Yaliyomkuta Ponsio Pilato, yamemkuta na Jakaya Mrisho Kikwete

ebaeban

JF-Expert Member
Jan 15, 2012
2,205
2,690
Wahenga walisema historia hujirudia, yaliyomkuta mtawala wa GALILAYA Mh. Ponsio Pilato ndiyo hayo hayo yamemkuta na mtawala wa wabongo Mh. Jakaya Mrisho Kikwete.

Bahati mbaya kwa Ponsio Pilato hakuwa myahudi ila aliteuliwa tu na Mfalime wa Warumi Mh Kaizari Agustino (Agusto) kwenda Galilaya kutawala wayahudi , mila na desturi za wayahudi maskini ya Mungu alikuwa hazijui yeye alikuwa ni mtawala tu. Ndiyo maana alipopelekewa wafungwa wawili Yesu Kristo toka Nazareti na Baraba toka mjini Yerusalem kwa mjibu wa sheria ya wakati wa Pasaka ili mmoja amwachilie huru, Ponsio Pilato alisoma charge sheet za wote akaona Yesu Kristo Mnazareti hana hata chembe ya hatia ila Baraba alikuwa ni mharifu sugu, alikuwa ni muuwaji, mnyanganyi na mbakaji wa wanawake za watu. Baada ya kuona Yesu Kristo hana hatia Pilato akatafuta njia ya kumwachia na kumwangamiza Baraba, alikuwa na uwezo wa kumwachilia Yesu moja kwa moja bila kutumia njia yoyote ila alijiridhisha njia aliyoibuni ingefanya kazi.

Kwa kuwa Baraba alikuwa ni mharifu sugu kama waharifu sugu ambao kwetu huwa tunajichukulia sheria mkononi ya kuwachoma moto basi Pilato alidhani akiwaambia wayahudi amwachie nani kati ya hao kama sheria ya pasaka inavyosema watasema amwachie Yesu Kristo amsurubishe Baraba kwa kuwa anawasumbua sana , kumbe alijidanganya, hakuamini maskio yake wayahudi wakasema aachiwe Baraba. Kama nilivyosema hapo juu Pilato hakuwa myahudi alikuwa hajui kwamba kwa wayahudi suala la Yesu Kristo kujiita mwana wa mungu na kufanya kazi siku ya sabato ni makosa makubwa sana kuliko ya Baraba kwa hiyo suruhu ni kuuwawa tu. Hesabu za Pilato kumwachia Yesu ndio zikaiishia hapo.

Jakaya Mrisho Kikwete aliwekwa madarakani na wenye pesa, walichangishana wakafanya kila njia haramu na halali wakafaulu kumweka kwenye kiti mtu wao, watu hao wakijiita wana mtandao ni wazi ukiwekwa madarani na watu basi ni lazima ufanye yale wanayotaka, Mh. Kikwete mengi ya waliyotaka afanye yalimshinda kwa kuwa yalikuwa yanaangamiza inchi (rushwa, EPA, Richmundi, mnvua ya mabomu taka Tailand n,k,) Uzalendo ukamzidi akaanza mapema kabisa kujinasua toka kwa wale waliomweka madarakani , Mwanzo kabisa akawakamata akina Basil Mramba, Daniel Yana n,k, pia akawatosa akina Lowassa , Msabaha, Karamagi, Zakia Megji nae akaingia mkumbo huo.

Sasa waliotoswa wakaanza mizengwe wachukue hicho kiti wawo sijui wafanye nini , Kikwete akawa makini baada ya kelele nyingi mtu kama Rostam Aziz yakamshinda akakimbia sasa amebaki Lowassa ni wazi kabisa Lowassa anautaka urais na wakati huo huo Urais hauwezi na Kikwete analijua hilo, sasa Plan A kwa kuwa chombo kikubwa cha maamuzi ndani ya chama kinachotawala ni Halimashauri kuu ya chama chao (yaani NEC) na hatimae kamati kuu yaani (CC) basi hatua ya kwanza ni kuwatosa hawa wanamtandao ambao wanataka kumweka tena mtu wao Lowassa,Mh. Kikwete akabuni mbinu ya kuwatosa wao na wapambe wao kama akina Peter Selukamba, Mery Nagu, Beatrice Sherukindo n,k. kwa kuwa njia yao kubwa ni rushwa mbinu ikawa ujumbe wa NEC upiganiwe wilayani kwani wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya ni zaidi ya 1200, basi kama wao wanajidai wanahela basi wawahonge hao wajumbe wote. Maskini ya mungu kitu ambacho Kikwete hakujua *(kama mwenzie Pilato) wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya asilimia 98 % hawajasoma kwa hiyo hawawezi kutafsiri mbinu au hawakuweza kutafsiri Mbinu ya Mh Kikwete , kwa kutumia wapambe wao wakawanunua kirahisi wajumbe mwisho wa siku wao na wapambe wao wakajikuta wameingia kwenye hicho chombo cha maamuzi kwa hiyo Plan A ya Kikwete ikaishia hapo.

Tofauti na Ponsio Pilato Kikwete amebuni Plan B ambazo ni mbili hizo nina imani atamtosa Lowassa na wapambe wake.

  1. Amempendekeza Philipo Mangula awe makamo wa mwenyikiti wa chama kinachotawala ili kusudi wakati ukiwadia wa kuchukua form za kugombea Urais na hatimae kujadiliwa Mangula afanye kazi moja tu ya kukata jina la Lowassa kama walivyokuwa wanakata jina la Malecela.. Mangula kazi hiyo anaweza kabisa kabisa kuifanya kwa macho makavu.
  2. Wamechelewesha kutaja wajumbe wa kamati kuu, kazi iliyopo hapa ni kupiga darubini ili wapambe wa Lowassa na Lowassa mwenyewe wasiingie katika chombo hiki pia kazi hii Mh. Kikwete anaiweza.
Na wale watafutao madaraka kwa nguvu huwa wana mbinu zao kama suala la Faithbird Cox yule wa kwenye kashifa ya Watergate, sitaki kuingia ndani kuhusu hilo ila nina imani wenye akili mmenielewa.

Sasa tusubiri tuone.

EBAEBAN
Tel Aviv.
 
hizi ni harakati za kumsafisha Jakaya, na kama haujui umemvua nguo zaidi, kwanza umumfanya aonekane kwa uwazi zaidi kwamba hana shukrani kwa kuwasaliti waliomsaidia kufika apo alipo hata kwenye mipango yao myema, mtu yeyote anayefikiria kwenda ikulu anafikiria jambo jema kwa upande wake na taifa pia (achilia mbali nia yake-Jayaka ni nani hadi aweze kutambua yaliyo miyoni mwa watu au ndio unaendeleza mchezo wa kumuita mungu?)

Pili umemvua nguo zaidi kwa kututhibitishia kwamba ameshindwa kufanya kazi ya urais, hasa urais wake ambao alidai hana nao ubia na mtu na badala yake anajihusisha na urais wa watu wengine, ameshindwa kusimamia kila kitu unachokifahamu kama jukumu lake kama kiongozi dhabiti, katika kila alichonyoosha mkono wake kukifanya ameonyesha udhaifu mkubwa sana, barabara anazotambia kusitandaza nchi nzima zimeanza kubanduka kabla hajaondoka madarakani,

Tatu, Jakaya hana uwezo wa kupambana na Lowasa, Watanzania wengi mimi mmoja wapo ninampinga lowasa nikitambua kwamba indirectly napingana na rushwa, lowasa ni kivuli cha rushwa, Jakaya ameshindwa kupambana na rushwa inayofanyika ofisini kwake, na mitandao ya rushwa iliyojishikiza na familia yake, ataweza vipi kupambana na harakati za rushwa za lowasa.

By the way, muambie aache kujifananisha na Nyerere, only Nyerere gave us presidents during his life time, Mwinyi aliondoka madarakani bila kusababisha kipenzi chake kuwa rais, Yeye Mwenyewe anajua kwamba sio kipenzi cha mkapa mpaka kesho, hivyo na yeye atimize wajibu wake wa sasa, mambo ya rais wetu ajaye atuachie wananchi wenyewe, we know how to go about it better than him a thousand folds.
 
JMK hana hata stress, af sijui kajiunga Cheka, au Extreme? Maana yupo busy kunitumia sms kwa line zangu zote!! Wakati Mtwara kunateketea! BOGUS!
via Ban on duty, maana mkubwa AKIPUMUA huadhibiwa mtoto
 
ebaeban SALAMA NDG? Unajua kuwa LOWASA anamzidi akili kikwete Rais wetu?

Hakuna alichofanya Kikwete akamzidi Lowasa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesema kweli kabisa! Hapa kuna harufu ya kusafishana. Na ikumbukwe kuwa hata jitihada za kumzuia Lowasa asiwe Rais ajaye wa Tz ni mbinu binafsi za kumzuia asiseme uovu wa Kikwete. Lowasa anamfahamu JK kuliko anavyojifahamu mwenyewe. Siku Lowasa aliposimama pale dodoma na kumuuliza mwenyekiti, "Mwenyekiti ni nini ambacho niliwahi kufanya ambacho hukunituma au hukijui kiseme hapa?!" Mwenyekiti akawa anatabasamu tu, mpaka Mkapa alipogundua kikao kinakoelekea akaingilia kati, siku hiyo ndo Kikwete aligundua kuwa Lowasa ni HATARI wakati huu akiwa raisi tu bali hata baada ya yeye kuondoka madarakani. Kwa hiyo chchote anachofanyiwa Lowasa asigombee urasi si kwa manufaa ya taifa hili bali ni kulinda maslahi binafsi. Mimi naamini kuna jambo lingine kubwa zaidi ya hilo la urais. Pengine Lowasa aweza kuwa raisi hatari kwa maslahi yao zaidi ndo maana anapingwa. Tusikatae, labda ni shetani anabadilika kuwa malaika hatuwezi kujua....MUDA UTAAMUA.....
hizi ni harakati za kumsafisha Jakaya, na kama haujui umemvua nguo zaidi, kwanza umumfanya aonekane kwa uwazi zaidi kwamba hana shukrani kwa kuwasaliti waliomsaidia kufika apo alipo hata kwenye mipango yao myema, mtu yeyote anayefikiria kwenda ikulu anafikiria jambo jema kwa upande wake na taifa pia (achilia mbali nia yake-Jayaka ni nani hadi aweze kutambua yaliyo miyoni mwa watu au ndio unaendeleza mchezo wa kumuita mungu?)

Pili umemvua nguo zaidi kwa kututhibitishia kwamba ameshindwa kufanya kazi ya urais, hasa urais wake ambao alidai hana nao ubia na mtu na badala yake anajihusisha na urais wa watu wengine, ameshindwa kusimamia kila kitu unachokifahamu kama jukumu lake kama kiongozi dhabiti, katika kila alichonyoosha mkono wake kukifanya ameonyesha udhaifu mkubwa sana, barabara anazotambia kusitandaza nchi nzima zimeanza kubanduka kabla hajaondoka madarakani,

Tatu, Jakaya hana uwezo wa kupambana na Lowasa, Watanzania wengi mimi mmoja wapo ninampinga lowasa nikitambua kwamba indirectly napingana na rushwa, lowasa ni kivuli cha rushwa, Jakaya ameshindwa kupambana na rushwa inayofanyika ofisini kwake, na mitandao ya rushwa iliyojishikiza na familia yake, ataweza vipi kupambana na harakati za rushwa za lowasa.

By the way, muambie aache kujifananisha na Nyerere, only Nyerere gave us presidents during his life time, Mwinyi aliondoka madarakani bila kusababisha kipenzi chake kuwa rais, Yeye Mwenyewe anajua kwamba sio kipenzi cha mkapa mpaka kesho, hivyo na yeye atimize wajibu wake wa sasa, mambo ya rais wetu ajaye atuachie wananchi wenyewe, we know how to go about it better than him a thousand folds.
 
Kuhusu Mangula, alikuwa msafi wakati ule akiwa katibu mkuu, na si leo hii!!! Leo hii tunapomwangalia Mangula tumwangalie kama mtu aliyerudishwa ulingoni akiwa tayari amejeruhiwa na uchafu ndani ya CCM, na hii si CCM yake.

CCM yake aliondoka nayo. JK anajua hilo. Amemweka karibu na kumpa nafasi kwa kuwa anajua hatafanya siasa bali atakuwa analipa kisasi kwa aliyofanyiwa. Kwa hesabu za JK na kwa kumdanganya Mangula kuwa adui yako ni yule na yule na yule ndio walionidanganya nikung'oe kwenye uongozi wakati ule, atafanikiwa kuendeleza siasa za kulipizana kisasi ili yeye abaki salama.

Hizo ndo siasa za JK siku zote na hata hotuba zake siku zote zinampambanua hivyo. Muda do utakao amua!!
 
Mkuu umesema kweli kabisa! Hapa kuna harufu ya kusafishana. Na ikumbukwe kuwa hata jitihada za kumzuia Lowasa asiwe Rais ajaye wa Tz ni mbinu binafsi za kumzuia asiseme uovu wa Kikwete. Lowasa anamfahamu JK kuliko anavyojifahamu mwenyewe. Siku Lowasa aliposimama pale dodoma na kumuuliza mwenyekiti, "Mwenyekiti ni nini ambacho niliwahi kufanya ambacho hukunituma au hukijui kiseme hapa?!" Mwenyekiti akawa anatabasamu tu, mpaka Mkapa alipogundua kikao kinakoelekea akaingilia kati, siku hiyo ndo Kikwete aligundua kuwa Lowasa ni HATARI wakati huu akiwa raisi tu bali hata baada ya yeye kuondoka madarakani. Kwa hiyo chchote anachofanyiwa Lowasa asigombee urasi si kwa manufaa ya taifa hili bali ni kulinda maslahi binafsi. Mimi naamini kuna jambo lingine kubwa zaidi ya hilo la urais. Pengine Lowasa aweza kuwa raisi hatari kwa maslahi yao zaidi ndo maana anapingwa. Tusikatae, labda ni shetani anabadilika kuwa malaika hatuwezi kujua....MUDA UTAAMUA.....

ya ngoswe tumuachie ngoswe,EL alishasema yeye na Jk hawajakutana barabarani,hivyo as you say they know each other very well.
 
Wahenga walisema historia hujirudia....

Na wale watafutao madaraka kwa nguvu huwa wana mbinu zao kama suala la Faithbird Cox yule wa kwenye kashifa ya Watergate, sitaki kuingia ndani kuhusu hilo ila nina imani wenye akili mmenielewa.

Sasa tusubiri tuone.

EBAEBAN
Tel Aviv.

Huyu Faithbard Cox alikuwa ni mpelelezi binafsi katika scandal ya Rais NIXON katika ile kashfa ya watergate, baada ya yale maharamia kukamatwa red-handad yakiweka vinasa sauti kwenye simu ndani ya office za Democratic rais aliamuru CIA wawapotezee FBI wasiendelee na uchunguzi sasa yeye Faithbard Cox akajitia kimbelembele kuendelea kuchonoa mambo ambayo mtawala aliisha sema wayapotezee, matokeo yake wakammaliza hakuonekana tena mpaka kesho.

Pili kumbe hawa wanaojidai wanachambua biblia kwenye mihadhara ya kukashifu dini ya kikristo wanajitia eti wanaijua biblia kumbe hawajui lolote, Biblia kumbe ngumu kiasi inabidi uitafsiri siyo kuisoma kama hadithi, nimekunukuu bwana EBAEBAN.
 
Kuhusu Mangula, alikuwa msafi wakati ule akiwa katibu mkuu, na si leo hii!!! Leo hii tunapomwangalia Mangula tumwangalie kama mtu aliyerudishwa ulingoni akiwa tayari amejeruhiwa na uchafu ndani ya CCM, na hii si CCM yake. CCM yake aliondoka nayo. JK anajua hilo. Amemweka karibu na kumpa nafasi kwa kuwa anajua hatafanya siasa bali atakuwa analipa kisasi kwa aliyofanyiwa. Kwa hesabu za JK na kwa kumdanganya Mangula kuwa adui yako ni yule na yule na yule ndio walionidanganya nikung'oe kwenye uongozi wakati ule, atafanikiwa kuendeleza siasa za kulipizana kisasi ili yeye abaki salama. Hizo ndo siasa za JK siku zote na hata hotuba zake siku zote zinampambanua hivyo. Muda do utakao amua!!
Point of interaprion
Achana kabisa na mawazo ya kumtegemea mtu kubaridika, Lowasa hafai hafai period, kama kuna kitu anakijua au anataka kufanya kwa maslahi ya Taifa afanye sasa, kama hawezi akae kimya mpaka siku anakufa, hatuhitaji kuwa na marais wanaokwenda ikulu kulipiza visasi au kufanya mambo ambayo yako ndani ya uwezo wao kuyanyafanya sasa na hawayafanyi,

Takwimu zinaonyesha tuko watu milioni 45, hawa ni watu wengi sana kushindwa kupata mtu wa kutuongoza baina yetu kiasi cha kutufanya tuanze kucheza funika funua ya kubadirika au kutokubadirika kwa lowasa, by the way tutegemee kubadirika kwake kwa lipi, has he ever been the president, NO? has he ever contested for the presidential position, NO, Has He ever assumed any position equivalent to presintial position, YES, what good did he do, NOTHING, so why do so many people think of him being the likely next president, I DO NOT KNOW.
 
ni wazi kabisa Lowassa anautaka urais na wakati huo huo Urais hauwezi na Kikwete analijua hilo,
eti kiKwete analijua hilo......yeye anauweza huo ura-HISI...kwa uwezo gani alionao wa kutambua wenye uwezo wa kuwa mara-hisi
 
Point of interaprion
Achana kabisa na mawazo ya kumtegemea mtu kubaridika, Lowasa hafai hafai period, kama kuna kitu anakijua au anataka kufanya kwa maslahi ya Taifa afanye sasa, kama hawezi akae kimya mpaka siku anakufa, hatuhitaji kuwa na marais wanaokwenda ikulu kulipiza visasi au kufanya mambo ambayo yako ndani ya uwezo wao kuyanyafanya sasa na hawayafanyi,

Takwimu zinaonyesha tuko watu milioni 45, hawa ni watu wengi sana kushindwa kupata mtu wa kutuongoza baina yetu kiasi cha kutufanya tuanze kucheza funika funua ya kubadirika au kutokubadirika kwa lowasa, by the way tutegemee kubadirika kwake kwa lipi, has he ever been the president, NO? has he ever contested for the presidential position, NO, Has He ever assumed any position equivalent to presintial position, YES, what good did he do, NOTHING, so why do so many people think of him being the likely next president, I DO NOT KNOW.
The mechanism of finding a political leader in this country have been destroyed by CCM system since the time of "Zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM". What is in operation is nepotism, favouretism and JK and the groups style of Mahepe(ngoma za wajanja). No one could belive Mangula who was rejected at District level after being defeated in a vote at regional level could be appointed to his current post. This makes one statement "It is the chairman prerogative what you become as a leader in the party and Government". It is unfortunant that JK have fight and being promoted to the levels of his incompetence. The irony of the situation is that we are going to pay for each and every incompetence, negligence, ufisadi and all that we see each and every day and wish the decision could be different. In streat language "tumeingia mkenge" or "choo cha kike kwa wanaume inabidi kuchuchumaa ili kutoa haja ndogo (kukojoa)"
 
Lowasa kapata ajali ya Kisiasa."Alisema JK mwaka 2008".

Nape Kakalia kuti kavu akiingia Gamba Lowasa.
2015 Slaa ndie Rais.
Waache Vichaa wanyanganyane ukoko wa Lumumba.
 
Back
Top Bottom