Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,603
- 65,573
Mama Janeth, atampigia Lowassa kura... i swear..!!!
Atakuja sema one day...!!
Hahahahaaaaa
Mama Janeth, atampigia Lowassa kura... i swear..!!!
Atakuja sema one day...!!
Lowasa alipokuwa ccm alitukanwa sana na kumwita mchafu, fisadi papa. leo akiwa upinzani amekua msafi, lulu na mtakatifu. hii nayo unaisemeaje? siasa uchwara
Huyu huyu ndo alilazimisha kutua chopa katikati ya watu kule arusha .. shule muhimu sana jamani ... Poleni albino maana matajiri wasiokuwa na elimu ni shidaaa ....
Ccm kambi zimevunjwa.kambi sasa ni moja tu -MAGUFULIMsukuma ndiye mpenda madaraka, alikuwa kambi ya lowasa, sasa anajikomba kwa magufuli ili kama itatokea muujiza, akashinda urais, mkumbuke ka cheo.
Usimchokozi huyu jamaa.utajuta!Kwa Msukuma ndio unaweza kujua umuhimu na tofauti ya elimu na hasara ya ujinga.
Ujinga + ... albino = Chopa
mwenyekiti wa ccm geita awataka wasukuma na wana kanda ya ziwa kumchaguwa magufuli kwani ni msukuma mwenzao wa kanda ya ziwa , je hii siyo ukanda na ukabila ??
Kweli haijawahi kutokea ni zaidi ya FIESTA hapo lzm uende kiingilio bure