KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
duh we mtu una roho mbaya sana, na una roho mbaya kama mafisadi ya ccm, kwani yanafurahia watu wanapoangaika ata kuua, wewe una msukumo wa roho mbaya ya ccm magamba. Watu pia viongozi wa ccm magamba hapo wanawaza jinsi posho ztakavyotoka zaidi ya umuhimu wa shughuli yenyewe ya kuwakumbuka marehemu,tunawashukuru viongozi wetu kwa kuitikia wito uhu wa maadhimisho aya na ni muhimu viongozi wetu watupe pia machache juu ya dhuluma na maovu kwatanzania wanayoendelea kufanywa na mafisadi ya ccm, pia mchakato wa katibaukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!
Eti kuondoa umasikini, unataka CDM wakawahimizie wapi habari maelezo?Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!
Si hayo tu, tunataka kujua suala la UDA limeishia wapi? Na ile sinema ya Kichina ya Kujivua gamba nayo haina mwisho? Ndio maana yule jamaa alituambia kwamba hawa Watu wanafikiri kwa kutumia "Makanyagio" hatukumwelewa. Ukweli ni kwamba jambo linalopitia sehemu hiyo wanayotumia kufikiri huwa ni la muda mfupi na la kupita tu.Nawapongeza kwa kukumbusha mambo ambayo serikali ya magamba hua ndo inachukulia kwamba watu wameshahau ndo loophole ya kuendeleza ukandamizaji.Chekulia mambo kama Richmond ,sasa la jairo ,luhajo hakuna kitakochofanyika zaidi ya uhuni tu na porojo kibao . Viva CDM
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
Tanzania! Tanzania! kwanini unakuwa malaya hivi? kila mtu anakubaka?
ukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!
Chama cha fujo tanzania. Chama chenye ajenda ya ufisadi tu tanzania. Chama cha wachaga. Mkishaenzi then what?
Kwani wao wanawalazimisha watu kuhudhuria mikutano yao? au umeona wanapeleka magari ya kuwabeba, kuwalipa sh. 10000/= na kuwavalisha t-shirts, kofia pamoja na kanga? Kwani umeona wanapiga muziki kutoka vijana wa ubongo wa fleva na wanaohudhuria wakawa watoto peke yao? au ameona watu wanakwenda wao wenyewe kwa hiari yao? tena kwa kujigharamia. Hivi unaelewa maana ya PEOPLES POWER?, Tafakari kisha chukua hatua.Kumbe kweli hiki ni chama cha wapenda sifa! Huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala wawahimize wananchi wachape kazi kuondoa umaskini wao kila siku ni mikikutano tena hasa arusha! Naona viongozi wote wa chadma sasa watakuwa matahiira maana kila mahali wanaandamana wote, majimbo mmepewa lakini hakuna dalili yoyote ya maendeleo zaidi ya kuchochea vurugu kila siku. Najua mtanishambulia sana ila ukweli unauma! Acheni watu wafanye kazi hata ninyi mko kazini maana mnalipwa posho sio bure, na watakaohudhuria hio kumbukumbu ni mbumbumbu wa kufikili
Wanafanya vizuri sana ,watumie wakati huu wakuwakumbuka wapiganaji wengine waliokufa wakikataa dhuluma,wale wa mbeya ,Igunga,Meatu,GeitaKaribu viongozi wakuu wote wa kitaifa wa CHADEMA wameshawasili Arusha, leo watawaongoza maelfu wa wakazi wa Jiji la Arusha katika kumbukumbu ya mwaka mmoja ya watu waliouawa kikatili na askari polisi, Januari 5, mwaka jana.Maandalizi yameanza hapa uwanjani jeshi la Polisi limetoa baraka zote za mkutano, tutataarifiana kitakachokuwa kinaendelea.