interface
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 221
- 178
Na pascal yule mtaalam wetu pia.faiza foxy mbona kimyaa juu ya hili?vijembe vyako tumevimissNatabir huu ndio utakuwa mwisho wa mzee tupa tupa hapa
Na pascal yule mtaalam wetu pia.faiza foxy mbona kimyaa juu ya hili?vijembe vyako tumevimissNatabir huu ndio utakuwa mwisho wa mzee tupa tupa hapa
Acha uoga mkuu, ila wasiwasi ndio hakili.Wakuu Msaada anayejua namna ya ku I deactivate account maana humu nahisi mmoja after mmoja tutakutana Segerea au akhera
hahahahaha IT from Rwanda toka mdogo mpaka sasa sijawahi kusikia serikali yenye kila taasisi na vitengo vyte ikashindwa jambo ambalo imelitaka kulifanya tuombe tu mungu tusije potea tu lakini kama kweli serikali imesema JF is no more hakuna wa kupinga napata sana waswas na taarifa zangu kupewa mtu nisiye mjua na si kwa idhini yangu mtu mwenyewe sijajua nia yake kwangu na waswas unazidi pale nikikumbuka wakat wa uchaguz JF ilikuwa mikononi mwa Hackers kwa kipindi kifupi wenye kukumbu watakuwa wanajua nisemacho
Teh teh teh kwa ndio kusema na wao ndio wale wale eee?Wapo wanawahoji wafanyakazi wa jf
Acha tu...Dah bila Jf ungekutana wapi na The bold ? Niwatakie kila la heri tena naweza nisipate huu wasaha tena
Siku zote utakuwa imaginary friend wangu
lendaga wilolele umoilijila imihayo yiniyihabho habho
Wapi nimeandika malaika?Acha kufananisha malaika na mambo ya kijinga!
Eti Melo anakufahamu, kwanini umshawishi ashirikiane na polisi awape particulars zetu? nyie Lumumba acheni unafiki.Ninyi wanafiki sana mlimuita Melo ccm leo mnajifanya mnamlilia sikushangai ukiniita mimi ccm. Melo ananifahamu kuliko unavyodhani na anaujua mchango wangu kwa hii media tangu ikiitwa jambo na jamii kwahiyo usifikiri mimi ni mnafiki kama ninyi mnaobadilika kama vinyonga
Ndio ni wale waleTeh teh teh kwa ndio kusema na wao ndio wale wale eee?
Nafikiri ni kwa kuwa wamekuwa wakosoaji wa Sizonje, tofauti na wewe chura unayeitikia kila wimbo