Hamna kuendelea na mada mcheza viduku wewe kashinde kwenye vigodoro na vyura wenzio.Ni kitu kizuri sana kama umegundua kuwa mimi ni MWANAUME na sio MTOTO WA KIUME anaetumia vumbi la kongo, imeisha hiyo na tuendelee na mada husika maana inaonekana mmekosa hoja

