Unafiki tu hakuna cha kuwaenzi wala nini hapo, wamekosa jukwaa la pigia domo wanajitia kuenzi wafu. kwani waliokufa kwa ajili ya maandamano wako Arusha tu??????????? Basi mungu awajalie kuendelea kuwaenzi kila mwaka kama mtaweza(((((WEWE KWA MAWAZO YAKO AYA, ATA WANAO WALE VICHANGA WATAHOJI CREDIBILITY PIA AKILI YAKO PIA KAMA HUNA UJI KTK UBONGO WAKO HASA KM MKUU WA FAMILIA, MAANA KILA UNACHOANDIKA HUMU NI FULL OF PUMBA PIA MASHUDU, DUH UACHE KUTUCHEFUA DAILY UMU JANVINI))))