Update zote hapa
maduka yote yamefungwa kila kona.Haijapata kutokea
Vibaka wengi sana hadi maduka yamefungwa?
Update zote hapa
maduka yote yamefungwa kila kona.Haijapata kutokea
Na kweli mkuu. WE LOVES HIM a lot...And I mean a lot!We loves him and he is my president
Kumbe Mifugo aliyoahidi kuifuga akikosa Urais ndio hii?
Kwa yaliyotokea huzuni lazima hata mie nina huzuni sana.Hasa nikikumbuka jinsi tume ilivyochakachua basi roho inaniuma sana.Hongera sana danny kufurahia ushindi wa goli la mkono ipo siku haki itatendeka na SAFARI INAENDELEA!!!
Lowasa atahutubia dakika ngapi leo???
Tume ndiyo inayopiga kura au? Ushindi ni ushindi tuuu. NA LEO MAGUFULI KAFANYA ZIARA YA GHAFLA UWANJA WA TAIFA ALGERIA WAMEPAGAWA NA WASHAPIGWA MBILI