Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Kwenu Uongozi wa JamiiForums huyu Mtu hajaanza leo kuwa na tabia ya Kunichokoza na kupenda kwa Makusudi Kuharibu Mtiririko wa ama Threads zangu au Posts zangu hapa JamiiForums.


Yeye anachojua ni Kunidhihaki na kwa Makusudi kabisa Kunichokoza ili nihamaki na nijibizane nae kwa Lugha ya Ukali ili Moderators wenu wakiona wanipe BAN kitu ambacho Yeye na Watu wa Kundi lake wenye Chuki zisizo na Kichwa wala Miguu na Mimi ndicho wanakitaka Kutwa.


Na kinachonishangaza hasa ni Kitendo cha Members hapa Kumchekea na Kufurahia Uchokozi wake na Dhihaka zake za kila mara dhidi yangu kwa Kumnyamazia ila GENTAMYCINE nikiamua tu Kupambana nae kwa Lugha niijuayo Mimi ambayo inaumiza zaidi ndipo utawaona Wao ( Members ) wengi Wanafiki wakiongozwa na Tate Mkuu wanajitokeza Kunilaumu na Kuhoji kwanini namjibu Kiukali ila ninapokuwa Nachokozwa na Nadhihakiwa nae huwa hawasemi Kitu na wala hawamsemi.


Kilichonishangaza zaidi na ambacho kila Siku nasema hapa kuwa huyu LIKUD ni Mmoja wa Moderators na pia anasapotiwa na baadhi yao ni kwamba Juzi tu tumetoka Kujibizana nae kwa Maneno Makali na siyo ya Kupendeza na nina uhakika Moderators waliona hilo Tukio na walijua kabisa kuwa Yeye ni Mchokozi na amekuwa na tabia ya kufanya hivyo Kwangu kila Siku hapa JamiiForums walichokifanya Moderators ni Kufuta zile Posts zetu za Majibizano yetu Makali na Kumuachia hadi Leo tena ameibuka na Utamaduni wake ule ule wa Kunichokoza.


Narudia tena na nina uhakika kuwa kuna Kikundi cha Watu ( Members ) hapa tena huenda wanasaidiwa ( Wanasapotiwa ) na Moderators ( baadhi ) kwa Roho zao Mbaya na Chuki Kwangu kutokana na Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Mada, Mvuto na Umaarufu wangu umekuwa ni Chukizo Kuu Kwangu GENTAMYCINE hivyo waneanzisha Mkakati Maalum wa Kunichokoza na Kunidhihaki kwa Makusudi ili Nihamaki ( kwa kujua nina Hasira za Karibu ) na Kuwajibu kwa Maneno yangu Makali ili Mada zangu ziwe zinaharibika Kimaudhui na ziwe Chafu ( kwa kujaa Majibizano yetu ya Lugha Kali ) na haraka sana GENTAMYCINE nipigwe BAN jambo ambalo ndilo wanalitaka liwe linanyika ( linafanywa ) dhidi yangu Kutwa hapa Jamiiforums.


Hata katika hii Post ambayo Mimi nimechangia tu kwa Mtazamo wangu kama walivyofanya Wengine ila amekuja tena Kunichokoza na Kunidhihaki ili nihamaki na tujibizane kwa Maneno Makali ili Lengo lake litimie na ninyi Moderators mkasirishwe nami kisha haraka mnipe BAN za Mwezi au Miezi Mitatu Mitatu kama ambavyo mmekuwa mkinipa na Mkakati wao Maalum dhidi yangu Utimie.


MImi ni Mvumilivu sana na mno halafu sina Unafiki wala Uoga na mpaka leo ( Usiku ) huu mnaona nimeandika hiki ( hivi ) jua nimechoka. Na asidhani kuwa kwa Kunichokoza na Kunidhihaki Kwake hivi anaweza Kushindana nami kwa Vita ya Maneno Makali ila nimeamua tu kuwa Mstaarabu kwa Kutomjibu vile anavyotaka na Kukusudia kwa Kuwaheshimu Members na kwa Heshima ya huu Mtandao ambao wengine umetusaidia Kutupa Maarifa na Kutukomaza zaidi Kifikra japo kwa Wengine umewasaidia Kuwaonyesha jinsi walivyo Majuha na Wendawazimu kwa Kuwekeza zaidi muda wao kwa Kunishambulia, Kunichokoza na Kunidhihaki GENTAMYCINE utadhani kuna chao chochote nilichokula au nina Deni nao.


Na namalizia kwa kusema huyu huyu Mtu hana tu hii ID Moja tu bali nina ID's zake zaidi ya Nne ( 4 ) ninazozijua ambazo kutokana na Upumbavu wake huwa ananishambulia, ananichokoza na kunidhihaki kwa Lugha hii hii Moja inayofanana. Na kuna Siku alinichoko:a Kimakusudi na nilipomjibu Vikali akaniambia ( narudia akaniambia ) atanipiga BAN na kweli ndani ya muda mchache tu nikapigwa hiyo BAN.


Mwisho naomba hii Post yangu ya Malalamiko kumhusu huyu Member isifutwe kwani kumekuwa na tabia ya pale tu GENTAMYCINE nikilalamikia Jambo hapa na nikimtagi ( Tag ) JamiiForums Founder Maxence Melo na huyu Cookie upesi sana hiyo post yangu inafutwa na sijui huwa ni kwanini inafutwa.


Posts za huyu Member LIKUD na Wengine wanaonichokoza, Wanaonidhihaki na Wanaonishambulia Kutwa hapa huwa zinaachwa na hazifutwi, ila nikiwa najibu Mapigo kwa Maneno yangu Makali au nawataja hawa akina Maxence Melo na Cookie haraka unaona post yangu inafutwa.


Na kila mara nasisitiza hapa JamiiForums kuwa kama unaona HUNIPENDI au HUNIKUBALI kwa namna yoyote ile GENTAMYCINE na Kwako Mimi sina THAMANI yoyote ya Kiuwasilishaji basi cha kufanya ni rahisi sana cha Wewe kuamua tu KUNIBLOKU ( IGNORE ) ila cha Kushangaa ni kwamba 99% ya Wanaojinasibu Kutwa hapa Jamiiforums kuwa WANANICHUKIA na HAWANIPENDI ndiyo hao hao Wanaoongoza kwa KUNIFUATILIA, KUNISOMA na hata baadhi yao ni 'FOLLOWERS' wangu Jambo ambalo huwa sielewi ni kwanini. Hivi Logically Yule unayemchukia unaweza ukapoteza muda wako 24/7 Kumfuatilia? Hili kama siyo tatizo Kubwa la Akili linalowakabili litakuwa ni nini tena? Wao wameshaona Mimi nikihangaika nao au hata kupoteza muda wangu Kuwasoma na hata tu Kuwafuatilia?


Kama mnamtuma semeni tu nijue.


Inakera.


Cc:. Moderator, Active, JamiiForums, Paw, Cookie and JamiiForums Founder Maxence Melo

Kama Kawaida yenu na nilikitegemea Jana Usiku baada ya Kuandika post hii hii haraka sana mkawahi Kuifuta na Kufuta comment yake LIKUD na najua hata hii nayo mtaifuta muda si mrefu ili Kumlinda na Kuonyesha Kufurahia Kwenu anavyonichokoza, anavyonidhihaki na anavyonishambulia Kutwa hapa Jamiiforums. Na kamwe sitochoka Kuwalaumu na Kuwalalamikieni juu ya hili na huyu Member.
Una uhakika kilichokuuzi ni hicho ulichoandika au ukweli wa matokeo ya uchaguzi Kenya?
 
Kwenu Uongozi wa JamiiForums huyu Mtu hajaanza leo kuwa na tabia ya Kunichokoza na kupenda kwa Makusudi Kuharibu Mtiririko wa ama Threads zangu au Posts zangu hapa JamiiForums.


Yeye anachojua ni Kunidhihaki na kwa Makusudi kabisa Kunichokoza ili nihamaki na nijibizane nae kwa Lugha ya Ukali ili Moderators wenu wakiona wanipe BAN kitu ambacho Yeye na Watu wa Kundi lake wenye Chuki zisizo na Kichwa wala Miguu na Mimi ndicho wanakitaka Kutwa.


Na kinachonishangaza hasa ni Kitendo cha Members hapa Kumchekea na Kufurahia Uchokozi wake na Dhihaka zake za kila mara dhidi yangu kwa Kumnyamazia ila GENTAMYCINE nikiamua tu Kupambana nae kwa Lugha niijuayo Mimi ambayo inaumiza zaidi ndipo utawaona Wao ( Members ) wengi Wanafiki wakiongozwa na Tate Mkuu wanajitokeza Kunilaumu na Kuhoji kwanini namjibu Kiukali ila ninapokuwa Nachokozwa na Nadhihakiwa nae huwa hawasemi Kitu na wala hawamsemi.


Kilichonishangaza zaidi na ambacho kila Siku nasema hapa kuwa huyu LIKUD ni Mmoja wa Moderators na pia anasapotiwa na baadhi yao ni kwamba Juzi tu tumetoka Kujibizana nae kwa Maneno Makali na siyo ya Kupendeza na nina uhakika Moderators waliona hilo Tukio na walijua kabisa kuwa Yeye ni Mchokozi na amekuwa na tabia ya kufanya hivyo Kwangu kila Siku hapa JamiiForums walichokifanya Moderators ni Kufuta zile Posts zetu za Majibizano yetu Makali na Kumuachia hadi Leo tena ameibuka na Utamaduni wake ule ule wa Kunichokoza.


Narudia tena na nina uhakika kuwa kuna Kikundi cha Watu ( Members ) hapa tena huenda wanasaidiwa ( Wanasapotiwa ) na Moderators ( baadhi ) kwa Roho zao Mbaya na Chuki Kwangu kutokana na Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Mada, Mvuto na Umaarufu wangu umekuwa ni Chukizo Kuu Kwangu GENTAMYCINE hivyo waneanzisha Mkakati Maalum wa Kunichokoza na Kunidhihaki kwa Makusudi ili Nihamaki ( kwa kujua nina Hasira za Karibu ) na Kuwajibu kwa Maneno yangu Makali ili Mada zangu ziwe zinaharibika Kimaudhui na ziwe Chafu ( kwa kujaa Majibizano yetu ya Lugha Kali ) na haraka sana GENTAMYCINE nipigwe BAN jambo ambalo ndilo wanalitaka liwe linanyika ( linafanywa ) dhidi yangu Kutwa hapa Jamiiforums.


Hata katika hii Post ambayo Mimi nimechangia tu kwa Mtazamo wangu kama walivyofanya Wengine ila amekuja tena Kunichokoza na Kunidhihaki ili nihamaki na tujibizane kwa Maneno Makali ili Lengo lake litimie na ninyi Moderators mkasirishwe nami kisha haraka mnipe BAN za Mwezi au Miezi Mitatu Mitatu kama ambavyo mmekuwa mkinipa na Mkakati wao Maalum dhidi yangu Utimie.


MImi ni Mvumilivu sana na mno halafu sina Unafiki wala Uoga na mpaka leo ( Usiku ) huu mnaona nimeandika hiki ( hivi ) jua nimechoka. Na asidhani kuwa kwa Kunichokoza na Kunidhihaki Kwake hivi anaweza Kushindana nami kwa Vita ya Maneno Makali ila nimeamua tu kuwa Mstaarabu kwa Kutomjibu vile anavyotaka na Kukusudia kwa Kuwaheshimu Members na kwa Heshima ya huu Mtandao ambao wengine umetusaidia Kutupa Maarifa na Kutukomaza zaidi Kifikra japo kwa Wengine umewasaidia Kuwaonyesha jinsi walivyo Majuha na Wendawazimu kwa Kuwekeza zaidi muda wao kwa Kunishambulia, Kunichokoza na Kunidhihaki GENTAMYCINE utadhani kuna chao chochote nilichokula au nina Deni nao.


Na namalizia kwa kusema huyu huyu Mtu hana tu hii ID Moja tu bali nina ID's zake zaidi ya Nne ( 4 ) ninazozijua ambazo kutokana na Upumbavu wake huwa ananishambulia, ananichokoza na kunidhihaki kwa Lugha hii hii Moja inayofanana. Na kuna Siku alinichoko:a Kimakusudi na nilipomjibu Vikali akaniambia ( narudia akaniambia ) atanipiga BAN na kweli ndani ya muda mchache tu nikapigwa hiyo BAN.


Mwisho naomba hii Post yangu ya Malalamiko kumhusu huyu Member isifutwe kwani kumekuwa na tabia ya pale tu GENTAMYCINE nikilalamikia Jambo hapa na nikimtagi ( Tag ) JamiiForums Founder Maxence Melo na huyu Cookie upesi sana hiyo post yangu inafutwa na sijui huwa ni kwanini inafutwa.


Posts za huyu Member LIKUD na Wengine wanaonichokoza, Wanaonidhihaki na Wanaonishambulia Kutwa hapa huwa zinaachwa na hazifutwi, ila nikiwa najibu Mapigo kwa Maneno yangu Makali au nawataja hawa akina Maxence Melo na Cookie haraka unaona post yangu inafutwa.


Na kila mara nasisitiza hapa JamiiForums kuwa kama unaona HUNIPENDI au HUNIKUBALI kwa namna yoyote ile GENTAMYCINE na Kwako Mimi sina THAMANI yoyote ya Kiuwasilishaji basi cha kufanya ni rahisi sana cha Wewe kuamua tu KUNIBLOKU ( IGNORE ) ila cha Kushangaa ni kwamba 99% ya Wanaojinasibu Kutwa hapa Jamiiforums kuwa WANANICHUKIA na HAWANIPENDI ndiyo hao hao Wanaoongoza kwa KUNIFUATILIA, KUNISOMA na hata baadhi yao ni 'FOLLOWERS' wangu Jambo ambalo huwa sielewi ni kwanini. Hivi Logically Yule unayemchukia unaweza ukapoteza muda wako 24/7 Kumfuatilia? Hili kama siyo tatizo Kubwa la Akili linalowakabili litakuwa ni nini tena? Wao wameshaona Mimi nikihangaika nao au hata kupoteza muda wangu Kuwasoma na hata tu Kuwafuatilia?


Kama mnamtuma semeni tu nijue.


Inakera.


Cc:. Moderator, Active, JamiiForums, Paw, Cookie and JamiiForums Founder Maxence Melo

Kama Kawaida yenu na nilikitegemea Jana Usiku baada ya Kuandika post hii hii haraka sana mkawahi Kuifuta na Kufuta comment yake LIKUD na najua hata hii nayo mtaifuta muda si mrefu ili Kumlinda na Kuonyesha Kufurahia Kwenu anavyonichokoza, anavyonidhihaki na anavyonishambulia Kutwa hapa Jamiiforums. Na kamwe sitochoka Kuwalaumu na Kuwalalamikieni juu ya hili na huyu Member.

Usituchoshe bana huu uzi wa matokeo ya uchaguzi Kenya

Peleka gazeti lako huko jukwaa la malalamiko
 
Kwenu Uongozi wa JamiiForums huyu Mtu hajaanza leo kuwa na tabia ya Kunichokoza na kupenda kwa Makusudi Kuharibu Mtiririko wa ama Threads zangu au Posts zangu hapa JamiiForums.


Yeye anachojua ni Kunidhihaki na kwa Makusudi kabisa Kunichokoza ili nihamaki na nijibizane nae kwa Lugha ya Ukali ili Moderators wenu wakiona wanipe BAN kitu ambacho Yeye na Watu wa Kundi lake wenye Chuki zisizo na Kichwa wala Miguu na Mimi ndicho wanakitaka Kutwa.


Na kinachonishangaza hasa ni Kitendo cha Members hapa Kumchekea na Kufurahia Uchokozi wake na Dhihaka zake za kila mara dhidi yangu kwa Kumnyamazia ila GENTAMYCINE nikiamua tu Kupambana nae kwa Lugha niijuayo Mimi ambayo inaumiza zaidi ndipo utawaona Wao ( Members ) wengi Wanafiki wakiongozwa na Tate Mkuu wanajitokeza Kunilaumu na Kuhoji kwanini namjibu Kiukali ila ninapokuwa Nachokozwa na Nadhihakiwa nae huwa hawasemi Kitu na wala hawamsemi.


Kilichonishangaza zaidi na ambacho kila Siku nasema hapa kuwa huyu LIKUD ni Mmoja wa Moderators na pia anasapotiwa na baadhi yao ni kwamba Juzi tu tumetoka Kujibizana nae kwa Maneno Makali na siyo ya Kupendeza na nina uhakika Moderators waliona hilo Tukio na walijua kabisa kuwa Yeye ni Mchokozi na amekuwa na tabia ya kufanya hivyo Kwangu kila Siku hapa JamiiForums walichokifanya Moderators ni Kufuta zile Posts zetu za Majibizano yetu Makali na Kumuachia hadi Leo tena ameibuka na Utamaduni wake ule ule wa Kunichokoza.


Narudia tena na nina uhakika kuwa kuna Kikundi cha Watu ( Members ) hapa tena huenda wanasaidiwa ( Wanasapotiwa ) na Moderators ( baadhi ) kwa Roho zao Mbaya na Chuki Kwangu kutokana na Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Mada, Mvuto na Umaarufu wangu umekuwa ni Chukizo Kuu Kwangu GENTAMYCINE hivyo waneanzisha Mkakati Maalum wa Kunichokoza na Kunidhihaki kwa Makusudi ili Nihamaki ( kwa kujua nina Hasira za Karibu ) na Kuwajibu kwa Maneno yangu Makali ili Mada zangu ziwe zinaharibika Kimaudhui na ziwe Chafu ( kwa kujaa Majibizano yetu ya Lugha Kali ) na haraka sana GENTAMYCINE nipigwe BAN jambo ambalo ndilo wanalitaka liwe linanyika ( linafanywa ) dhidi yangu Kutwa hapa Jamiiforums.


Hata katika hii Post ambayo Mimi nimechangia tu kwa Mtazamo wangu kama walivyofanya Wengine ila amekuja tena Kunichokoza na Kunidhihaki ili nihamaki na tujibizane kwa Maneno Makali ili Lengo lake litimie na ninyi Moderators mkasirishwe nami kisha haraka mnipe BAN za Mwezi au Miezi Mitatu Mitatu kama ambavyo mmekuwa mkinipa na Mkakati wao Maalum dhidi yangu Utimie.


MImi ni Mvumilivu sana na mno halafu sina Unafiki wala Uoga na mpaka leo ( Usiku ) huu mnaona nimeandika hiki ( hivi ) jua nimechoka. Na asidhani kuwa kwa Kunichokoza na Kunidhihaki Kwake hivi anaweza Kushindana nami kwa Vita ya Maneno Makali ila nimeamua tu kuwa Mstaarabu kwa Kutomjibu vile anavyotaka na Kukusudia kwa Kuwaheshimu Members na kwa Heshima ya huu Mtandao ambao wengine umetusaidia Kutupa Maarifa na Kutukomaza zaidi Kifikra japo kwa Wengine umewasaidia Kuwaonyesha jinsi walivyo Majuha na Wendawazimu kwa Kuwekeza zaidi muda wao kwa Kunishambulia, Kunichokoza na Kunidhihaki GENTAMYCINE utadhani kuna chao chochote nilichokula au nina Deni nao.


Na namalizia kwa kusema huyu huyu Mtu hana tu hii ID Moja tu bali nina ID's zake zaidi ya Nne ( 4 ) ninazozijua ambazo kutokana na Upumbavu wake huwa ananishambulia, ananichokoza na kunidhihaki kwa Lugha hii hii Moja inayofanana. Na kuna Siku alinichoko:a Kimakusudi na nilipomjibu Vikali akaniambia ( narudia akaniambia ) atanipiga BAN na kweli ndani ya muda mchache tu nikapigwa hiyo BAN.


Mwisho naomba hii Post yangu ya Malalamiko kumhusu huyu Member isifutwe kwani kumekuwa na tabia ya pale tu GENTAMYCINE nikilalamikia Jambo hapa na nikimtagi ( Tag ) JamiiForums Founder Maxence Melo na huyu Cookie upesi sana hiyo post yangu inafutwa na sijui huwa ni kwanini inafutwa.


Posts za huyu Member LIKUD na Wengine wanaonichokoza, Wanaonidhihaki na Wanaonishambulia Kutwa hapa huwa zinaachwa na hazifutwi, ila nikiwa najibu Mapigo kwa Maneno yangu Makali au nawataja hawa akina Maxence Melo na Cookie haraka unaona post yangu inafutwa.


Na kila mara nasisitiza hapa JamiiForums kuwa kama unaona HUNIPENDI au HUNIKUBALI kwa namna yoyote ile GENTAMYCINE na Kwako Mimi sina THAMANI yoyote ya Kiuwasilishaji basi cha kufanya ni rahisi sana cha Wewe kuamua tu KUNIBLOKU ( IGNORE ) ila cha Kushangaa ni kwamba 99% ya Wanaojinasibu Kutwa hapa Jamiiforums kuwa WANANICHUKIA na HAWANIPENDI ndiyo hao hao Wanaoongoza kwa KUNIFUATILIA, KUNISOMA na hata baadhi yao ni 'FOLLOWERS' wangu Jambo ambalo huwa sielewi ni kwanini. Hivi Logically Yule unayemchukia unaweza ukapoteza muda wako 24/7 Kumfuatilia? Hili kama siyo tatizo Kubwa la Akili linalowakabili litakuwa ni nini tena? Wao wameshaona Mimi nikihangaika nao au hata kupoteza muda wangu Kuwasoma na hata tu Kuwafuatilia?


Kama mnamtuma semeni tu nijue.


Inakera.


Cc:. Moderator, Active, JamiiForums, Paw, Cookie and JamiiForums Founder Maxence Melo

Kama Kawaida yenu na nilikitegemea Jana Usiku baada ya Kuandika post hii hii haraka sana mkawahi Kuifuta na Kufuta comment yake LIKUD na najua hata hii nayo mtaifuta muda si mrefu ili Kumlinda na Kuonyesha Kufurahia Kwenu anavyonichokoza, anavyonidhihaki na anavyonishambulia Kutwa hapa Jamiiforums. Na kamwe sitochoka Kuwalaumu na Kuwalalamikieni juu ya hili na huyu Member.
Kulingana na T&C za jf hakuna mahali amekosea, hakuna mahali amekutukana..

Wewe unaonekana una chuki binafsi na yeye, inaonekana picha uliyojijengea kwa huyu jamaa ni kwamba "Always Anakupinga", hivyo chochote atakachokujibu kwako wewe ni machukizo makuu.

Mambo mengine una-ignore tuu mkuu kisha maisha yanaendelea.
 
Matokeo realtime updates za uchaguzi kenya ingia website ya Citizen

Website nyingine ya matokeo realtime ni hii.

Trend na ramani ya majimbo ya uchaguzi inaonesha Raila anachukua nchi
Citizen

Screenshot_2022-08-11-08-08-17-037_com.android.chrome.jpg


Nation

Screenshot_2022-08-11-08-08-31-461_com.android.chrome.jpg
 
Kwenu Uongozi wa JamiiForums huyu Mtu hajaanza leo kuwa na tabia ya Kunichokoza na kupenda kwa Makusudi Kuharibu Mtiririko wa ama Threads zangu au Posts zangu hapa JamiiForums.


Yeye anachojua ni Kunidhihaki na kwa Makusudi kabisa Kunichokoza ili nihamaki na nijibizane nae kwa Lugha ya Ukali ili Moderators wenu wakiona wanipe BAN kitu ambacho Yeye na Watu wa Kundi lake wenye Chuki zisizo na Kichwa wala Miguu na Mimi ndicho wanakitaka Kutwa.


Na kinachonishangaza hasa ni Kitendo cha Members hapa Kumchekea na Kufurahia Uchokozi wake na Dhihaka zake za kila mara dhidi yangu kwa Kumnyamazia ila GENTAMYCINE nikiamua tu Kupambana nae kwa Lugha niijuayo Mimi ambayo inaumiza zaidi ndipo utawaona Wao ( Members ) wengi Wanafiki wakiongozwa na Tate Mkuu wanajitokeza Kunilaumu na Kuhoji kwanini namjibu Kiukali ila ninapokuwa Nachokozwa na Nadhihakiwa nae huwa hawasemi Kitu na wala hawamsemi.


Kilichonishangaza zaidi na ambacho kila Siku nasema hapa kuwa huyu LIKUD ni Mmoja wa Moderators na pia anasapotiwa na baadhi yao ni kwamba Juzi tu tumetoka Kujibizana nae kwa Maneno Makali na siyo ya Kupendeza na nina uhakika Moderators waliona hilo Tukio na walijua kabisa kuwa Yeye ni Mchokozi na amekuwa na tabia ya kufanya hivyo Kwangu kila Siku hapa JamiiForums walichokifanya Moderators ni Kufuta zile Posts zetu za Majibizano yetu Makali na Kumuachia hadi Leo tena ameibuka na Utamaduni wake ule ule wa Kunichokoza.


Narudia tena na nina uhakika kuwa kuna Kikundi cha Watu ( Members ) hapa tena huenda wanasaidiwa ( Wanasapotiwa ) na Moderators ( baadhi ) kwa Roho zao Mbaya na Chuki Kwangu kutokana na Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Mada, Mvuto na Umaarufu wangu umekuwa ni Chukizo Kuu Kwangu GENTAMYCINE hivyo waneanzisha Mkakati Maalum wa Kunichokoza na Kunidhihaki kwa Makusudi ili Nihamaki ( kwa kujua nina Hasira za Karibu ) na Kuwajibu kwa Maneno yangu Makali ili Mada zangu ziwe zinaharibika Kimaudhui na ziwe Chafu ( kwa kujaa Majibizano yetu ya Lugha Kali ) na haraka sana GENTAMYCINE nipigwe BAN jambo ambalo ndilo wanalitaka liwe linanyika ( linafanywa ) dhidi yangu Kutwa hapa Jamiiforums.


Hata katika hii Post ambayo Mimi nimechangia tu kwa Mtazamo wangu kama walivyofanya Wengine ila amekuja tena Kunichokoza na Kunidhihaki ili nihamaki na tujibizane kwa Maneno Makali ili Lengo lake litimie na ninyi Moderators mkasirishwe nami kisha haraka mnipe BAN za Mwezi au Miezi Mitatu Mitatu kama ambavyo mmekuwa mkinipa na Mkakati wao Maalum dhidi yangu Utimie.


MImi ni Mvumilivu sana na mno halafu sina Unafiki wala Uoga na mpaka leo ( Usiku ) huu mnaona nimeandika hiki ( hivi ) jua nimechoka. Na asidhani kuwa kwa Kunichokoza na Kunidhihaki Kwake hivi anaweza Kushindana nami kwa Vita ya Maneno Makali ila nimeamua tu kuwa Mstaarabu kwa Kutomjibu vile anavyotaka na Kukusudia kwa Kuwaheshimu Members na kwa Heshima ya huu Mtandao ambao wengine umetusaidia Kutupa Maarifa na Kutukomaza zaidi Kifikra japo kwa Wengine umewasaidia Kuwaonyesha jinsi walivyo Majuha na Wendawazimu kwa Kuwekeza zaidi muda wao kwa Kunishambulia, Kunichokoza na Kunidhihaki GENTAMYCINE utadhani kuna chao chochote nilichokula au nina Deni nao.


Na namalizia kwa kusema huyu huyu Mtu hana tu hii ID Moja tu bali nina ID's zake zaidi ya Nne ( 4 ) ninazozijua ambazo kutokana na Upumbavu wake huwa ananishambulia, ananichokoza na kunidhihaki kwa Lugha hii hii Moja inayofanana. Na kuna Siku alinichoko:a Kimakusudi na nilipomjibu Vikali akaniambia ( narudia akaniambia ) atanipiga BAN na kweli ndani ya muda mchache tu nikapigwa hiyo BAN.


Mwisho naomba hii Post yangu ya Malalamiko kumhusu huyu Member isifutwe kwani kumekuwa na tabia ya pale tu GENTAMYCINE nikilalamikia Jambo hapa na nikimtagi ( Tag ) JamiiForums Founder Maxence Melo na huyu Cookie upesi sana hiyo post yangu inafutwa na sijui huwa ni kwanini inafutwa.


Posts za huyu Member LIKUD na Wengine wanaonichokoza, Wanaonidhihaki na Wanaonishambulia Kutwa hapa huwa zinaachwa na hazifutwi, ila nikiwa najibu Mapigo kwa Maneno yangu Makali au nawataja hawa akina Maxence Melo na Cookie haraka unaona post yangu inafutwa.


Na kila mara nasisitiza hapa JamiiForums kuwa kama unaona HUNIPENDI au HUNIKUBALI kwa namna yoyote ile GENTAMYCINE na Kwako Mimi sina THAMANI yoyote ya Kiuwasilishaji basi cha kufanya ni rahisi sana cha Wewe kuamua tu KUNIBLOKU ( IGNORE ) ila cha Kushangaa ni kwamba 99% ya Wanaojinasibu Kutwa hapa Jamiiforums kuwa WANANICHUKIA na HAWANIPENDI ndiyo hao hao Wanaoongoza kwa KUNIFUATILIA, KUNISOMA na hata baadhi yao ni 'FOLLOWERS' wangu Jambo ambalo huwa sielewi ni kwanini. Hivi Logically Yule unayemchukia unaweza ukapoteza muda wako 24/7 Kumfuatilia? Hili kama siyo tatizo Kubwa la Akili linalowakabili litakuwa ni nini tena? Wao wameshaona Mimi nikihangaika nao au hata kupoteza muda wangu Kuwasoma na hata tu Kuwafuatilia?


Kama mnamtuma semeni tu nijue.


Inakera.


Cc:. Moderator, Active, JamiiForums, Paw, Cookie and JamiiForums Founder Maxence Melo

Kama Kawaida yenu na nilikitegemea Jana Usiku baada ya Kuandika post hii hii haraka sana mkawahi Kuifuta na Kufuta comment yake LIKUD na najua hata hii nayo mtaifuta muda si mrefu ili Kumlinda na Kuonyesha Kufurahia Kwenu anavyonichokoza, anavyonidhihaki na anavyonishambulia Kutwa hapa Jamiiforums. Na kamwe sitochoka Kuwalaumu na Kuwalalamikieni juu ya hili na huyu Member.
Ila kweli moderators , Huyu bwana amekua akichokozwa na amelalamika kila mda why hamchukui hatua, jf ipo kwa KILA member na ni haki ya KILA mmoja kutoa mawazo yake ilihali avunji SHERIA, na ni haki kupangua hoja kwa hoja bila kebehi au matusi,
Sasa Ndugu uyu anachokozwa na kulazimishwa kuanzisha vita na amekua akilalamika ,
Kama vipi waandaliwe pambano Mkapa wazitwange au basi wachokozi wake wapewe onyo
 
Usituchoshe bana huu uzi wa matokeo ya uchaguzi Kenya

Peleka gazeti lako huko jukwaa la malalamiko
Ukiwa Mpumbavu kama ulivyo hutojua ni kwanini nimeleta hapa hilo ( hili ) unaloliita Gazeti ila kwa Akili Kubwa niliyonayo najua ni kwanini nimeandika hapa na labda nikuahidi tu kuwa nitaendelea kuliandika hili Gazeti langu hapa JamiiForums na katika Thread yoyote ile pale ambapo huyu Mpumbavu Mwenzako atanifuatilia.
 
Kwenu Uongozi wa JamiiForums huyu Mtu hajaanza leo kuwa na tabia ya Kunichokoza na kupenda kwa Makusudi Kuharibu Mtiririko wa ama Threads zangu au Posts zangu hapa JamiiForums.


Yeye anachojua ni Kunidhihaki na kwa Makusudi kabisa Kunichokoza ili nihamaki na nijibizane nae kwa Lugha ya Ukali ili Moderators wenu wakiona wanipe BAN kitu ambacho Yeye na Watu wa Kundi lake wenye Chuki zisizo na Kichwa wala Miguu na Mimi ndicho wanakitaka Kutwa.


Na kinachonishangaza hasa ni Kitendo cha Members hapa Kumchekea na Kufurahia Uchokozi wake na Dhihaka zake za kila mara dhidi yangu kwa Kumnyamazia ila GENTAMYCINE nikiamua tu Kupambana nae kwa Lugha niijuayo Mimi ambayo inaumiza zaidi ndipo utawaona Wao ( Members ) wengi Wanafiki wakiongozwa na Tate Mkuu wanajitokeza Kunilaumu na Kuhoji kwanini namjibu Kiukali ila ninapokuwa Nachokozwa na Nadhihakiwa nae huwa hawasemi Kitu na wala hawamsemi.


Kilichonishangaza zaidi na ambacho kila Siku nasema hapa kuwa huyu LIKUD ni Mmoja wa Moderators na pia anasapotiwa na baadhi yao ni kwamba Juzi tu tumetoka Kujibizana nae kwa Maneno Makali na siyo ya Kupendeza na nina uhakika Moderators waliona hilo Tukio na walijua kabisa kuwa Yeye ni Mchokozi na amekuwa na tabia ya kufanya hivyo Kwangu kila Siku hapa JamiiForums walichokifanya Moderators ni Kufuta zile Posts zetu za Majibizano yetu Makali na Kumuachia hadi Leo tena ameibuka na Utamaduni wake ule ule wa Kunichokoza.


Narudia tena na nina uhakika kuwa kuna Kikundi cha Watu ( Members ) hapa tena huenda wanasaidiwa ( Wanasapotiwa ) na Moderators ( baadhi ) kwa Roho zao Mbaya na Chuki Kwangu kutokana na Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Mada, Mvuto na Umaarufu wangu umekuwa ni Chukizo Kuu Kwangu GENTAMYCINE hivyo waneanzisha Mkakati Maalum wa Kunichokoza na Kunidhihaki kwa Makusudi ili Nihamaki ( kwa kujua nina Hasira za Karibu ) na Kuwajibu kwa Maneno yangu Makali ili Mada zangu ziwe zinaharibika Kimaudhui na ziwe Chafu ( kwa kujaa Majibizano yetu ya Lugha Kali ) na haraka sana GENTAMYCINE nipigwe BAN jambo ambalo ndilo wanalitaka liwe linanyika ( linafanywa ) dhidi yangu Kutwa hapa Jamiiforums.


Hata katika hii Post ambayo Mimi nimechangia tu kwa Mtazamo wangu kama walivyofanya Wengine ila amekuja tena Kunichokoza na Kunidhihaki ili nihamaki na tujibizane kwa Maneno Makali ili Lengo lake litimie na ninyi Moderators mkasirishwe nami kisha haraka mnipe BAN za Mwezi au Miezi Mitatu Mitatu kama ambavyo mmekuwa mkinipa na Mkakati wao Maalum dhidi yangu Utimie.


MImi ni Mvumilivu sana na mno halafu sina Unafiki wala Uoga na mpaka leo ( Usiku ) huu mnaona nimeandika hiki ( hivi ) jua nimechoka. Na asidhani kuwa kwa Kunichokoza na Kunidhihaki Kwake hivi anaweza Kushindana nami kwa Vita ya Maneno Makali ila nimeamua tu kuwa Mstaarabu kwa Kutomjibu vile anavyotaka na Kukusudia kwa Kuwaheshimu Members na kwa Heshima ya huu Mtandao ambao wengine umetusaidia Kutupa Maarifa na Kutukomaza zaidi Kifikra japo kwa Wengine umewasaidia Kuwaonyesha jinsi walivyo Majuha na Wendawazimu kwa Kuwekeza zaidi muda wao kwa Kunishambulia, Kunichokoza na Kunidhihaki GENTAMYCINE utadhani kuna chao chochote nilichokula au nina Deni nao.


Na namalizia kwa kusema huyu huyu Mtu hana tu hii ID Moja tu bali nina ID's zake zaidi ya Nne ( 4 ) ninazozijua ambazo kutokana na Upumbavu wake huwa ananishambulia, ananichokoza na kunidhihaki kwa Lugha hii hii Moja inayofanana. Na kuna Siku alinichoko:a Kimakusudi na nilipomjibu Vikali akaniambia ( narudia akaniambia ) atanipiga BAN na kweli ndani ya muda mchache tu nikapigwa hiyo BAN.


Mwisho naomba hii Post yangu ya Malalamiko kumhusu huyu Member isifutwe kwani kumekuwa na tabia ya pale tu GENTAMYCINE nikilalamikia Jambo hapa na nikimtagi ( Tag ) JamiiForums Founder Maxence Melo na huyu Cookie upesi sana hiyo post yangu inafutwa na sijui huwa ni kwanini inafutwa.


Posts za huyu Member LIKUD na Wengine wanaonichokoza, Wanaonidhihaki na Wanaonishambulia Kutwa hapa huwa zinaachwa na hazifutwi, ila nikiwa najibu Mapigo kwa Maneno yangu Makali au nawataja hawa akina Maxence Melo na Cookie haraka unaona post yangu inafutwa.


Na kila mara nasisitiza hapa JamiiForums kuwa kama unaona HUNIPENDI au HUNIKUBALI kwa namna yoyote ile GENTAMYCINE na Kwako Mimi sina THAMANI yoyote ya Kiuwasilishaji basi cha kufanya ni rahisi sana cha Wewe kuamua tu KUNIBLOKU ( IGNORE ) ila cha Kushangaa ni kwamba 99% ya Wanaojinasibu Kutwa hapa Jamiiforums kuwa WANANICHUKIA na HAWANIPENDI ndiyo hao hao Wanaoongoza kwa KUNIFUATILIA, KUNISOMA na hata baadhi yao ni 'FOLLOWERS' wangu Jambo ambalo huwa sielewi ni kwanini. Hivi Logically Yule unayemchukia unaweza ukapoteza muda wako 24/7 Kumfuatilia? Hili kama siyo tatizo Kubwa la Akili linalowakabili litakuwa ni nini tena? Wao wameshaona Mimi nikihangaika nao au hata kupoteza muda wangu Kuwasoma na hata tu Kuwafuatilia?


Kama mnamtuma semeni tu nijue.


Inakera.


Cc:. Moderator, Active, JamiiForums, Paw, Cookie and JamiiForums Founder Maxence Melo

Kama Kawaida yenu na nilikitegemea Jana Usiku baada ya Kuandika post hii hii haraka sana mkawahi Kuifuta na Kufuta comment yake LIKUD na najua hata hii nayo mtaifuta muda si mrefu ili Kumlinda na Kuonyesha Kufurahia Kwenu anavyonichokoza, anavyonidhihaki na anavyonishambulia Kutwa hapa Jamiiforums. Na kamwe sitochoka Kuwalaumu na Kuwalalamikieni juu ya hili na huyu Member.
Punguza kujieleza, afu mbona jamaa katumia neno la kawaida?? Level of panicking kwako iko juu mno, unaishi as ifu watu wanakujua unapoishi, unachovaa, nk. Hii mitandao tu, isikutoe kwenye reli, ukaanza kujiona unaonewa as if kuna mtu anakujua hata uone unavunjiwa heshima hapa.

Yaan uchukie jamaa kusema PUMBA?? kumbuka kila mmoja na mtazamo wake, mwingine anaona umeshusha NONDO na mwingine anaona umeshusha UPUPU.

Jifunze kukubali mawazo ya watu na maono tofauti kwa watu wengine, sio wote wataelewa ulichoandika, na si kila kitu unacholea jamaa anakidiss, that's not true at all... Jifunze kupokea negative comments, wewe sio Saint kwamba hukosei, hukosolewi nk.

Ishi maisha yako, diss zipo, hata kwenye maisha halisi, je huko unamshtakia nani????

Acha ujinga.
 
Mpaka muda huu (sasa hivi) naandika huu uzi ni kwamba Hustler Ruto anaongoza kwa mbali dhidi ya Mr. Kitendawili Odinga.

Kwakuwa Ushindi wa Ruto utakuwa ni Chukizo na Hatari kwa Ustawi wa Rais anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta piga ua 'System' ya Kenya itaiba Kura za Ruto na kumpa Odinga Ili awe Rais ilimradi tu Uhuru Kenyatta awe Salama.

Hivyo basi kwakuwa najua Ruto na Wafuasi wake si Watu wa Mchezo Mchezo na wana uhakika wa Ushindi endapo ataporwa Matokeo tutarajie Machafuko makubwa pengine hata kuliko yale ya Chaguzi zilizopita kwani 60% ya Wafuasi wa Ruto ni Vijana wa Kenya wenye Hasira ya Maisha Magumu, Kukosa Kazi na wako tayari kwa lolote.

Hii inaitwa Usiyempenda amekuja.
Uchambuzi wako hauna facts, ni dhana na maoni yako ambayo hayana hata backup ya takwimu .

Ukiangalia kwenye ramani ya Kenya Sehemu kubwa ya majimbo ya uchaguzi ipo mikononi mwa Odinga. Hata jiji la Nairobi liko mikononi mwa odinga. Ukifanya population ya majimbo anayaochukua Ruto na population ya majimbo anayochukua Odinga, utakuja na makisio yaliyo karibu zaidi na uhalisia wa kuwa nani atachukua nchi. Ramani ya matokeo ya uchaguzi inaonesha kuwa nchi ya Kenya imegawanyika, upo ukanda wa Ruto na ukanda wa Odinga.

Dhana ya deep state kuiba kura, sio ya kuipa nafasi sana, kiwango cha uwazi kwenye uchaguzi wa Kenya ni kikubwa kuliko hata mataifa mengi yaliyoendelea
 
Punguza kujieleza, afu mbona jamaa katumia neno la kawaida?? Level of panicking kwako iko juu mno, unaishi as ifu watu wanakujua unapoishi, unachovaa, nk. Hii mitandao tu, isikutoe kwenye reli, ukaanza kujiona unaonewa as if kuna mtu anakujua hata uone unavunjiwa heshima hapa.

Yaan uchukie jamaa kusema PUMBA?? kumbuka kila mmoja na mtazao wake, mwingine anaona umeshusha NONDO na mwingine anaona umeshusha UPUPU.

Jifunze kukubali mawazo ya watu na maono tofauti kwa watu wengine, sio wote wataelewa ulichoandika, na si kila kitu unacholea jamaa anakidiss, that's not true at all... Jifunze kupokea negative comments, wewe sio Saint kwamba hukosei, hukosolewi nk.

Ishi maisha yako, diss zipo, hata kwenye maisha halisi, je huko unamshtakia nani????

Acha ujinga.
Katika zile ID zake Nne ( 4 ) nilizozisema hii nayo ni moja wapo na ningeshangaa kama usingewashwawashwa nami.
 
Back
Top Bottom