Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Wananchi wagoma kuondoka hotel aliyofikia Mgombea wa Urais UKAWA Mh Edward Lowassa na wameahidi kukesha wakimlinda Rais wao mpaka kesho atakapokuwa tayari kuondoka
Maelfu ya wananchi ni idadi gani hiyo? Kwa hapo Gold Crest alipolala Lowassa hao "maelfu" walikaa wapi?
Nyie mnadanganyana tu kwenye mitandao. Subirini October mtakavyoshangazwa.