Hii habari ya jana imechuja. Watu walifuata kuwaona wasanii. CCM Bila ya wasanii ni bure kabisa
Hapa mimi na familia yangu ya watoto 12Magufuri tu!!!!MSUKUMA AMCHANA LOWASA:
Mwenyekiti wa CCM Mkoani geita Bw.Joseph Msukuma amemvaa mgombea urais kupitia umoja wa UKAWA, Mhe.Lowasa na wengine waliohamia chadema kwa kusema kuwa anawashukuru kwa kuwa chama kimetua mzigo, hayo aliyasema tarehe 20/09/2015 katika mkutano wa mgombea wa urais kupitia CCM Mhe.JOHN MAGUFULI uliofanyika Mkoani Geita!
Msukuma amesema kuwa wale wote waliondoka CCM walikuwa na mizigo kwa kuwa walikuwa na uchu wa madaraka!Akimuelezea Lowasa,amesema kuwa alikuwa ni rafiki yake mkubwa na siri nyingi juu ya mgombea huyo anazijua.Ameeleza kuwa mgombea wa urais wa CCM anatosha na ndio maana chama kilimbariki na wale wote waliojitoa akil zao hazikuwa timamu!
Aidha alisisitiza kuwa kwa kanda ya ziwa hakuna alie na siri za lowasa kama yeye na kuomba kama kuna anaebisha basi uandaliwe mdahalo maalum ambapo yeye atagharamia kila kitu ili kueleza ukweli.
Je, Lowasa yupo tayari?
Si mtanumia Mods kunifungia kwasababu mnaogopa Ukweli. Pathetic.Mr Chin Mbona ulikuwa kimya? au unadai malimbikizo yako.
Mr Chin is always omnipresent in Tanzania.Ofisini kwa Mr Chin ni wapi, masaki!
You can't even spell her name correctly.Hakuna kitu chochote uyo ajifunze kwa mwenzake regina mama mpiganaji yule
Safi sana Kiongozi.mwanamke safi, hana maigizo , mwanamke wa shoka, mmungu aendelee kukutangulia, uweze kufika mbali na jembe letu magufuli #hapakazitu
Lugha za watu huziwezi. Tumia tu Kiswahili, utaelewaka. Si unajua wafuasi wenu ni Malofa.Nyie ndo mnatakiwa mfanyiwe medical consaltation mnaweza kuwa na shida kwa bongo zenu