chadema kwenda kumtangazia fisadi lowassa ndani ya mkoa wa mwanza kama mgombea wao hii inaonesha chadema wanajua fika kuwa wananchi wote wa mwanza hawana akili?? Ni dharau kubwa sana kwa wana mwanza,waende kumtangazia kilimanjaro au arusha huko kwao
mkuu mpaka sasahivi hawana namna tumeishawajua, inawezekana wakashutuka wasimtagaze lakini yeye mdo mfadhiri wao wa ukweli akisaidia na mengi,
sio mwanza tu kote wameishajua kuwa ni wanafiki,inawezekana wakamkana maana hawa jamaa kwa unafiki ni numba 1, lakini habali za uhakika kabisa ama urais au uwaziri mkuu endapo wakipata,