Yaliyonikuta kwa mke wa FFU

Yaliyonikuta kwa mke wa FFU

Ni kitu kizuri sana kama umegundua kuwa mimi ni MWANAUME na sio MTOTO WA KIUME anaetumia vumbi la kongo, imeisha hiyo na tuendelee na mada husika maana inaonekana mmekosa hoja
Hamna kuendelea na mada mcheza viduku wewe kashinde kwenye vigodoro na vyura wenzio.
 
Episode inayofuata najua unatueleza ulivyotuliwa marinda na mjeda...
 
Stori za uongo ndio huwa hazifiki mwisho..

Msimuliaji huwa ni ngumu sana kuimaliza stori ya uongo..

Ukweli huwa mfupi tu,,, japo sijasoma umeandika nn ila nilipoona itaendelea nimejua ni uzushi tu
 
Itakua alifumuliwa marinda anaogopa kuendelea na story
 
Kama mwanaume unatakiwa uone aibu kujipachika baadhi ya majina. Wewe una tofauti gani na jamaa aliyekua anatumia id ya kike ya gilesi na ya cute love?

Mawazo yako yapo kwenye ngono tu
Mkuu yule Cute Love 7800tshs ni mwanaume?
 
Chief jamaa alianzisha hadi uzi wa kuomba msamaha kwa kuwazingua wanaume wenzake id iliyoomba msamaha ni MAGACHA
Duuh aisee ni hatari vipi sasa na yule jamaa aliesema alimchakata na kumpa 7800 kumbe humu unaweza tongiza kidume mwenzio
 
Yani we ndio pimbi kabisa, yani unaitwa sehemu ambayo unajua kwa asilimia 86 unaenda kupiga mechi halafu eti unajisifia mlikula chips, hivi nyie watoto wa kiume mbona mnatudhalilisha sana sisi WANAUME
🤣🤣🤣🤣
 
Hii chai umeijaza pilipili manga Hadi wewe mwenyewe imekushinda kuimalizia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom