strategist22
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 656
- 594
Comeback moto
Ooh!!Now zimebaki kura elfu 19 amfikie Ruto
Fujo zilizuka siku ya Jumatatu Agosti 8 katika ukumbi wa CDF,Eldas inayotumika na IEBC,kama kituo cha kuhesabia kura
Kulingana na chawa Kikwajuni One vurumai zimetokea kituo cha kuhesabia kura Jumatatu Agosti 8.Kazi itakuwa imeanza ya kubadili matokeo
Bado,Odinga anakuja kuwalaza watu na viatu hapaHivi Mombasa tayari
Mie nimesema kwamba kazi imeanza. Je, unajua hiyo kazi imeanza lini? Umeona popote nimeweka tarehe? Unajua kusoma hata? Chekechea inakuhusu mkuu.Kulingana na chawa Kikwajuni One vurumai zimetokea kituo cha kuhesabia kura Jumatatu Agosti 8.
Kulingana na chawa Jasmoni Tegga kazi ya kubadili matokeo itakuwa imeanza siku hiyo.
Hivi Watanzania tuna tatizo gani? Kura zimepigwa Jumanne Agosti 9... Unahusisha vipi haya matukio mawili? Nadhani kuna nati zimelegea kichwani.
Sasa gape ni 16k, naona kuna kila dalili ya comeback.Now ni 27k
Na bado inaporomoka kwa kasi ya ajabu,ndani saa nzima ijayo kuna watu watalog out hapaImebaki elfu 16
Wafuasi wa Ruto hapa wamepigwa na bumbuwaziSasa gape ni 16k, naona kuna kila dalili ya comeback.