That's very dangerous....but I trust president Obama. I don't think he will listen to their so called "ultimatun". He will do what is right for the American people and the world as a whole.
Sorcha Faal? For real?
Are you serious?
I suppose you also believe Michael Jackson was killed by the CIA ?
tatizo hapo nikuwa CIA wanacontrol usalama wa marekani na wakati mungine wanajipenyeza mpaka kwenye usalama wa rais wa marekani na wao ndio wanatekeleza mambo nyeti ya serikali ya marekani mfano kuuwa magaidi afghanistan, iraq, kusimamia rasilimali za marekani,kuiba technology toka nchi nyingine nk.
CIA ipo kila mahali, sasa wakati mungine wanampa mapendekezo raisi wanataka yaidhinishwe bila kupingwa sasa hapo raisi akionyesha kukataa ndio chamoto kinaweza kumwakia
everything is possible
tatizo hapo nikuwa CIA wanacontrol usalama wa marekani na wakati mungine wanajipenyeza mpaka kwenye usalama wa rais wa marekani na wao ndio wanatekeleza mambo nyeti ya serikali ya marekani mfano kuuwa magaidi afghanistan, iraq, kusimamia rasilimali za marekani,kuiba technology toka nchi nyingine nk.
CIA ipo kila mahali, sasa wakati mungine wanampa mapendekezo raisi wanataka yaidhinishwe bila kupingwa sasa hapo raisi akionyesha kukataa ndio chamoto kinaweza kumwakia
everything is possible
If everything is possible, then impossible is possible.
If impossible is possible, then everything is not possible.
Your construct raises a fallacy.
Hmmm!!! Kwa hiyo unataka kutuambia hao CIA (ambao hawaruhusiwi kuoperate ndani ya Marekani) wana nguvu sana?
Nani kakuambia CIA don't operate in USA???
In 1947, when Congress voted to create the CIA as part of the National Security Act, there was great concern about whether the CIA could operate in the United States and against Americans.
Congress wanted to assure the public that this agency would not lead to the growth of a secret police. Responding to these suspicions, Dr. Vannevar Bush, an administration witness, explained that the agency was concerned only with intelligence "outside this country," and not with "internal affairs. To make sure, Congress wrote into the ClA's charter that the agency was prohibited from exercising "police, subpoena, or law-enforcement powers or internal security functions." Congressional debate made it clear that Congress anticipated that the CIA would simply not operate at home.
Kutoka kwenye kitabu cha The Lawless States : The crimes of the U.S. Inteligence Agencies
by Morton Halperin, Jerry Berman, Robert Borosage, Christine Marwick.
If everything is possible, then impossible is possible.
If impossible is possible, then everything is not possible.
Your construct raises a fallacy.