Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,250
Tulisema bado muda
Ok ndio nimeona sasa hivi, kuwa form za matokeo zipo mtandaoni so ni kudownload na kuhesabu ila matokeo ya mwsho ni IEBC ndio itatangaza tokea Bomas.Hao wapo nyuma, kura zishafka 90%
NoTofauti kura elfu 3
Based on citizen tv
Ngoja sisi tufuatilie reliable source Mkuu.Raila anakuja kwa kasi ya ajabuEndelea kusubiria citizen
Ila zoezi la kuhesabu kura lipo 90% na matokeo yanatolewa vizuri tu
Haya majimbo ya mwisho yatakiwa ya raila!!Based on citizen tv
Sijui walimuona Uhuru mjinga? Watu wanaongea tu hapa wakati kwa ground mambo ni tofauti kabisaHakuna namna Ruto atashinda ikiwa hali iko hivi , mnadhani Kenyatta ataishi vipi ikiwa Ruto atakua madarakani
Baba anakuja kwa kasi ya ajabuMzee ya kitendawili anaupiga mwingi..
Baba mbele kwa mbele sasawowww,,,!Raila anaongoza,wapi my hustler Ruto!
Umekasirika mpaka unaongea kizungu tupuThere are nothing like comebacks here what I'm seeing is people are giving themselves false hope about odinga.The old man can never be the next president actually Ruto will be no matter what.
WoyoooooNow ni kura kama 2000 tu
Mpaka sasa OD 49.34%Kuna majamaa Twitter waalishaanza kusherekea masaa mawili yaliyopita kwamba Odinga ameshinda na wameona matokeo
Raila anaongoza kwa kura elfu 7Baba anakuja kwa kasi ya ajabu