa ma2. moja kwa nini naendesha gari yenye usajili wa Bara jambo ambalo bado linajadiliwa kwa kuwa usajili wa magari pande zote unafanywa na TRA ambayo ni moja. la PILI ni kwa nini natumia leseni ya bara wakati sheria na taratibu za kupata leseni ni sawa na zipo chini ya mamlaka moja yaani wizara ya mambo ya ndani na tRA. Inanisikitisha sana kwa kuwa vitu kama hivi ndo vinairudisha nyuma zanzibar kushupalia mambo yasiyo ya msingi...askari hawa bila woga wanamalizia kwa kusema "NIPE NYAMA YANGU YAISHE' kwa maana ya rushwa...
jingine,zanzibar wanategemea sana biashara hasa biashara ya vitu chakavu maarufu kama 'USED' wateja wao wakubwa ni watu wa bara....hii inatokana na idadi ndogo ya wakazi wa visiwa hivi....na watu wengine wanaijaza zanzibar ni watalii ambao hawanunui viUSED hivi. sasa basi nilitegemea serikali iwasaidia masoko kwa kuruhusu wabara waje kununua kwa wingi....kinyume chake pale bandarini pametawaliwa na rushwa balaa....kuna mageti ma3 kila moja lina mtu anachukua rushwa...wao wanaita nyama yangu...ni kero. nimenunua baiskeli ya mtoto,nafika pale naombwa rushwa waziwazi kama hivo..kisa sina kibali cha polisi cha kusafirisha baiskeli...ujue nina receipt halali za mannunuzi. pale kuna kituo cha polisi cha kupokea rushwa hawatoi kibali cha kusafirisha kitu...nikaonyeshwa kituo cha malindi,nilipofika pale nikaombwa 10,000/= ya rushwa nikakata tamaa kwa kuwa kule bandarini nilikuwa naombwa buku buku tu,nikaambiwa niende kituo kingine wakati huo boat inakaribia kuondoka. nikarudi bandarini nikaliwa NYAMA three times unaanza gate la kwanza NYAMA,la pili NYAMA hao ni MGAMBO na tatu ni wenyewe POLISI wao wanataka nyama kubwa zaidi....nasikitika kwa kuwa mambo haya ni wazi sana....hivi vyombo vya usalama vipo????mnafikiri mnawakomoa waBARA kumbe mtadoda na MAUSED haya.....
anyways...najuuuuuuuta kununua libaiskeli hili.
LAKINI NAANDAA MKAKATI BINAFSI WA KUWAUMBUA Watu hawa pesa yangu haiwezi kuliwa hivihivi..