Wadau..natokea frisha bar tabata.nimefika hapa tabata magengeni vijana wa chadema wamefunga barabara kwa shwangwe.wakifurahia ushindi.nimefunga vioo vyote kwa hofu.hali ni mbaya sana.
Watu kushangilia ushindi ndiyo hali kuwa mbaya? Miccm bana!
Wadau..natokea frisha bar tabata.nimefika hapa tabata magengeni vijana wa chadema wamefunga barabara kwa shwangwe.wakifurahia ushindi.nimefunga vioo vyote kwa hofu.hali ni mbaya sana.
Hela zote za kusunguka nchi nzima zingetumika kuboresha sekta ya mifugo. Hiyo ngombe amekonda Sana kutokana lishe hafifu!WATANZANIA WANA ROHO MBAYA. MZEE KIPARA KWA USANII HUU ALIZANI ANGEFIKILIWA JAPO KTK SERIKALI YA MTAA WATANZANIA WAMESEMA TUPA KULE HII MBWA KATILI KWA TEMBO WETU. Duh
Siyo Mogo tu, mitaa yote 6 ya kata ya Kipawa ukiwemo Mogo naambiwa imechukuliwa na CCM
80% vs 20% kama ni wanaume basi mtakuwa ni impotent.
80% vs 20% kama ni wanaume basi mtakuwa ni impotent.
Kutoka urambo mjini matokeo
ya marudio
mtaa wa stesheni
cuf.....307
ccm....107
mtaa wa block q
cuf ....256
ccm.....223
mtaa wa boma village
chadema ....405
ccm.............97
mtaa wa urambo kati
ccm ....287
cuf......275
mtaa wa majengo ya tabora
cuf...... 407
ccm...... 57
vingunguti mitaa yote CUF kasoro mmoja tu ccm jana
Kuna tetesi kuwa mtaa wa Waziri Mkuu Pinda huko Chanika CHADEMA wameshinda. Mwenye taarifa sahihi atuletee!
mkuu hiyo ya kusema ccm inakandamiza uislam si kweli , waislam ndio walio nufaika sana na serikali hii. Fuatilia uone tafiti wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya , wakurugenzi ndio kabisa zaidi ya 70% , bodi ya ajira , bodi ya mikopo , bodi ya vyuo vikuu TCU na hata Ghasia yupo pale Tamisemi kwa kufanikisha malengo yao. Waislam wengi walio vyuoni wana mikopo zaidi ya 80% wakati wakristo wengi wanapata mikopo 60%-75% na nyingine wanajiripia wenyewe
Mitaa mingapi ilirudia huko vingunguti?
tujuze morongoro ni viti vingapi?ulanga ni ngapi?
Katika mwendelezo wa kuwagawia maumivu chama tawala, muungano wa UKAWA umeendelea kukimegua chama kinachokufa cha CCM ambapo katika kata kumi CUF kimefanikiwa kushinda kata nane na chama mwenza katika ukawa yaani CHADEMA kimepata mtaa mmoja sawia na CCM.
kwa matokeo haya kwa sasa chama hiki kikongwe kabisa nchini kinakuwa chama cha upinzani Vinginguti rasmi!!
viva UKAWA!!
mkuu kipawa haipo segerea.