Mkutano huu ni muhimu sana, Tanzania tunatekeleza diplomasia ya kiuchumi, ila ubalozini tuna waambata wa kijeshi tuu, hatuna waambata wa uchumi!. To be able to move forward, things must change.
P
Ooh I mean SADICSadic ndo nn
Mkutano huu ni muhimu sana, Tanzania tunatekeleza diplomasia ya kiuchumi, ila ubalozini tuna waambata wa kijeshi tuu, hatuna waambata wa uchumi!. To be able to move forward, things must change.
P
Sekta binafsi bado ambapo ndiyo walipo walipa kodi wakubwa. Mfano mradi wa nyumba za kisasa, Fumba wilaya ya Magharibi tu ndiyo wa Sekta binafsi. Vipi kuvutia uwekezaji ktk viwanda vya kubangua korosho kuongeza thamani na viwanda vya kusindika mazao / soko la uhakika kwa mazao yote ya kilimo, mifugo na uvuvi. Au mabalozi hawatakiwi kuunga mkono juhudi binafsi za wakulima wengi wanyonge na wavuja jasho wa sekta binafsi?
Naona mkazo ni madaraja, reli na barabara . Mikutano ya mabalozi wetu na mwanadiplomasia namba moja (Mh. Rais) na namba 2 (Waziri Mambo ya Nje) inabidi wasikilize maoni yetu pia ili kutanua wigo wa majukumu msingi ya mabalozi wetu nje ya nchi.
Source : Channel ten
Hongera!
-
Swali, Ni sababu zipi zinapelekea kuwa na mabalozi 40's wakati mataifa yapo 200's?
Hivi ikitokea dharura kwenye nchi isiyokuwa na balozi kwa muda huo msaada hutolewa sana sana na Kenya au nchi jirani katika eneo hilo?Nafikiri nia ni kuokoa gharama. Balozi wa UK anaweza kuwakilisha pia Ireland, wa Sweden pia kuwakilisha Norway, Dermark, Iceland,Latvia,
Balozi wa India anaweza pia kuwakilisha Nepal, Mongolia etc.
Sijaelewa kitu hapa. Yaani balozi alete ujenzi wa barabara, kiwanda, daraja nk. Ninaona kama mabalozi hawa wametumwa kwenda kuwa ombaomba kwa niaba ya nchi. Ni hao hao tunaowaita mabeberu siku nyingine na kwamba wasitupangie mambo yetu??? Mbona tunasema vitu hivo tunajenga kwa fedha zetu za ndani??
Imefika wakati tukiri sisi sio nchi tajiri wala hatuwezi kuwa dona kantri - kama balozi anahitajika kuleta miradi ya barabara na madaraja kutoka nchi wanazotuwakilisha.
Tukubali kuwa sisi ni tegemezi na wanafiki!! Inasikitisha!
Hivi ikitokea dharura kwenye nchi isiyokuwa na balozi kwa muda huo msaada hutolewa sana sana na Kenya au nchi jirani katika eneo hilo?
Samahani uniweza nielezea hapa kidogo.Yap inategemea na mipango kati ya nchi na nchi. Tuna wawakilishi hadi wazungu wànaoiwakisha Tanzania.
Miradi miradi miradi.... huyu ni rais au waziri wa miundombinu na usafirishaji?
“Nataka muwe very aggressive, na ukiona mtu anakukwamisha mimi nipo niandikieni uone kama hatakwama yeye, mimi nataka kuona vitu sio maneno maneno” amesisitiza Rais Magufuli.
Si vyema kupinga kila jambo, kuna mambo yanafanywa sasa yanafaida na zinaonekana mkuu. Huwezi sema kila kitu hakipo sawa halafu wewe ukawa sawa na kama hulioni hilo basi huenda ndio tatizo lako kuu.Ni vipofu tu ndiyo wanapongeza na kusifia kila upuuzi bila ya kutafakari athari kubwa kwa Taifa.
Samahani uniweza nielezea hapa kidogo.
Japo watumiaji wengi wa JamiiForums wanafikiri kila mmoja humu ndani lazima awe mTanzania au African.
Kipi bora kwako
Demokrasia au maendeleo?
Wananchi wa kawaida,wanahitaji demokrasia au msendeleo?
Ndugu yangu, demokrasia hats Ulaya imeshindikana!
Ebu tupate maendeleo kwanza, hiyo demokrasia itatukuta njiani
Inabidi ifike mda tubadilike sasa. Sio kuchua mtu mstaafu na kumuweka awe balozo. Inatakiwa wenye professional za uchumi na biashara wawekwe huko.Mkutano huu ni muhimu sana, Tanzania tunatekeleza diplomasia ya kiuchumi, ila ubalozini tuna waambata wa kijeshi tuu, hatuna waambata wa uchumi!. To be able to move forward, things must change.
P
Inabidi ifike mda tubadilike sasa. Sio kuchua mtu mstaafu na kumuweka awe balozo. Inatakiwa wenye professional za uchumi na biashara wawekwe huko.
serikali inatakiwa kufanya nini ili kupeleka wawekezaji?Duh nimesema nini hapo juu.., ni lini tutaanza kuweka mkazo kwenye kupeleka wawekezaji na sio kuleta wawekezaji ?
Its just the right mentality.., wawekezaji watuletee nini ambacho hatuna na miaka yote hii hatujakipata.., Sisi ni taifa la kuendelea kutegemea wawekezaji, What made them wawekezaji ?
Emancipate yourselves from mental slavery
None but ourselves can free our minds