Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

We mbona hujawi kuandamana? Kwa taarifa yako mi kama mkuu wa familia sitegemei maandamano wala siasa za kinafiki, hata mmeo akishika hii nchi kwangu maisha yataendelea kama kawaida kwani nitatii mamlaka yake na kuishi kwa kufata sheria.
 
nothing like will happen on me lengo langu lilikuwa kujua yaliyo jili huko

walikuwa wangapi waliorejesha kadi

Waliorudisha kati walikuwa wengi lakini wako mchanganyiko kwani chama cha mafisadi walikuwa kama 7+wata5 toka CUF! Na bado kuna waliokuwa wengi wanataka kurudisha kadi ya mafisadi lakini muda ukawa finyu ila waliahidiwa kesho yake MUNGU akijalia wote waende ofisi lengwa na wameapa watafurika pale kurudisha kadi za mafisadi.
 
Hivi inamaana hamkupata picha wakuu mliokokuwa kule Arusha?mnatunyima habari,wengine tulikuwa tunahangaikia sembe hivyo sijui nani alihutubia hadhara ile na hali ilikuwaje hasa mwitiko wa watu?mtujuze na mtuwekee picha kama mlizipata
 

Bila mikutano chama dhaifu kilichounda serikali legelege kitaondolewaje madarakani? Ni kazi ya chama cha siasa kufanya mikutano ya hadhara ili kufikisha ujumbe muafaka na kwa wakati muafaka. Sasa kile chama chako kilichokosa mvuto kitathubutu kufanya mikutano? Mwaka 2015 ni mwisho wenu
 
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!
Wewe ni mjinga kabisa kakojoe ulale huna unaloweza kusaidia kwenye jamii, pumba mtupu!!!! unafikiri wote ni wajinga kama wewe? you better shutup!! foolish
 
Fikra dhaifu hutoka ktk vyichwa vyenye ubongo dhaifu
 
kumbukumbu ni ishara nzuri hususani kwa mashujaa wetu,ni chimbuko la kututoa woga katika mapambano ya haki dhidi ya batili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…