Ukimpa Waziri Mkuu TAMISEMI unaipata Serikali ya Tanganyika kama alivyofanya Rais Mstaafu Kikwete

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,958
146,168
TAMISEMI Ndio Tanganyika yenyewe kwani Mkurugenzi ana Idara zote ambazo kwenye Muungano tunaita Wizara na anao Jeshi la Mgambo kuhakikisha Usalama katika level yake.

Kikwete akiwa Rais aliiacha TAMISEMI kwa Waziri Mkuu lakini alipoingia Shujaa Magufuli aliirejesha TAMISEMI Ikulu akihofia Ule umaarufu wa Lowassa alioupata kwenye Councils za Tanzania Bara.

Nadhani mafanikio ya mfumo huu wa Lowassa na Pinda ndiyo yalimsukuma JK kutest mabadiliko ya Katiba ila wale UKAWA wakamfelisha.

Ahsanteni 🐼
 
Eti shujaa!🤣🤣🤣🤣

Shujaa aliyekuwa anaogopa habari zisizokuwa zikimsifia ?

Shujaa kazima mitandao siku 5 , kapandikiza hadi jeshi kuteka wanaompinga kajipa ushindi 80% + na kawaachia kikundi cha CCM kwenye kumbi za bunge .

Tukubali au tukatakae itachukua miaka mingi sana nchi kurudi walau katika hali yake ya kawaida.

Hebu tuseme ukweli bungeni pale nani anaweza kuibua na kuijadili kashfa kama ya Richmond , EPA na kadhalika?

Wote ni mama anaupiga mwingi.

Magufuli hana ushujaa wowote alikuwa ni mwendawazimu aliyekabidhiwa madaraka makubwa kwa ukinzani wa makundi hasimu .
 
TAMISEMI Ndio Tanganyika yenyewe kwani Mkurugenzi ana Idara zote ambazo kwenye Muungano tunaita Wizara na anao Jeshi la Mgambo kuhakikisha Usalama katika level yake

Kikwete akiwa Rais aliiacha TAMISEMI kwa Waziri Mkuu lakini alipoingia Shujaa Magufuli aliirejesha TAMISEMI Ikulu akihofia Ule umaarufu wa Lowassa alioupata kwenye Councils za Tanzania Bara

Nadhani mafanikio ya mfumo huu wa Lowassa na Pinda ndiyo yalimsukuma JK kutest mabadiliko ya Katiba ila wale UKAWA wakamfelisha

Ahsanteni 🐼
Trump alisema anapenda mashujaa ambao hawafi vitani ama kutekwa. Alipompiga kijembe McCain RIP

Ni hilo tu kwa leo
 
TAMISEMI Ndio Tanganyika yenyewe kwani Mkurugenzi ana Idara zote ambazo kwenye Muungano tunaita Wizara na anao Jeshi la Mgambo kuhakikisha Usalama katika level yake

Kikwete akiwa Rais aliiacha TAMISEMI kwa Waziri Mkuu lakini alipoingia Shujaa Magufuli aliirejesha TAMISEMI Ikulu akihofia Ule umaarufu wa Lowassa alioupata kwenye Councils za Tanzania Bara

Nadhani mafanikio ya mfumo huu wa Lowassa na Pinda ndiyo yalimsukuma JK kutest mabadiliko ya Katiba ila wale UKAWA wakamfelisha

Ahsanteni 🐼
Huu ni utafiti, mtazamo au maoni?
 
TAMISEMI Ndio Tanganyika yenyewe kwani Mkurugenzi ana Idara zote ambazo kwenye Muungano tunaita Wizara na anao Jeshi la Mgambo kuhakikisha Usalama katika level yake.

Kikwete akiwa Rais aliiacha TAMISEMI kwa Waziri Mkuu lakini alipoingia Shujaa Magufuli aliirejesha TAMISEMI Ikulu akihofia Ule umaarufu wa Lowassa alioupata kwenye Councils za Tanzania Bara.

Nadhani mafanikio ya mfumo huu wa Lowassa na Pinda ndiyo yalimsukuma JK kutest mabadiliko ya Katiba ila wale UKAWA wakamfelisha.

Ahsanteni 🐼
Aliyeondoa TAMISEMI kutoka ofisi ya Waziri Mkuu ni Mkapa alipoingia awamu yake ya pili baada ya kuona Sumaye amepwaya! Kikwete akiwa na Lowassa na Pinda kama Mawaziri Wakuu alibaki na TAMISEMI katika ofisi yake hadi Shetani Magufuli alipoingia madarakani!
 
Aliyeondoa TAMISEMI kutoka ofisi ya Waziri Mkuu ni Mkapa alipoingia awamu yake ya pili baada ya kuona Sumaye amepwaya! Kikwete akiwa na Lowassa na Pinda kama Mawaziri Wakuu alibaki na TAMISEMI katika ofisi yake hadi Shetani Magufuli alipoingia madarakani!
😂😂😂
 
Eti shujaa!🤣🤣🤣🤣

Shujaa aliyekuwa anaogopa habari zisizokuwa zikimsifia ?

Shujaa kazima mitandao siku 5 , kapandikiza hadi jeshi kuteka wanaompinga kajipa ushindi 80% + na kawaachia kikundi cha CCM kwenye kumbi za bunge .

Tukubali au tukatakae itachukua miaka mingi sana nchi kurudi walau katika hali yake ya kawaida.

Hebu tuseme ukweli bungeni pale nani anaweza kuibua na kuijadili kashfa kama ya Richmond , EPA na kadhalika?

Wote ni mama anaupiga mwingi.

Magufuli hana ushujaa wowote alikuwa ni mwendawazimu aliyekabidhiwa madaraka makubwa kwa ukinzani wa makundi hasimu .
Shujaa akawachagulia Chadema na CUF wabunge wanawake ili Waolewe CCM 😂😂
 
Shujaa akawachagulia Chadema na CUF wabunge wanawake ili Waolewe CCM 😂😂
Shujaa akawachagulia Chadema na CUF wabunge wanawake ili Waolewe CCM 😂😂
Sioni cha kufurahisha hapo zaidi ya kuzidi kudhihirisha yule mtu alikuwa ni serious mental cases.

Aliiba kura na kupandikiza watu ili ajiongezee muda kwa mlango wa nyuma kana kwamba haihitaji ila watu ndio wanamlazimisha ndio kuja kugundua zipo bilateral agreeements ambazo zinahitaji uwepo wa kambi ya upinzani bungeni ndio akachukua wale batili 19 ambao wamefutwa uanachama akafanya mpango abalance ili apate mkopo ule .

Yani huoni uchungu wabunge hewa 19 wasio na chama wanakula pesa za walipa kodi bure na nyie CCM mnakenua tu?

Yule mwehu kakopa halafu vyombo vya habari vinachaguliwa habari za kuandika na kuambiwa waandike ni pesa za ndani ndio zinafanya miradu kumbe ni mikopo.

Na akapata wendawazimu wenzie wakashikilia bango SGR inajengwa kwa mapato ya ndani kumbe ni mkopo.
 
Sioni cha kufurahisha hapo zaidi ya kuzidi kudhihirisha yule mtu alikuwa ni serious mental cases.

Aliiba kura na kupandikiza watu ili ajiongezee muda kwa mlango wa nyuma kana kwamba haihitaji ila watu ndio wanamlazimisha ndio kuja kugundua zipo bilateral agreeements ambazo zinahitaji uwepo wa kambi ya upinzani bungeni ndio akachukua wale batili 19 ambao wamefutwa uanachama akafanya mpango abalance ili apate mkopo ule .

Yani huoni uchungu wabunge hewa 19 wasio na chama wanakula pesa za walipa kodi bure na nyie CCM mnakenua tu?

Yule mwehu kakopa halafu vyombo vya habari vinachaguliwa habari za kuandika na kuambiwa waandike ni pesa za ndani ndio zinafanya miradu kumbe ni mikopo.

Na akapata wendawazimu wenzie wakashikilia bango SGR inajengwa kwa mapato ya ndani kumbe ni mkopo.
Covid-19 siyo Wabunge hewa kwani hata wakiondolewa wataingizwa Wabunge wengine 19 na Fomu yao itasainiwa na J J Mnyika yule yule wa Chadema

Kwahiyo bajeti ya serikali kuwagharamia ni ile ile labda useme kwa sasa michango yao bungeni ni ya Kiccm na si kichadema!
 
TAMISEMI Ndio Tanganyika yenyewe kwani Mkurugenzi ana Idara zote ambazo kwenye Muungano tunaita Wizara na anao Jeshi la Mgambo kuhakikisha Usalama katika level yake.

Kikwete akiwa Rais aliiacha TAMISEMI kwa Waziri Mkuu lakini alipoingia Shujaa Magufuli aliirejesha TAMISEMI Ikulu akihofia Ule umaarufu wa Lowassa alioupata kwenye Councils za Tanzania Bara.

Nadhani mafanikio ya mfumo huu wa Lowassa na Pinda ndiyo yalimsukuma JK kutest mabadiliko ya Katiba ila wale UKAWA wakamfelisha.

Ahsanteni 🐼

Watanganyika mnaumwa sana na Zanzibar , roho zinawatoka kwa choyo chenu. Sijui lini mtaanza kuifikiria nchi yenu Tanganyika na mtaacha kuishupalia Zanzibar
 
Covid-19 siyo Wabunge hewa kwani hata wakiondolewa wataingizwa Wabunge wengine 19 na Fomu yao itasainiwa na J J Mnyika yule yule wa Chadema

Kwahiyo bajeti ya serikali kuwagharamia ni ile ile labda useme kwa sasa michango yao bungeni ni ya Kiccm na si kichadema!
Wale ni mamluki.

Hawana chama kwa sasa, CCM mtuambie wale ni wabunge wa chama kipi?

CCM hamtaki wagombea binafsi halafu mnatuambia hawa mamluki 19 ni wabunge wa CHADEMA wakati walitimuliwa?
images (79).jpeg
 
Watanganyika mnaumwa sana na Zanzibar , roho zinawatoko kwa choyo chenu. Sijui lini mtaanza kuifikiria nchi yenu Tanganyika na mtaacha kuishupalia Zanzibar
Hakuna anayeishupalia Zanzibar amijei

Hamad Rashid: Zanzibar ni pande la ardhi lililojimega kutoka Tanganyika na kuelea Baharini
 
Back
Top Bottom