Yaliyojiri Kutoka Ufipa: Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari, maandamano ya UKUTA yaahirishwa

Aisee kuna jamaa mmoja mwana UKUTA hapa ameniambia kitu
Kwamba kumbe kiki zoote hizi za Chadema ni kwamba waataka Serikali ya mseto.
Hahahaha,aisee kaaazi kweli,watu wanajua kujidanganya kweli
Nashauri watu fanyeni kazi,acheni hizi porojo za wapiga dili
 
Bora hii kitu imepita tuendelee na mambo mengine naamini hata wakileta Mara nyingine hawawezi kufanikiwa ,
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema maandamano ya UKUTA yaliyokuwa yafanyike KESHO yameahirishwa kwa mwezi mmoja hadi tarehe 1 Oktoba mwaka huu.

Source: Press Conference Kinondoni.
1472647749420.jpg
 
Big up gani sasa. Kwa kuufyata?
Teh the punguza jazba bado kuna mwezi mmoja mbele wa kufanya maonesho ya usafi na kufanya mazoezi ya viungo. Chadema itawahangaisha sana miaka hii mitano mkija kushtuka hakuna hata kiwanda cha kutengeneza dawa ya mbu kilichojengwa.
 
tunawasubiri Oktoba mosi.
Na October chenga la mwili tena, inapigwa kalenda! mkuu atasema amezuia siasa kumbe ndo zinafanyika kihivyo! kama we ni intellligent utaelewa kuwa siasa inaendelea kama kawa! by the way badilisha hiyo ID yako nilifikiri TCRA ndo wameniquote
 
Hovyo kabisa hawa watu. Ubabe wate huo halafu mnakimbia dakika za mwisho.Halafu hawa cheda wanawawakilisha viongozi wa kidini au wananchi huko bungeni. Pumbavu kabisa
 
Kushabikia watu wasio na upeo wala akili timamu inabidi uwe umejipanga kikamilifu kibadili gia angani..

Wenye akili tulishajua hakuna maandamano
 
Tamko hili nililitegemea......

Eti uandamane.....uandamane wapi kwa mfano?
 
Bora hii kitu imepita tuendelee na mambo mengine naamini hata wakileta Mara nyingine hawawezi kufanikiwa ,

Niliisoma Yahoo, kuna mwandishi nadhani wa Kenya yule akaiweka kama vile hali ya Tanzania ni tete.

Binafsi namshukuru Mbowe na Team yake ya mradi wa ukuta kwa kuweka maslahi ya vijana wetu ambao wengi wao ndio wangepambana na vyombo vya dola, kupata adha, majeraha pengina hata vifo na kuziachia familia zao majonzi na pengine umaskini zaidi.
 
Back
Top Bottom