YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

Raisi Kikwete leo kavunja ukimya baada ya kusema CCM mwaka huu haikutaka raisi mwenye mikindomikindo, kwa kauli hii ni wazi kabisa Lowasa ana madhambi na makindo mengi ambayo tulio nje hatuyajui. Taadhari EL sio wa kuaminiwa tena hafai hata kuongoza mtaa wa nyumba kumi.
 
Hahahahaaa 50yrs later bado mna ahidi? Mna ahidi bila kutoa strategies! Kwanini Bilal Gharib na Pinda Mizengo hawakuepo?
 
Waliomsikiliza dr. Magufuli vizuri, kweli katamka zaidi ya mara moja ?"CCM oyee"?
...nilichoona anakubali watu wanataka mabadiliko na alikuwa mara zote akisema 'Tanzania oyeee", na hakutukana tofauti na wapiga debe wake. Kwa hiyo baada ya 25 Oct atajitetea kuwa 'niliponzwa na wapambe'
 
Wapumbavu aliowasema mkapa ni hawa wakina Lizaboni maana hata mkapa anashangaa jinsi yanavyokomaa kukitetea chama ambacho dhahiri kimeshindwa kumkomboa, hivi hapo ulipo kuna umeme muda huu? Kama upo je jana ulikuwepo? Na je una uhakika utakuwepo kesho? Je hospitalini kuna dawa leo?+? Kweli WAPUMBAVU
 
Last edited by a moderator:
CCM hamna kitu kabisa..

Mkapa anaweza sema UKAWA ni pumbavuuuu, na lofaaaaaaaaaaa...!??


Ndio maana Arumeru, Arusha, alikimbaa kampeni ya Nassari, baada ya kumtukana VICENT NYERERE.... alikimbia kwa mama Maria Nyerere kuomba msamaha, baada ya VICENT NYERERE kumfundisha Adabu...!!!

Sikutegemea haya... eeh..!! Huyu ndio mshauri mkuu wa CCM...!!

Aiseeeee...!!!

Kwa akili kama zako ni sawa kabisa kuitwa pumbavuu...namimi nakuita pumbavu
 
o w
kwa hiyo ww unaamin ukawa ni wakomboz? wa nini kwanza? hao ni walaghai tu na wana haki ya kuitwa km mkapa aivyowaita
...ukombozi anaozungumzia Mkapa ni tofauti na ukombozi wanaozungumzia UKAWA....kama watanzania wangukua wamekombolewa kweli...hata leo Mkapa angekua segerea ananyea debe....ndio maana anawatusi wapinzani....maana anajua wakishika dola yeye hatokua salama kama sasa....kwasababu ya matendo yake akiwa rais....Kwasababu utawala wa ccm ni wa kulindana ndio maana wanajitahidi kuwafumba macho watu kama wewe....na ndio sababu UKAWA wanasema taifa hili linahitaji ukombozi...kwa watu kama wewe.....
 
hehh jamani sumaye si alokuwa pm wake for ten years ? sasa alikuwa anaongoza mawaziri wapumbavu?
 
:mod:Natafuta alichikisema Mkapa ,naamini na wengine wapo ambao hawakubahatika kumsikia ,na katika media hamna kitu ,wameshafuta ,sasa kama yupo aliekihifazi alichosema Nkapa ,naomba sana atuwekee hapa !

Nilikuwa nimepata sehemu ile Magufuli anapowaomba waTz wasiiadhibu CCM ,stori ya fundi seremala ,sehemu ambayo ilibeep kwa kina kabisa kuwa CCM anguko limewaelemea ,kiasi ya mgombea kujisifu kwa mikataba iliyokwisha tiwa sahihi ,ajabu na watu wanashangilia ,inakuwaje mgombea unajinasibu na mambo yaliyokwisha ,nilizani atasema CCM iliyopita imetufikisha pabaya sana na yeye atarekebisha kumbe hana jipya.
 
Jaji Warioba amekwambia amefurahi uteuzi wa Magufuli kwa sababu ni MWADILIFU, MZALENDO NA MCHAPAKAZI KWELIKWELI.

Kinyume chake ni habari inayojulikana kuwa Lowassa ni mwizi na fisadi, sasa unategema Warioba akubali kumuunga mkono mwizi na fisadi na amuache mwadilifu,mzalendo na mchapakazi?Warioba ni mtu aliyekuwa karibu sana na Nyerere,anajua zaidi uyajuavyo
 
Asubuhi polepole Nguruwe wamevuka ukuta kuingia kwa jiran (Lowasa na Sumaye)

Jion mkapa watanzania wapimbavu na malofa.

Kwa mtazamo huu makada wa ccm wamechanganyikiwa na nidhahili badala ya kutengeza wanaharibu zaidi.
 
kwa hiyo ww unaamin ukawa ni wakomboz? wanakomboa nini sasa? mkapa si mnafiki jiwe anaita jiwe. km ww ni ni shoga unataka akuiteje

Wewe utakuwa umezaliwa kupitia sehemu
ya kutolea makapi ya chakula. Unapomwona Mkapa ni jiwe leo hii inaonyesha wazi kwamba utakuwa na down syndrome kutokana na kubanwa na makalio wakati wa kuzaliwa. Tafuta kumbu kumbu zake wakati analia lia kwamba anawekewa mizengwe ndani ya CCM . Utabaki kuwa popo tu ww.
 
Nakujulisha utaujua upumbavu wetu baadae.Umechokoza ww.

Ni kweli wapumbavuuuu.
Ukitaka kujua maana ya mpumbavu muuulize Sugu aliwahi kutamka hadharani na mahakamani akashinda kesi , vipi leo muumie na kaneno kadogo kama hako.
Maaana hakuna namna Sugu alisema "stupidity is a lack of knowledge and understanding"
 
Dar, Ni Mji Wenye Watu Wengi Sana, Kwa Idadi Ya Watu Iliyokuwepo Jangwani, Haifki Hata Nusu Ya Watu Walioko Dar.. It's Means That Wote Ambao Hawakuwepo Ni WAFUASI WA UKAWA, Achilia Mbali Waliokwenda Kusikiliza Sera, Huku Kura Zao Zote Ziko Ukawa,.
Tusubiri October, Ndo Utajua Mbivu Na Mbichi.
 
Back
Top Bottom